Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Duh hivi itakuwaje maana naamini wengi hawataenda chuo bila mikopo
 
Please kwa wale waliokosa mkopo kwenye slot ya kwanza.. contact me tuone jins ya kusaidiana kigezo cha kwanza uwe umemalza form four kuanzia 2012 na kurndelea.. kigezo cha pili make sure home hawana uwezo wa kukusomesha endapo hutapata mkopo.. thenks.. 0765024294..
 
Vijana Wala Msihofu.Serikali Sikivu Inapika Majina Batch 2 Na Wote Mtapata Mikopo.Nina Imani Zaidi Ya Vijana 50,000.Wote Mtapata Mikopo,kuweni Wavumilivu Jamani.Mtasoma Kwa Raha Na Mikopo Itatoka Kwa Muda
 
hivi kwa mfano wewe ni waziri wa fedha, nchi imetumia hela kwenye uchaguzi tena ikakopabtena sasa ungefanyaje ndani ya siku mbili hizi ? ni lazima uwape wachache kulingana na kiasi kilichopo wakatibunatafuta akili
 
Wote Watapata Mkopo Wadogo Zetu.Wala Msikatishwe Tamaa Na Kundi La Watu Wenye Hasira.Wanaotoa Mikopo Hawahusiki Na Chama Jamani.Ifike Sehemu Tuwe Wakweli Kua Nchi Zinazoendelea Huduma Za Jamii Kama Afya,elimu,mawasiliano Bado Vipo Chini.Mimi Nawapa Matumaini Vijana Kua Wawe Wavumilivu Wote Watapata Mkopo
 
Wote Watapata Mkopo Wadogo Zetu.Wala Msikatishwe Tamaa Na Kundi La Watu Wenye Hasira.Wanaotoa Mikopo Hawahusiki Na Chama Jamani.Ifike Sehemu Tuwe Wakweli Kua Nchi Zinazoendelea Huduma Za Jamii Kama Afya,elimu,mawasiliano Bado Vipo Chini.Mimi Nawapa Matumaini Vijana Kua Wawe Wavumilivu Wote Watapata Mkopo

Endelea kuwapa faraja tutaona mwisho wake
 
Kaka zenu wamewacost yaani serikali imewapa mkopo halafu walivyomaliza wanachagua kazi,mpaka leo hawajlipa madeni sijui walidhani walipewa udhamini. Halafu kibaya zaidi hao hao kaka zenu walipokuwa vyuoni wakawa wanaipinga ccm unadhani serikali itawapa nyie mnaokuja. Nyie jisomesheni wenyewe na kwa wale waliochagua ccm basi hapa kazi tu,rudi ukajitolee kuwafundisha wadogo zako wa o level
 
Wakuu,

Kwa mujibu wa bodi ya mikopo HESLB kwenye Website yao wamesema mikopo iliyotolewa ni First Lot yaani inawahusisha wale wa education kwa upande wa science, Engineering kama petroleum na Irrigation, MD na kozi nyingine za Afya.

Kwa SECOND LOT ndo kunakuwa na kozi nyingine za Engineering, electrical, mechanica n.k pamoja na kozi nyingine

Embu kwa wale wenzangu na mie tunaosubiria hizo lot nyingine tuje hapa tushauriane, maana sasa hali ishakuwa tete....!

Welcome.

Hebu na nyinyi msiwe kama watoto mnaodanganyika na maneno laini ya bodi maelezo yao wao watu wa bodi ni kwamba ed science wamepata bt stil kuna watu wana soma hizo course na hawajapewa which is which??
Then wanadai course nyengine watatoa majina baadae altthough kuna watu washapewa hizo course nyingine kuna dogo yupo Baed udom kapewa na meingine yupo HRM mzumbe kapewa kwa hayo maelezo ya bodi mm nahis ni kumbembeleza mtoto alale usingislz aache kupiga kelele!!

Mwaka wetu sisi walituletea ujinga kama huu bodi tulipiga kambi pale ofsini kwao mpaka pinda aliagiza bodi watafute pesa wakojua wao na sisi twende chuo pesa itatufuata na kwel mpaka leo maisha ya chuo yanaendelea kwa pesa ya kushinikiza

Tatizo lenu ninyi kelele nyingi mnazileta huku although hakuna msaada wowote pelekeni sarhem husika kwa wing wenu lazima msikilizwe wadogo zangu
 
Hebu na nyinyi msiwe kama watoto mnaodanganyika na maneno laini ya bodi maelezo yao wao watu wa bodi ni kwamba ed science wamepata bt stil kuna watu wana soma hizo course na hawajapewa which is which??
Then wanadai course nyengine watatoa majina baadae altthough kuna watu washapewa hizo course nyingine kuna dogo yupo Baed udom kapewa na meingine yupo HRM mzumbe kapewa kwa hayo maelezo ya bodi mm nahis ni kumbembeleza mtoto alale usingislz aache kupiga kelele!!

Mwaka wetu sisi walituletea ujinga kama huu bodi tulipiga kambi pale ofsini kwao mpaka pinda aliagiza bodi watafute pesa wakojua wao na sisi twende chuo pesa itatufuata na kwel mpaka leo maisha ya chuo yanaendelea kwa pesa ya kushinikiza

Tatizo lenu ninyi kelele nyingi mnazileta huku although hakuna msaada wowote pelekeni sarhem husika kwa wing wenu lazima msikilizwe wadogo zangu
Hii ni point ya msingi sana sababu mkiamu kulala nje ya ofisi yao watakuna vichwa tu.
 
Hii ni point ya msingi sana sababu mkiamu kulala nje ya ofisi yao watakuna vichwa tu.

Sio siri bro sisi tulikaa pale bodi mzee pinda akatoa tamko bodi haina pesa kwa sasa bt iliandikwa barua vyuo vyote kama watupokee pesa ikipatikana bodi wataituma vyuoni wakati huo sisi tayar tunapiga msuli vyuoni na kwel sijui hawa bodi walienda saccos au bt pesa ilikuja na boom likaingia + ada sasa hawa watoto wao ni jamii forum tu huku hakuna anae wasikia tena wako wengi kwel yan
 
Na chonde chonde mkiona mmeshindwa kumaliza na bodi its better ukasubir mwaka unaofuta kwasababu ukija chuo na pesa za kuunga unga utaishia kutaabika then kama ni mtoto wa kike ndo itakuwa ni hatar kabixa
 
Hebu na nyinyi msiwe kama watoto mnaodanganyika na maneno laini ya bodi maelezo yao wao watu wa bodi ni kwamba ed science wamepata bt stil kuna watu wana soma hizo course na hawajapewa which is which??
Then wanadai course nyengine watatoa majina baadae altthough kuna watu washapewa hizo course nyingine kuna dogo yupo Baed udom kapewa na meingine yupo HRM mzumbe kapewa kwa hayo maelezo ya bodi mm nahis ni kumbembeleza mtoto alale usingislz aache kupiga kelele!!

Mwaka wetu sisi walituletea ujinga kama huu bodi tulipiga kambi pale ofsini kwao mpaka pinda aliagiza bodi watafute pesa wakojua wao na sisi twende chuo pesa itatufuata na kwel mpaka leo maisha ya chuo yanaendelea kwa pesa ya kushinikiza

Tatizo lenu ninyi kelele nyingi mnazileta huku although hakuna msaada wowote pelekeni sarhem husika kwa wing wenu lazima msikilizwe wadogo zangu

well said mkuu...
yani wanapiga kelele jf wakati office za board wanazijua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom