Tunaenda Kondo kuujua ukweli

Tunaenda Kondo kuujua ukweli

Sifanyi hiyo kazi kwa sababu tulipo waonya hapa kuhusu mambo ya msingi mlitupinga ....sasa siku zote tuwaache wapumbavu wajifunze kwa uchungu na maumivu na hasara ndiyo akili zitawakaa sawa ....nilishauri na kuonya sana hapa ...nilimuonya tundu lissu nilimuonya mbowe nilionya wapinzani nilionya watanzania nilionya wanawake niliwaonya wakristo niliwaonya waislamu nilionya kuhusu kuweka neno 'sheria"m' kuwa ndiyo 'haki' nakumbuka hadi tuliwai kuzozana na @pascali Mayalla kuhusu HAKI NA SHERIA ... nilionya kuhusu wanawake kupewa uongozi ....nilionya masomo ya dini mashuleni nikawaonya wakristo kuingia huo mkenge maana na wao walishangilia serikali kuingiza dini mashuleni nilionya ijabu mashuleni ... nilionya shule za watu binafsi zenye mlengo wa kidini kuwa zinatengeneza mpasuko wa baadae ...nilionya kuhusu mfumo wa uraia tulio nao kuwa ni hatari na haufai kabisa na ni hatari kuliko hata katiba mbovu tuliyo nayo ...nilionya kuhusu Raia feki kina Rostam Aziz...nakumbuka wengi walisema ni chuki yangu tu ....nilionya kuhusu sheria za madhehebu ya dini na sheria za uhuru wa kuabudu ambazo zimefanya Dini kuwa pango na wahuni na mataperi na wahalifu wauza madawa ya kulevya ...nilionya kuhusu madhehebu ni vyema serikali kuzuia madhehebu tz kuwe na uislamu na ukristo tu pasipo madhehebu ...leo unakuta washia na wasuni wa arabuni wakipigana ugomvi una someka hadi kwa washia na wasuni wa tanzania .....NA MENGINE MENGI NILIONYA HIVYO WACHA KWANZA WATANZANIA MJIFUNZE KWA DAMU NDIYO MTAJUA UMUHIMU WA KUTUMIA AKILI ....CCM NI CHAMA ZAIFU SANA NI RAHISI SANA KUKIONDOA MADARAKANI TATIZO LILILOPO NI VYAMA VYETU VYA UPINZANI VINAONGONZWA NA WATU WENYE AKILI FINYU .
Uko na point kiasi sema tu hujui kiandika au hauko makini kuliko hata hao wapinzani unaowaita zaifu(dhaifu).
 
Linanasa vizuri tu na hata wakifukua watajulikana
Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo?
2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
 
Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo?
2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
Kazi haiwezi kufanyika asubuhi, usiku wa manane, watu wengi wamelala
 
Hii wiki Bagamoyo road imekuwa na misafara mingi sana ya misiba yenye magari ya special hire zilizobeba watu wachache sana labda wawili, watatu ila nyingi hawafiki 10 zikiwa zinaambatana na ambulance hata 2 au 3 kwa msafara mmoja na kusindikizwa na magari ya jeshi na polisi kwa pamoja, zikiwa zimewashwa ving'ora. Misafara yenyewe inapishana kama dakika 10 toka msafara mmoja hadi mwingine. Poleni sana ndugu zetu wa usalama kwa kufikwa na misiba mingi hivi kwa wakati mmoja.
Kwa hivyo unahisi watu wanakuwa eliminated ile wanasema tying loose ends?
Au walishambuliwa kwenye maandamano ya 29/10?
 
Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo?
2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
Jana nilipatembela hapo Kuna ulinzi mkali sana na malori wanataka kufukua wafute ushahidi
 
