kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Nauliza kwani hao waliopata first LOT wanaadavtage gani kwa sasa..?na tofauti ni ipi na atakaye pata second LOT?
hakuna tofauti kwamaana kuna watu ni first lot ila wamekosa ada.
Nauliza kwani hao waliopata first LOT wanaadavtage gani kwa sasa..?na tofauti ni ipi na atakaye pata second LOT?
Kwa wale wenye vigezo vya kupata mkopo Mgawanyo wa mikopo unatolewa katika LOT tatu(3) 1. LOT ya kwanza(1) imekwisha tolewa 2. LOT ya pili(2) hii itaanza kutolewa alhamisi itakayo husisha wale wenye faculty au course zenye priorty,walemavu na yatima hawa watapewa kipaumbule. 3. LOT ya tatu(3) hii itahusisha baadhi ya faculty au course amabzo ni Non-priorty Wahusika wa jambo hili wapo kwenye mchakato wa kupunguza kero hii.Juhudi zinaendelea kufanyika ilikuleta usawa katika hili. Ukikosa #mkopo subri #boom TAARIFA FUPI Log in OLAS:HAPA...#copy and paste hyo
Yap Tuxubiri Tu Xaxa Kwa Cc Ambao Profile Zetu Za Nacte Zko Pending Bdo Hatujawa Confirmed Na Chuo Tunafanyaje?
mi nalia na suala la transfer kupitia nacte hawatoi hyo ruhusa sijui kwann na chuo kinaanza trh 9
Napita tu,kiukweli sina hamu na hawa watu kwani wameshazima ndoto zangu kabisa....!! But believe or not,nitakuja kuwa lobbyst bomba kama Che Guevara,wacha waninyanyase kwa sasa lakini naamini kizazi kijacho kitasoma kwa raha kwa kazi nitakayoifanya,hakika lazima siku moja niibadilishe Tz kutoka mfumo huu kwenda mfumo wa huruma kwa watoto wa wakulima wanaoishi katika mazingira magumu ya kunyanyaswa kama haya...! Read me,ready to die for the betterment of our next generation...! Ninapoandika reply hii,naandika kwa uchungu kabisa,maana ninaposema maisha magumu si kwamba nimeyasoma kwenye kitabu,bali mimi pia ni muhanga halisi wa hali hii. Hakika taifa hili ni la kishetani kabisa na halifai kuigwa hata kidogo...hebu soma upuuzi walioandika board,majina ya waombaji wapya wa mkopo yametoka na tunakanusha taarifa zilizoenezwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa board ya mkopo haitatoa mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu,hivi hii serikali inakuaje? Unawezaje kujivunia 17% ya mafanikio? Haya majamaa kweli ni ma-interahamwe kabisa na ndio maana yalimpiga Warioba alipoleta rasimu ya kuyabana haya madubwana...I hate you green leaders!!
Naona mshachomwa sindano,tulieni dawa isambae,mnapoambiwa ccm ni ileile hamuelewi,
Tuvute subira
Transfer mbn walishatoa au majibu?
unasubiri vp helsb wakati vyuo vimeshafunguliwa na registration ixhaanza?? hapa jipange ww kama ww achana nao hawa jamaa wa loand board wana roho ngumu sanaa
"...mimi naongoza wagonjwa na hivyo naamini ipo siku wakipona,wataiuliza;rais wa Tanzania anaongoza maiti..."(kuna rais jirani alisema hivyo,jina kapuni) Ama kweli alichokisema ndicho kinaonekana.