Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 753
- 659
Najaribu kufuatilia kila unachozungumza lakini mwisho wa siku nimejikuta napata hitimisho kuwa pengine kidogo kwenu zipo,ama la basi ni kama asili tu ya dharau ulizonazo. Ujue unaposema Tanzania,ujue unahusisha watu wengi;takribani watu milion 45 au hata na zaidi;maana sensa yenyewe ilichakachuliwa kimtindo. My point;watu hawa hawalingani uchumi hata kidogo,nashangaa sana wewe umekalia tu ku-comment pumba na mbaya zaidi hauna hata lepe la kujishtukia,sasa sijui mantiki yako ni nini hasa...jaribu kufunika uhaya wako humu jamvini bhana....!!!