Tumechoka na hivi visa vya watu kutekwa na kupotezwa. Kwa mfano, aliyerekodi msafara na kuchoma picha ya Rais alikuwa na tishio gani kwa usalama?

Tumechoka na hivi visa vya watu kutekwa na kupotezwa. Kwa mfano, aliyerekodi msafara na kuchoma picha ya Rais alikuwa na tishio gani kwa usalama?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Yaan Picha, thamani ya Picha ya MTU Inakua juu ya UHAI wa MTU??.

Yaan Video, video ya magari ya Msafara ,inakua na thamani kushinda Uhai??.

Sasa tumechoka, watanzania wanasimamia na wote wenye kuitetea Haki.

Rais Samia na wengineo wote. Tumechoka!

Yaan Kwa mfano, alochoma picha ya Rais, alikua na Athari gan ya kiusalama na Amani??.

Tumewachoka , Swali ni je, wangetekwa watoto wenu mngejisikiaje?
 
Umechokea nyuma ya keyboard toka barabarani uandamane na mabango
 
Huyu mama mwanzoni nilifikiri ana unafuu kuliko mtangulizi wake! Kumbe nilikosea sana kuwa na fikra zile. Huyu nadhani kwa sasa anaelekea kuwa kwenye level za Idd Amin Dada.
Sijawahi kuamini katika uongozi wa mwanamke! Hisia ni mbaya sana! Tokea Ujerumani ilipopata Chancellor mwanamke haikuwahi kupewa heshima yake ile sawa na Hitler.

Mwanamke akiamka anaendeshwa na hisia tu! Hapo Sa100 anaona kama kila mtu ni adui yake! Hata kifo cha Uncle Magu nadhani alishangilia sana.
 
Back
Top Bottom