ACHA UJINGA, WAZAZI WAKO WALIKUPELEKA SHULEILI UELIMISHE JAMII, KUELIMISHA JAMII SIO KUPANDA MBEGU ZA UDINI, what next pwani ikienda kwa .... na bara kwa ...., mtaanza kubaguana kwa kabila, kisha koo, remember WHAT IS HAPPENING IN SOMALIA.muungano ukivunjika, Tanganyika nayo igawanywe kwa kufuata dini, wakristo wapotelee bara waislam wabaki pwani, tatizo la hawa wakristo wanasukumwa na udini.
Unaenda wapi wewe katiba mpya haikuhusu! au na wewe umekuwa disappointed na mzee wenu?Napita tuu:focus:
ACHA UJINGA, WAZAZI WAKO WALIKUPELEKA SHULEILI UELIMISHE JAMII, KUELIMISHA JAMII SIO KUPANDA MBEGU ZA UDINI, what next pwani ikienda kwa .... na bara kwa ...., mtaanza kubaguana kwa kabila, kisha koo, remember WHAT IS HAPPENING IN SOMALIA.
I am sick with ur comments zinzolenga kutugawa WATZ. NIMECHOKA NIMECHOKA KUSIKIA HUU WIMBO, nina marafiki kibao/wengi sn ambao sio wa dini yangu wala dhehebu langu. Huyo shetani anayewatuma kutugawa sasa mwambieni WATZ hatutaki huu ujinga.
I DO NOT CARE whether you are christian/mohamedian, provided you have the quality to serve the nation. YOU DO IT. I wont look at ur religion as determinant factor
Mawazo kama haya ya mzee mtei ni hatari sana kwa mustakbali wa taifa, halafu cheki kauli yake vizuri anatumia neno "wao"-kurefer waislamu, kwa maana nyingine akimaanisha " siyo sisi", mzee mtei anawagawa watanzania baina ya "wao" na "sisi"- kweli what is hidden in the darkness, will be brought to light- mzee inaelekea unconsciously anatuonyesha kilichopo katika subconscious yake. inasikitisha sana!
Mkuu mimi binafsi nimekuelewa kwa sababu sipendi udini, nakuomba basi unishauri ili niweze kujiunga na chama ambacho akina udini, naomba ushauri wako mkuu wangu.Wanategemea kuja kuwadanganya wanachi kwamba hawana UDINI..kwa kuwatanguliza "Unwanted Products" kama kina zitto ...
Wanafiki wakubwa aiseee
Mkuu mimi binafsi nimekuelewa kwa sababu sipendi udini, nakuomba basi unishauri ili niweze kujiunga na chama ambacho akina udini, naomba ushauri wako mkuu wangu.
Leo mdini mkubwa wamekufikisha makalio yanalia mbwata.Wanategemea kuja kuwadanganya wanachi kwamba hawana UDINI..kwa kuwatanguliza "Unwanted Products" kama kina zitto ...
Wanafiki wakubwa aiseee
Mtei anasema "nikihesabu Waislam ktk hii tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni wao"
Hapa ndio kanikatisha tamaa huyu Mzee Mtei anasema "Wengine ni Wakirsto au watu wasiokuwa na dini yoyote".
Cha kushangaza sijui kawajuaje hawa wasiokuwa na dini yoyote...udini mbaya sana.
Wadini huwajua wadini wenzao.Nyie hamna tofauti sana na Mzee Mtei isipokuwa mko kundi la pili na mlaaniwe wote na vizazi vyenu
Mtumie Private Msg KitilaMkumbo,
Nadhani badala ya kupoteza energy zako hapa ni bora ungempigia simu athibitishe kwamba ni yeye ndiyo ameandika haya au ID yakeimekuwa Hacked?
Unajipa ujiko wa umoderator wa thread kazi nzuri Invisible atakufikiria.Changia hapo juu post ya Mkandara kuhusuwajumbe wa ccm kuwa wengi naomba usiturudishe nyuma kwenye masuala yadini.
Mtei anasema "nikihesabu Waislam ktk hii tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni wao"
Hapa ndio kanikatisha tamaa huyu Mzee Mtei anasema "Wengine ni Wakirsto au watu wasiokuwa na dini yoyote".
Cha kushangaza sijui kawajuaje hawa wasiokuwa na dini yoyote...udini mbaya sana.
Mkuu mimi binafsi nimekuelewa kwa sababu sipendi udini, nakuomba basi unishauri ili niweze kujiunga na chama ambacho akina udini, naomba ushauri wako mkuu wangu.
Kwamba kuna waislam wengi zaidi kwenye tume ya katiba?Fact zipi mkuu?
BINAFSI NI MKRISTO, ILA THIS IS PURE UDINI.. SIKILIZENI HOTUBA ZA MWALIMU NYERERE BEFORE POSTING THIS ****.. HATUMCHAGUI MTU KWA SABABU YA DINI YAKE, RANGI YAKE, KABILA LAKE.. MKITOKA KWA UISLAM NA UKRISTO, KAKOBE NA RWAKATARE WATATAKA WAJUMBE SAWA NA WA-RC, LUTHERI NA KADHALIKA.. TUACHENI UDINI.. NI BORA TUNGEWAKOSOA KWA UWEZO WAO, ILA SI KWA DINI ZAO.
THIS IS CRAAAP OF THE YEAR
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..