samnas
Member
- Oct 11, 2015
- 35
- 1
Afu naona hawa BRN wengi hum wamekuwa wakilaumu sana serikali, kamlaumu mkawalaumu babazenu kwa kushindwa kuwa na long term plan. Kama mim nlivomlaumu baba yangu kwanin hakunisomesha ulaya/america!
Life changes bro.... Huez kulaum kitu ambacho huna uwezo nacho, waeza plan somethin lakin only God ndie muamuz wa kufanya hiko kitu kitekelezeke, then si kila mtu ni tajiri kaka, maisha ni tofaut, wanaolilia mkopo ni haki yao kulilia na sio kuwalaum wazaz wao...wake up bro...serikali ndio inayotoa elimu na ndio ya kulaumiwa na sio wazaz