Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

tuliikataa
ELIMU

ELIMU

ELIMU

Buree na bora acha tuisome namba sasa.!
 
kweli naona kwangu ni ngumu kwenda chuo bila mkopo.naomba mwenye ufahamu wa jinsi ya kuahirisha chuo na cost zake anijulishe ili mwaka kesho nisisumbuke na TCU.
 
kweli naona kwangu ni ngumu kwenda chuo bila mkopo.naomba mwenye ufahamu wa jinsi ya kuahirisha chuo na cost zake anijulishe ili mwaka kesho nisisumbuke na TCU.

Mkuu lazima TCU utarudi tena ,hapa kazi tu
 
tuliikataa
ELIMU

ELIMU

ELIMU

Buree na bora acha tuisome namba sasa.!


Ni kweli kabisa hata nabii Musa alipokuwa akiwakomboa wana wa Israel toka Nchi ya utumwa,alikuwa anawapa kila kitu na vyakula,lakini mwisho wa siku wakamwambia kuwa hawataki vyakula hivyo na kwa maana hiyo walihitaji kulima vya kwao. Sishangai hata kidogo watanzania kuikataa Elimu,Elimu,Elimu kwani ni asili yetu kabisa sisi wanadamu kupingana na neema!

Kwa upande wa pili naamini kabisa pengine waliinyatia hiyo neem,na wakafanya maamuzi magumu kwenye masanduku ya kura,lakini tukumbuke pia haya majamaa ni majizi hasa,si ajabu yalitufunga goli la mkono kama la Pierre enzi hizo,maana hata Nape alisema kabisa kuwa hata mikono ipo,maana ccm tunanjia mia za kuingia Ikulu! Kwa hiyo tusiwalaumu tu wananchi na ninaamini kuwa wananchi wa sasa wameamka na si kama wa enzi zile!!!
 
Please kwa wale waliokosa mkopo kwenye slot ya kwanza.. contact me tuone jins ya kusaidiana kigezo cha kwanza uwe umemalza form four kuanzia 2012 na kurndelea.. kigezo cha pili make sure home hawana uwezo wa kukusomesha endapo hutapata mkopo.. thenks.. 0765024294..
nenda mwenyewe maana ww ni mbaguzi sana ww unadhani wenye haki ya kupata mkopo ni 2012 tu shame shame up on your face una akili ndogo kama mende
 
nenda mwenyewe maana ww ni mbaguzi sana ww unadhani wenye haki ya kupata mkopo ni 2012 tu shame shame up on your face una akili ndogo kama mende

una akili wew unaonekana umezaliwa siku moja na putin rais wa russia
 
una akili wew unaonekana umezaliwa siku moja na putin rais wa russia

kuna watu wanadhan wao wana haki sana......huwez kudai haki huku unabagua wengine maana dhambi ya ubaguz ni mbaya sana mkuu huyu jamaa hata iweje simuungi mkono ng'o maana akipata mkopo atajibagua na hatawatetea wengine ubaguz utaendelea tena
 
haya bhana ebu tusubir tuone maana imekuwa kama kamali tunalipia wote 30,000/= kufanikiwa ni majaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom