Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Mbona IFM baadhi wamepata hiyo first lot? Hiyo ni chenga ya mwili...
 
usikute baadhi yenu mliipigia kura ccm... tulieni kimyaaa.. maana tulichokua tunawaambia mlituita manyumbu.. sasa tutaelewa nyumbu alikua nani..#hapaKaziTu (in magus voice)
 
Naamini unachokisema haukifaham, baadhi yetu tumechaguliwa course za education with mathematics leo unasema eti waliopata ni wa education science? Maana nini wakati sisi wa course hizo hatujapata na ufaulu wetu mkubwa sana?

chuo gani umechaguliwa.na batch gani
 
Wakuu,

Kwa mujibu wa bodi ya mikopo HESLB kwenye Website yao wamesema mikopo iliyotolewa ni First Lot yaani inawahusisha wale wa education kwa upande wa science, Engineering kama petroleum na Irrigation, MD na kozi nyingine za Afya.

Kwa SECOND LOT ndo kunakuwa na kozi nyingine za Engineering, electrical, mechanica n.k pamoja na kozi nyingine

Embu kwa wale wenzangu na mie tunaosubiria hizo lot nyingine tuje hapa tushauriane, maana sasa hali ishakuwa tete....!

Welcome.

we VP,wakati hta sisi was ed . in science hatujapata awmu ya kwanza,tujasuhiria awamu nyingine!!!
 
Lakini mimi naona hatuna namna nyingine zaidi ya kuwasubiri hawa jamaa.
Tusubirini tu , No way out.

unasubiri vp helsb wakati vyuo vimeshafunguliwa na registration ixhaanza?? hapa jipange ww kama ww achana nao hawa jamaa wa loand board wana roho ngumu sanaa
 
Naamini unachokisema haukifaham, baadhi yetu tumechaguliwa course za education with mathematics leo unasema eti waliopata ni wa education science? Maana nini wakati sisi wa course hizo hatujapata na ufaulu wetu mkubwa sana?

kuwa na subira umeambiwa wa science, engineering na afya, tena baadhi; 'somo la uvumilivu linaendelea!'

#hapa lazi tu!
 
There z olwayz plan b gyz....lipa nusu, skilizia kwanza...kama watatoa SECOND LOT then ts good, unamalzia kwa mkopo....waspotoa,jipange, lipa ada, omba tena next year.
 
kwani lazima muende chuo hawa big result bwana unakuta mtu hata kufanya wiring hajui, kazi kukariri tu hko shuleni ingieni kitaa sasa ndo mjue nyie ni big result
 
kwani lazima muende chuo hawa big result bwana unakuta mtu hata kufanya wiring hajui, kazi kukariri tu hko shuleni ingieni kitaa sasa ndo mjue nyie ni big result

kaka naamini hujamaanisha ulichosema kwa maana n utumbo tu
 
Msijidanganye kuna mkopo tenaa huo uliotokaa ushatoka mwenye pesa akasome kama huna rud nyumban ucpoteze muda wako kungojea tena wala kwenda kulalamika body.. mtapoteza tu muda
 
mwaka jana tuliandamana tulipita kila mahal hadi kwa wazir mkuu na virungu tukalaa hatukupewa mkopo yan hapo ishatokaa ni kuisoma tu number mbele kwa mbele madogo
 
Back
Top Bottom