Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
YO YO ni mwana jamvi mwenzetu wa mda mrefu sana ile kitendo cha yeye kupigwa ban mara kwa mara inafanya asiwepo hapa jamvini kwa mda mwingi..
mods sometime mpeni msamaha YO YO ban alizopata zinamtosha hata akikosea kwa sababu mshamjua futeni ile comment yake kama watu watakuwa wameshai report...ukimjua mtu ni rahisi sana kuishi naye ...toka nije hapa jamvini YOYO kila sku yupo bussy na ban .
.......................
mods sometime mpeni msamaha YO YO ban alizopata zinamtosha hata akikosea kwa sababu mshamjua futeni ile comment yake kama watu watakuwa wameshai report...ukimjua mtu ni rahisi sana kuishi naye ...toka nije hapa jamvini YOYO kila sku yupo bussy na ban .
.......................