Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Ila uwezo ni wa magari madogo.Ameona WaTz hampendi magari madogo mnapenda makubwa
Ila uwezo ni wa magari madogo.Ameona WaTz hampendi magari madogo mnapenda makubwa
Inaeleweka mkuu, sema wengi tunaishia kutamani magari makubwa ila uwezo hatunaIla uwezo ni wa magari madogo.
Nimekimbia na mvua hii kuja huku nikijua ni Landcruiser hadi nikianguka kwenye diimbwi la maji•2nz-vvti 4 cylinder
•2004 model
•Automatic Gear Transmission
•1.3cc engine capacity
•Milky white color
•The car is clean and mint condition
PRICE IS 8.5 MILLION ABIT NEGOTIABLE🤝
Contact 0784225000.
View attachment 1697493View attachment 1697494View attachment 1697495View attachment 1697496View attachment 1697497
Basi tuendelee kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka tukisubiri siku yetu ya kuyamiliki.Inaeleweka mkuu, sema wengi tunaishia kutamani magari makubwa ila uwezo hatuna
Jibebekmmmmmk kweli hatufanani, mshahara wangu wa miezi miwili na nusu ni kodi ya mtu
KushneyHivi siku hizi zile habari za dorali hazipo tenaa
Haibadilishi kitu...badili hyo kwenda kwenye dola..heheheHivi siku hizi zile habari za dorali hazipo tenaa
Enzi za mkwere nyumba Kama hii lazima icheze 1.2million mpaka 1.5millionKushney
Jumba zuri Kama hili eti laki8
Kweli Magu ametunyoosha