Tunaenda Kondo kuujua ukweli

Tunaenda Kondo kuujua ukweli

Habari wakuu.

Tunaelekea Kondo maeneo ya kati ya Tegeta Kibaoni na Bahari beach.

Lengo letu ni kuhakikisha tunaujua ukweli juu ya taarifa tuliyopata ambayo hata hivyo tunaamini kuwa ni taarifa ya kweli kimazingira. Tunaenda kuthibitisha na kuweka wazi kila kitu.

Tumedhamiria kukabiliana vilivyo na vizuizi viatakavyojitokeza kutuzuia na kwa dhati tumejipanga kukabiliana

Tukutane Kondo ground na taarifa zitatoka alfajiri ya kesho!!
Mie mwenyewe nilikuwa najiuliza hivi kwa Nini watu wasikusanyike eneo hilo kwenda kuhakikisha? Tushatafuniwa je tunataka mpaka tumezewe??
 
Wenye uwezo wa kupata camera waziweke kwenye miti. Hilo eneo lina ushahidi muhimu sana.
Watu wamefukiwa wengine wakiwa hawajafa wakiwa na majeraha ya risasi tu wamefukiwa.

Watu wamechomwa kwenye tanuru la saruji wakiwa bado wangali hai wakiwa na majeraha ya risasi wamechomwa.

Watu wameuawa kikatiri sana.

HURUMA.
 
Watu wamefukiwa wengine wakiwa hawajafa wakiwa na majeraha ya risasi tu wamefukiwa.

Watu wamechomwa kwenye tanuru la saruji wakiwa bado wangali hai wakiwa na majeraha ya risasi wamechomwa.

Watu wameuawa kikatiri sana.

HURUMA.
Wamekufa kifo cha uchungu na ukatili mno,ndio maana kila mtanganyika inampasa kupambania haki za ndugu zetu.Ili ardhi isinywe damu nyingine lazima haki itolewe kwa waliouwawa.Hatuwezi kulinyamazia hili litatumaliza vizazivyetu.
 
Wenye uwezo wa kupata camera waziweke kwenye miti. Hilo eneo lina ushahidi muhimu sana.
Hiyo ilikuwa kazi ya drone ...drone zinauzwa hadi sh laki 3 nzuri tu... vipi chama kama chadema kinakosa nyenzo kama hizo, kazi yao ni kulialia tu 💩💩💩 kwenye maandamano ya 29 nilitegemea kuona picha za drone ...ila wapi .
 
Hiyo ilikuwa kazi ya drone ...drone zinauzwa hadi sh laki 3 nzuri vipi chama kama chadema kinakosa nyenzo kama hizo kazi yao ni kulialia tu 💩💩💩 kwenye maandamano ya 29 nilitegemea kuona picha za drone ...ila wapi .
Tulipofika hii vita ni ya wananchi, Kila mwananchi asimame kama kiongozi wa nchi yake.Hapa tulipofika ni nguvu za wananchi imetusaidia.Waliorekodi video zote zinazotusaidia kwa uchunguzi mpaka leo tumefika ICC na CNN sio vyombo vya habari ni wananchi.Vyombo vya habari wamesaliti taaluma zao.Umoja wetu ni nguvu yetu.
 
Huu uzushi tu na kwa ajili ya watu wasiotumia akili
Miili ina wiki tatu ardhini itakua imeharibika vibaya,ngumu kuifukua,lazima itaacha rojo na harufu, ukizingatia hapo jirani kuna makazi
Halafu hayo malori ya polisi yaliyojaa huko ni mangapi,polisi Wana malori mengi kiasi hicho?
Na picha wala hawapost,maandishi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom