Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

Kazi ipo kwetu waajiliwa ambapo ofisini top boss ana Diploma alafu wewe unaenda kuomba ruhusa ukapige SHAHADA. itafika mwezi ndio akusaini barua yako.
 
Hawa bodi ya mkopo kiujumla mi ni kama siwaelew aise for sure rafik yang nilikuwa nae udom aka disco na alikuwa na mkopo bt mwaka huu kaomba chuo kapewa sebastia kolowa tanga na mkopo kapewa ada sh milioni moja na laki tano out of milioni moja na laki sita sasa dah tena huyu mtu alishanufaika na mkopo b4 dah
Kwel hapa kazi tu
 
Hawa bodi ya mkopo kiujumla mi ni kama siwaelew aise for sure rafik yang nilikuwa nae udom aka disco na alikuwa na mkopo bt mwaka huu kaomba chuo kapewa sebastia kolowa tanga na mkopo kapewa ada sh milioni moja na laki tano out of milioni moja na laki sita sasa dah tena huyu mtu alishanufaika na mkopo b4 dah
Kwel hapa kazi tu

Kozi gani kapata mkuu
 
jamani vipi, kunachanges zozote zilizotokea? second lot ishatoka? maana siku kama ya leo ya wiki iliyopita ndio walitoa first lot.
 
Ukitaka kuairisha chuobkunahatua za kupitia?

Lazima ukafanye usajili kwenye chuo ulichokuwa umechaguliwa then ndo ufanye taratibu za kuahirisha mwaka ikiwemo kuandika barua na kuzipitisha sehemu husika kama utakavyoelekezwa. Hii ndio njia itakayokuwezesha kurudi tena chuoni hapo na kuendelea na chuo kuanzia pale ulipoixhia.
 
Jamani huo mchanganuo sio make kuna watu wa education hawajapewa mfano udsm baed wapo 1700.but watu walio pata mkopo ni mia sita ambayo hata education ya science hawajapata wote...

St.joseph songea wamepata 42.. Yaani ni tijalibu kuvumilia
 
Naskia Wametoa Mikopo Hadi Batch 6.Wewe Hujapata Boy?
 
Jamani huo mchanganuo sio make kuna watu wa education hawajapewa mfano udsm baed wapo 1700.but watu walio pata mkopo ni mia sita ambayo hata education ya science hawajapata wote...

St.joseph songea wamepata 42.. Yaani ni tijalibu kuvumilia

Na kuna watu wa Baed udom wamepewa sasa maelezo ya bodi yanakuwa not clear kwa kwel
 
Komaen muende chuo mkakaze kitabu mkopo inshu gan,,, ukipata ada ya mwaka wa kwanza mambo mengine baadae..M nmesoma chuo mwaka wa kwanza kavu ila mwaka wa pili nika fight nikapata fresh.
 
Tuandamaneniiiiiiiiiiii kuelekea bodi au...mnaonaje...au hata kuwaza siruhusiwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom