Wachimeze na wachiteme...!!!...wanaharibu
SawaHakuna kitu kama hicho stori tu za gahawa hizo
Akuuu, KIBOKO YA MABISHOOOView attachment 3505524
From Outer Space With Love 🤣🤣
Hii hata wale waganga wa Bagamoyo hawawezi kuiroga.
Huyo Huwa ni tutunye TU chawa mnukaji jasho hairuhusiwi hata kujua Siri za nchi akisogea hapo ana fyatuliwa hamtamuona tenaAiseee wanahangaika.
Haya fukueni mizoga.
Namuona LUCAS MASHANGA kabeba beleshi!
Cc: Lucas Mwashambwa
Ndiyo ndiyooo 😆Siyo wa Bagamoyo bali wa Mkuranga kule yalikokuwa yanapelekwa majina ya Jiwe na wenzie ndani ya bahasha na dereva teksi.