Sifanyi hiyo kazi kwa sababu tulipo waonya hapa kuhusu mambo ya msingi mlitupinga ....sasa siku zote tuwaache wapumbavu wajifunze kwa uchungu na maumivu na hasara ndiyo akili zitawakaa sawa ....nilishauri na kuonya sana hapa ...nilimuonya tundu lissu nilimuonya mbowe nilionya wapinzani nilionya watanzania nilionya wanawake niliwaonya wakristo niliwaonya waislamu nilionya kuhusu kuweka neno 'sheria"m' kuwa ndiyo 'haki' nakumbuka hadi tuliwai kuzozana na @pascali Mayalla kuhusu HAKI NA SHERIA ... nilionya kuhusu wanawake kupewa uongozi ....nilionya masomo ya dini mashuleni nikawaonya wakristo kuingia huo mkenge maana na wao walishangilia serikali kuingiza dini mashuleni nilionya ijabu mashuleni ... nilionya shule za watu binafsi zenye mlengo wa kidini kuwa zinatengeneza mpasuko wa baadae ...nilionya kuhusu mfumo wa uraia tulio nao kuwa ni hatari na haufai kabisa na ni hatari kuliko hata katiba mbovu tuliyo nayo ...nilionya kuhusu Raia feki kina Rostam Aziz...nakumbuka wengi walisema ni chuki yangu tu ....nilionya kuhusu sheria za madhehebu ya dini na sheria za uhuru wa kuabudu ambazo zimefanya Dini kuwa pango na wahuni na mataperi na wahalifu wauza madawa ya kulevya ...nilionya kuhusu madhehebu ni vyema serikali kuzuia madhehebu tz kuwe na uislamu na ukristo tu pasipo madhehebu ...leo unakuta washia na wasuni wa arabuni wakipigana ugomvi una someka hadi kwa washia na wasuni wa tanzania .....NA MENGINE MENGI NILIONYA HIVYO WACHA KWANZA WATANZANIA MJIFUNZE KWA DAMU NDIYO MTAJUA UMUHIMU WA KUTUMIA AKILI ....CCM NI CHAMA ZAIFU SANA NI RAHISI SANA KUKIONDOA MADARAKANI TATIZO LILILOPO NI VYAMA VYETU VYA UPINZANI VINAONGONZWA NA WATU WENYE AKILI FINYU .
Una hoja nzuri.
Tatizo lako ni uwasilishaji!!

Unawasilisha hoja kwa matus,i dharau, kejeli na pia kujiona wewe sio miongoni mwa watanzania tunaoumizwa na uongozi mbovu wa ccm.
Kwa aina hiyo ya uwasilishaji inamaanisha HUNA BUSARA.
 
Nadhani wewe ndiyo uzijui drone jammers ...kama unazijua usinge toa hii comment. Mimi naongelea reality ya tanzania na hali ilivyo... hakuna sehemu yenye matumizi ya drone jammer kama kwenye mzozo wa urussi na ukrain ila bado drone zinapiga kazi ...kwa hiyo unataka kuniambia kama tar 29 drone zisinge fanya kazi ? Je ulijaribu ukaona zimezuiwa na jammer ? Je hizo jama zilifanya kazi wapi hapa tz siku ya tar29 ? na range yake ni ngapi ? Je ccm kuna mtu yoyote smart kuweza kujua cha kufanya kwa wakati sahihi ? Unajua kitu kinaitwa loop hole?
Respect. Bado una nafasi ya kujaribu, sio mzigo wa fulani tu.
 
Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo?
2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
Kazi ilifanywa usiku kipindi cha lockdown hakuna mtu kutoka nje usiku
 
Una hoja nzuri.
Tatizo lako ni uwasilishaji!!

Unawasilisha hoja kwa matus,i dharau, kejeli na pia kujiona wewe sio miongoni mwa watanzania tunaoumizwa na uongozi mbovu wa ccm.
Kwa aina hiyo ya uwasilishaji inamaanisha HUNA BUSARA.
NIKWELI BUSARA HUWA SINA ILA KWENYE AKILI HAPO NIMEJAA TELE ...BUSARA BILA YA AKILI = NA UPUMBAVU
 
Huu uzushi tu na kwa ajili ya watu wasiotumia akili
Miili ina wiki tatu ardhini itakua imeharibika vibaya,ngumu kuifukua,lazima itaacha rojo na harufu, ukizingatia hapo jirani kuna makazi
Halafu hayo malori ya polisi yaliyojaa huko ni mangapi,polisi Wana malori mengi kiasi hicho?
Na picha wala hawapost,maandishi tu
Wee acha uongo, miili inakaa miaka na haiharibiki sana, sembuse week 3??
Sema harufu yake sio ya kiwango hicho.
Mmmmh
 
Hii wiki Bagamoyo road imekuwa na misafara mingi sana ya misiba yenye magari ya special hire zilizobeba watu wachache sana labda wawili, watatu ila nyingi hawafiki 10 zikiwa zinaambatana na ambulance hata 2 au 3 kwa msafara mmoja na kusindikizwa na magari ya jeshi na polisi kwa pamoja, zikiwa zimewashwa ving'ora. Misafara yenyewe inapishana kama dakika 10 toka msafara mmoja hadi mwingine. Poleni sana ndugu zetu wa usalama kwa kufikwa na misiba mingi hivi kwa wakati mmoja.
Watakwa wameanza kuuana ili kulinda siri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom