Jezi za Tanzania zasifiwa huko AFCON

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,129
7,898
Katika pitapita zangu huku mitandaoni, nimekutana na comment zaidi ya moja ya watu wanaosifia kit ya jezi za Tanzania zilizotumika huko AFCON na nilipofuatilia inaonyesha watu hao siyo Watanzania. Hili ni jambo jema sana.

Mfano, kuna mmoja alisema "So this Tanzanian fine jersey just wasted, the most beautiful jersey this Afcon, a pity I won't see this kit again in Afcon", kwa tafsiri ya haraka haraka akimaanisha "Kwa hiyo hii jezi kali ya Tanzania imetumika bure, jezi kali kuliko zote katika hii AFCON, ni bahati mbaya hatutaiona tena katika mashindano haya"

Niliwahi kuwasifia Sandaland walipotoa jezi ya kwanza kabisa ya Simba ya msimu huu.

Mpaka sasa nimependa tone ya wekundu anaotumia Sandaland kwenye jezi ya Simba. Vunjabei alikuwa anachanganya shade za wekundu zaidi ya moja kwenye jezi moja, sina uhakika ni ubunifu wa wapi wa nguo unaoweza fanya kitu kama hicho. Zile nguo walizovaa wakati wanakwenda Uturuki ni kali sana ingawa najua ni za mpito. Ile combination ya blue na red inanikumbusha Tommy Hilfiger.

Nimekutana na comment nyingine ya mtu mmoja baada ya mechi na DRC amehoji inakuwaje Tanzania inatumia kit nyingi, akisema hii ni kit ya tatu kuiona inatumika. Pamoja na kwanza inaonyesha haelewi sheria za mashindano huwa zinataka timu ziwe na jersey zaidi ya moja ila kuna jambo la msingi katika comment yake.

Tujaribu kubuni na kutumia jezi kuu ambayo itakuwa ni unique ambayo tutakuwa tunaitumia mara kwa mara ili iwe utambulisho wa timu ya Taifa, na tubadili pale tu inapohitajika kufanya hivyo au hadi mashindano mengine makubwa tutakayoshiriki. Jersey ni kama logo hautaki kila siku uwe unaibadilisha badilisha bila sababu maalumu. Ukiangalia mechi tatu tulizocheza huko AFCON, tungeweza kutumia jezi moja yoyote katika zile tatu katika mechi zote maana hazikuwa zinaingiliana na jezi ya timu nyingine.

Mtandao maarufu wa habari za michezo wa ESPN umeipa nafasi ya 15 kati ya 24 kit jersey ya Tanzania.

Screen Shot 2024-01-26 at 2.16.12 PM.png


Mtandao wa Urban Pitch umeiorodhesha home jersey ya Tanzania ya blue yenye kola ya njano shingoni kama moja ya jezi 5 bora katika mashindano.

Screen Shot 2024-01-26 at 2.43.11 PM.png


Mtandao wa Balls.ie wa huko Ireland umeipa jersey ya Tanzania nafasi ya 4.

Screen Shot 2024-01-26 at 3.13.43 PM.png

Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nje ya Mada: Aishi Manula ameorodheshwa katika moja ya top 5 saves za hatua ya makundi. Tujivunie kidogo na hili!
 
Katika pitapita zangu huku mitandaoni, nimekutana na comment zaidi ya moja ya watu wanaosifia kit ya jezi za Tanzania zilizotumika huko AFCON na nilipofuatilia inaonyesha watu hao siyo Watanzania. Hili ni jambo jema sana.

Mfano, kuna mmoja alisema "So this Tanzanian fine jersey just wasted, the most beautiful jersey this Afcon, a pity I won't see this kit again in Afcon", kwa tafsiri ya haraka haraka akimaanisha "Kwa hiyo hii jezi kali ya Tanzania imetumika bure, jezi kali kuliko zote katika hii AFCON, ni bahati mbaya hatutaiona tena katika mashindano haya"

Niliwahi kuwasifia Sandaland walipotoa jezi ya kwanza kabisa ya Simba ya msimu huu.



Nimekutana na comment nyingine ya mtu mmoja baada ya mechi na DRC amehoji inakuwaje Tanzania inatumia kit nyingi, akisema hii ni kit ya tatu kuiona inatumika. Pamoja na kwanza inaonyesha haelewi sheria za mashindano huwa zinataka timu ziwe na jersey zaidi ya moja ila kuna jambo la msingi katika comment yake.

Tujaribu kubuni na kutumia jezi kuu ambayo itakuwa ni unique ambayo tutakuwa tunaitumia mara kwa mara ili iwe utambulisho wa timu ya Taifa, na tubadili pale tu inapohitajika kufanya hivyo au hadi mashindano mengine makubwa tutakayoshiriki. Jersey ni kama logo hautaki kila siku uwe unaibadilisha badilisha bila sababu maalumu. Ukiangalia mechi tatu tulizocheza huko AFCON, tungeweza kutumia jezi moja yoyote katika zile tatu katika mechi zote maana hazikuwa zinaingiliana na jezi ya timu nyingine.

Mtandao maarufu wa habari za michezo wa ESPN umeipa nafasi ya 15 kati ya 24 kit jersey ya Tanzania.

View attachment 2883331

Mtandao wa Urban Pitch umeiorodhesha home jersey ya Tanzania ya blue yenye kola ya njano shingoni kama moja ya jezi 5 bora katika mashindano.

View attachment 2883333

Mtandao wa Balls.ie wa huko Ireland umeipa jersey ya Tanzania nafasi ya 4.

View attachment 2883349
Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nje ya Mada: Aishi Manula ameorodheshwa katika moja ya top 5 saves za hatua ya makundi. Tujivunie kidogo na hili!
Nami nlipita pita mitaani huko juzi wakawa wanaisifia sana Taifa Stars. Wanasema ni team bora ingeweza kuchukua kombe.
 
Katika pitapita zangu huku mitandaoni, nimekutana na comment zaidi ya moja ya watu wanaosifia kit ya jezi za Tanzania zilizotumika huko AFCON na nilipofuatilia inaonyesha watu hao siyo Watanzania. Hili ni jambo jema sana.

Mfano, kuna mmoja alisema "So this Tanzanian fine jersey just wasted, the most beautiful jersey this Afcon, a pity I won't see this kit again in Afcon", kwa tafsiri ya haraka haraka akimaanisha "Kwa hiyo hii jezi kali ya Tanzania imetumika bure, jezi kali kuliko zote katika hii AFCON, ni bahati mbaya hatutaiona tena katika mashindano haya"

Niliwahi kuwasifia Sandaland walipotoa jezi ya kwanza kabisa ya Simba ya msimu huu.



Nimekutana na comment nyingine ya mtu mmoja baada ya mechi na DRC amehoji inakuwaje Tanzania inatumia kit nyingi, akisema hii ni kit ya tatu kuiona inatumika. Pamoja na kwanza inaonyesha haelewi sheria za mashindano huwa zinataka timu ziwe na jersey zaidi ya moja ila kuna jambo la msingi katika comment yake.

Tujaribu kubuni na kutumia jezi kuu ambayo itakuwa ni unique ambayo tutakuwa tunaitumia mara kwa mara ili iwe utambulisho wa timu ya Taifa, na tubadili pale tu inapohitajika kufanya hivyo au hadi mashindano mengine makubwa tutakayoshiriki. Jersey ni kama logo hautaki kila siku uwe unaibadilisha badilisha bila sababu maalumu. Ukiangalia mechi tatu tulizocheza huko AFCON, tungeweza kutumia jezi moja yoyote katika zile tatu katika mechi zote maana hazikuwa zinaingiliana na jezi ya timu nyingine.

Mtandao maarufu wa habari za michezo wa ESPN umeipa nafasi ya 15 kati ya 24 kit jersey ya Tanzania.

View attachment 2883331

Mtandao wa Urban Pitch umeiorodhesha home jersey ya Tanzania ya blue yenye kola ya njano shingoni kama moja ya jezi 5 bora katika mashindano.

View attachment 2883333

Mtandao wa Balls.ie wa huko Ireland umeipa jersey ya Tanzania nafasi ya 4.

View attachment 2883349
Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nje ya Mada: Aishi Manula ameorodheshwa katika moja ya top 5 saves za hatua ya makundi. Tujivunie kidogo na hili!
Kosa moja kubwa sana hakuna ile nembo ya bendera.
 
Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nyota huwekwa ktk jezi km tu timu au nchi imeshinda kombe la Afcon kwa nchi au champions league kwa klabu..

Mfn , Misri timu yao ya taifa jezi yao ina nyota 7 kumaanisha wametwaa Afcon mara 7 hivyo kwa Cameroon wao wanazo nyota 5...

Wazo lako zuri ila nilikua najaribu kuona kama inawezekana

Kwa vilabu afrika Aly ahly jezi yao
 
Nyota huwekwa Kwa timu zenye makombe

Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nyota huwekwa ktk jezi km tu timu au nchi imeshinda kombe la Afcon kwa nchi au champions league kwa klabu..

Mfn , Misri timu yao ya taifa jezi yao ina nyota 7 kumaanisha wametwaa Afcon mara 7 hivyo kwa Cameroon wao wanazo nyota 5...

Wazo lako zuri ila nilikua najaribu kuona kama inawezekana

Kwa vilabu afrika Aly ahly jezi yao
Hizo nyota za aliyekuwa bingwa huwekwa juu ya logo ya chama cha soka cha nchi husika na nilivyofuatilia ni kwa zile nchi zilizoshinda kuanzia mara tano na kuendelea.

Kwa sehemu nyingine ya jezi timu nyingi tu zimeweka nyota hata ambazo hazijawahi kuchukua ubingwa. Kwa hiyo kifuani (siyo kwenye logo ya TFF) au begani sioni kama kutakuwa na pingamizi.
 
Hizo nyota za aliyekuwa bingwa huwekwa juu ya logo ya chama cha soka cha nchi husika na nilivyofuatilia ni kwa zile nchi zilizoshinda kuanzia mara tano na kuendelea.

Kwa sehemu nyingine ya jezi timu nyingi tu zimeweka nyota hata ambazo hazijawahi kuchukua ubingwa. Kwa hiyo kifuani (siyo kwenye logo ya TFF) au begani sioni kama kutakuwa na pingamizi.
Kifuani kwa afrika timu yenye nyota ktk jezi ni Ghana...

Kuhusu nyota juu ya logo ya chama au club inawekwa hata kma ni nyota moja..tazama jezi ya Senegal. DRC
 
Kosa moja kubwa sana hakuna ile nembo ya bendera.
Nchi nyingi haziweki nembo ya bendera katika jezi zao ila design ya jezi kwa kiasi kikubwa inaakisi rangi za bendera. Pia wanaweka logo ya chama cha soka cha nchi na kuandika kwa maneno kwa hiyo ni rahisi kujua ni ya nchi gani.
 
Kifuani kwa afrika timu yenye nyota ktk jezi ni Ghana...

Kuhusu nyota juu ya logo ya chama au club inawekwa hata kma ni nyota moja..tazama jezi ya Senegal. DRC
Timu pekee zenye nyota juu ya logo ya vyama vyao vya soka ni Egypt na Cameroon na ndiyo timu pekee zilizoshinda mara 5 au zaidi. Nyota ya Ghana ni ya kutoka kwenye bendera yao na si kwa sababu ya kuchukua ubingwa wa AFCON ndiyo maana wanajiita Black Star na haipo katika logo ya "TFF" yao. Ghana ameshida AFCON mara 4 lakini wameweka nyota hiyo moja tu kifuani.

Kama umeziona nyota kwenye jezi za Senegal na DRC nitumie screenshots.
 
Timu pekee zenye nyota juu ya logo ya vyama vyao vya soka ni Egypt na Cameroon na ndiyo timu pekee zilizoshinda mara 5 au zaidi. Nyota ya Ghana ni ya kutoka kwenye bendera yao na si kwa sababu ya kuchukua ubingwa wa AFCON ndiyo maana wanajiita Black Star na haipo katika logo ya "TFF" yao. Ghana ameshida AFCON mara 4 lakini wameweka nyota hiyo moja tu kifuani.

Kama umeziona nyota kwenye jezi za Senegal na DRC nitumie screenshots.
.....
 

Attachments

  • cc32dc89e7054e199955a4000d7ba7c1.png
    cc32dc89e7054e199955a4000d7ba7c1.png
    303.6 KB · Views: 3
  • DRC_NATIONAL_JERSEY_HOME_FRONT_5a0145d2-c2ff-4f93-9807-ca8d11917e44_1800x1800.jpg
    DRC_NATIONAL_JERSEY_HOME_FRONT_5a0145d2-c2ff-4f93-9807-ca8d11917e44_1800x1800.jpg
    112 KB · Views: 3
Katika pitapita zangu huku mitandaoni, nimekutana na comment zaidi ya moja ya watu wanaosifia kit ya jezi za Tanzania zilizotumika huko AFCON na nilipofuatilia inaonyesha watu hao siyo Watanzania. Hili ni jambo jema sana.

Mfano, kuna mmoja alisema "So this Tanzanian fine jersey just wasted, the most beautiful jersey this Afcon, a pity I won't see this kit again in Afcon", kwa tafsiri ya haraka haraka akimaanisha "Kwa hiyo hii jezi kali ya Tanzania imetumika bure, jezi kali kuliko zote katika hii AFCON, ni bahati mbaya hatutaiona tena katika mashindano haya"

Niliwahi kuwasifia Sandaland walipotoa jezi ya kwanza kabisa ya Simba ya msimu huu.



Nimekutana na comment nyingine ya mtu mmoja baada ya mechi na DRC amehoji inakuwaje Tanzania inatumia kit nyingi, akisema hii ni kit ya tatu kuiona inatumika. Pamoja na kwanza inaonyesha haelewi sheria za mashindano huwa zinataka timu ziwe na jersey zaidi ya moja ila kuna jambo la msingi katika comment yake.

Tujaribu kubuni na kutumia jezi kuu ambayo itakuwa ni unique ambayo tutakuwa tunaitumia mara kwa mara ili iwe utambulisho wa timu ya Taifa, na tubadili pale tu inapohitajika kufanya hivyo au hadi mashindano mengine makubwa tutakayoshiriki. Jersey ni kama logo hautaki kila siku uwe unaibadilisha badilisha bila sababu maalumu. Ukiangalia mechi tatu tulizocheza huko AFCON, tungeweza kutumia jezi moja yoyote katika zile tatu katika mechi zote maana hazikuwa zinaingiliana na jezi ya timu nyingine.

Mtandao maarufu wa habari za michezo wa ESPN umeipa nafasi ya 15 kati ya 24 kit jersey ya Tanzania.

View attachment 2883331

Mtandao wa Urban Pitch umeiorodhesha home jersey ya Tanzania ya blue yenye kola ya njano shingoni kama moja ya jezi 5 bora katika mashindano.

View attachment 2883333

Mtandao wa Balls.ie wa huko Ireland umeipa jersey ya Tanzania nafasi ya 4.

View attachment 2883349
Kwa kumalizia, nadhani katika maboresho ya jezi kuu inahitaji pia kuwa na alama ya nyota kuleta maana nzima ya "Taifa Stars". Nyota inaweza kukaa moja kifuani kama ya Ghana au tukazipanga kama 3 hivi mabegani kumaanisha mastar wetu ni wapiganaji wetu.

Nje ya Mada: Aishi Manula ameorodheshwa katika moja ya top 5 saves za hatua ya makundi. Tujivunie kidogo na hili!
Ukiachana na quality kimuonekano ile jezi ya blue ilikua nzuri sana. Ile yenye michirizi ya blue na njano sio mbaya ila haitupendezi ingefaa zaidi kuwa jezi ya timu ya taifa ya Rwanda, ile nyeusi ndio sijaielewa kabisaaaaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom