Tunajifunza nini kwa Siasa za Dunia hasa Makamu akionekana na 'Pistol' Kiunoni, ila Mkuu wa nchi hiyo hiyo akiwa 'Huru' kabisa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,568
108,910
Na mnavyojitahidi Kujilinda na hizo 'Pistol' zenu kwa Uwoga wenu na Kujihisi kwa 'Madhambi' mliyofanya mjitahidi pia hata Corona 'iliyowakosakosa' na Dally Kimoko Viruses mjilinde nayo kwa 'Silaha' hiyo hiyo.

Karibuni sana hapa Kwetu Herzegovina.
 
Makamu ni yule jamaa aliepiga zile hela kule BOT hadi ikasababisha ile ripoti ya CAG isitoke?
Hapa nilipo nchini hatuna Makamu aliyepiga Hela na hatuna hii sijui BOT naomba Ufafanuzi unaongelea nini hapa labda Mkuu? Kwani Wewe uko nchi gani hapa Duniani? au tupo Wote hapa Herzegovina?
 
Mi mwenyewe nimeshangaa sana, makamu wa rais ana ulinzi wa kila namna anatembea na mguu wa kuku? Kuna maovu gani ameyafanya hadi anahofia? Au anataka siku kashfa ya zile pesa zilipigwa akiwa kwenye kitengo cha noti zikibumburuka ajimalize ya kichwa?
 
Ila huyu makamu wa huku Austria nilikuwa namwamini sana Ila kumbe ni shida tupu😭😭😭
 
Back
Top Bottom