Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,540
- 18,645
Hiko limebuma. Sema tu kiongozi hana akili anaweza kulazimisha!Wakifukua wataharibu, wasipofukua wataribu
Hiko limebuma. Sema tu kiongozi hana akili anaweza kulazimisha!Wakifukua wataharibu, wasipofukua wataribu
Ahahaha yuko Lindi huyo ni jamaa angu sana tumetoka wote Kijiji kimoja.Ndugu yangu, umeenda Lindi saa ngapi? Mbona wewe unaishi Bahari Beach au umesahau
Daah acha basi kumtia tumbo joto mdau..haya ebu sema namimi niko wapiNdugu yangu, umeenda Lindi saa ngapi? Mbona wewe unaishi Bahari Beach au umesahau
Tatizo mnakuaga wajuaji sanaCemestry na biology ulisoma wapi? Mwili unabaribika haraka sana chini ya radhi au juu ya ardhi ? DNA si itakuwepo? Uoze halafu mvua inyeshe itokee leaching?
Kufanya yetu kumaanisha nn?Kama kweli kuna ulinzi itakuwa wanawazuia msije fanya yenu ili kuthibitisha madai yenu.
Kila kitu mpaka muambiwe.
Hamuwezi amua wenyewe.
Ile picha mjongeo aliyopigwa Mama akikimbia kisha akapigwa na kitu chenye ncha Kali mgongoni na kuanguka ilipigwa na huyo aliyefyatua kitu chenye ncha Kali au ilipigwa na mtu aliyetumwa na yule aliyemtuma aliyefyatua kitu chenye ncha Kali?tunaomba picha
Hakuna kitu kama hicho stori tu za gahawa hizoPentagon wana satellite zipo orbit ya mbali lakini zinauwezo wa ku zoom hata sura ya mtu huku duniani.
Yaani wakifukua ndo wameharibu na wakiacha pia wanaharibu
Huyu ilikua lazima awauze, mzee msanii sana huyuKikwete ndiyo amepotea kabisa, hataki kujumuishwa kwenye lolote,
Uzuri humohumo watatupa walichofanyaHiko limebuma. Sema tu kiongozi hana akili anaweza kulazimisha!
Uzuri humohumo watatupa walichofanyaHiko limebuma. Sema tu kiongozi hana akili anaweza kulazimisha!
Muwe mnaleta mrejesho wakuu.Habari wakuu.
Tunaelekea Kondo maeneo ya kati ya Tegeta Kibaoni na Bahari beach.
Lengo letu ni kuhakikisha tunaujua ukweli juu ya taarifa tuliyopata ambayo hata hivyo tunaamini kuwa ni taarifa ya kweli kimazingira. Tunaenda kuthibitisha na kuweka wazi kila kitu.
Tumedhamiria kukabiliana vilivyo na vizuizi viatakavyojitokeza kutuzuia na kwa dhati tumejipanga kukabiliana
Tukutane Kondo ground na taarifa zitatoka alfajiri ya kesho!!
Tangu alfajiri hamjafika makaburini. Makaburi yapo umbali gani?Muwe mnaleta mrejesho wakuu.
Au kadakwa!Muwe mnaleta mrejesho wakuu.
Wewe unaishi Ununio, umesahauDaah acha basi kumtia tumbo joto mdau..haya ebu sema namimi niko wapi
Alionya kila mtu, lakini hakusikilizwa!Uko na point kiasi sema tu hujui kiandika au hauko makini kuliko hata hao wapinzani unaowaita zaifu(dhaifu).
mimi niko ukanda wa gazaWewe unaishi Ununio, umesahau