Tume ya mabadiliko ya katiba

Umendika mengi lakini mie takujibu yale ya muhimu..

Vyovyote utakavyosema lakini Zanzibar itabaki ni nchi huru, umetoa mifano dhaifu ya asilimia ili kujengo hoja yako lakini hamna kitu.

Udogo wa Zanzibar haifanyi kutokuwa nchi, Vatican City ina wakazi 800 na ina ukubwa wa eneo acres 110 ni nchi sembuse Zanzibar.

Ha ha ha ha ha! Kumbe leo Vatican imekuwa nchi? Sawa sawa na "OIC"? Tatizo hatutaki kuusimamia ukweli kama ulivyo badala yake tunapindisha pindisha maneno kwa faida muflisi za muda mfupi za wakati uliopo.

Haya sasa, Vatican yageuka nchi ghafla kwa mahitaji ya kutetea uhalali wa nchi ya Zanzibar. Sitoshangaa baada ya upepo huu kupita Vatican ikakoma kuwa nchi!
 
Mkuu,

Nilishakujibu kamanda ila pengine hukunisoma. Kigezo cha uteuzi mie naamini ni competence na sio dini ya mtu. Mie ni mtanganyika mbona sijalalamika waislamu tuko kidogo katika composition ya tume ya katiba kutoka bara wakati population ya Tanzania Bara waislamu ni kama 36% ya population? Je unalionaje hilo?

Vile vile Zanzibar kuteuliwa mkristo mmoja vile vile tukiwa tunajadili in terms of demographic kama waislamu ni 99% of the population hata augustion Ramadhani hakutakiwa awepo kwasababu ni almost 100% ya population ya zanzibar ni waislamu. Je nayo waislamu kutoka zanzibar wakihoji uwepo wa Augustion Ramadhani itakuwaje?

Hakuna unafiki but huyu mzee amechemka yeye alitakiwa asupport watu kuteuliwa in terms of competence na sio dini yake kwani tukianza na hayo tutafika mbali ndugu yangu. Ndio nikauliza hoja ya siku nyingi ya waislamu kuwa je ile 70% ya wakristo kuwa wanaongoza serikali imekaaje nijibuni basi!!!

Mdondoaji,

..lakini hata wachangiaji kama Topical,Nas Daz,Mtu wa Katiba, etc waliokuwa wanamjibu Mzee Mtei na wenyewe walijitumbukiza ktk unafiki mkubwa zaidi na kwenda mbali wakidai Zanzibar haikupaswa kuwakilishwa na Mkristo hata mmoja kwasababu 99% ya wa-Zanzibari ni Waislamu.

..Hicho ndicho kilichonifanya mimi niamue kuwa katikati, nione kama kweli kuna wachangiaji ambao genuinely wanataka USAWA ktk nchi hii, au wako kwenye Religious gamesmanship/Udini-Udini.

..The fact kwamba hoja yangu ya kuwa 50-50 imekosa washabiki/wafuasi ni uthibitisho kwamba watu wako kushabikia DINI zao tu na siyo TAIFA.

NB:

..kuna mtu alitaka kufahamu wasifu wa wajumbe wa tume ya katiba, mpaka sasa hivi hakuna aliyemjibu.

..kuna mwana JF alihoji uteuzi wa wabunge ktk tume hiyo, na alileta vifungu ktk mswada ambavyo vinazuia wabunge kuteuliwa lakini nimeona wabunge wawili[mmoja ni wa cdm viti maalum toka ZNZ??] wamo kwenye tume hiyo.
 
Hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.

tazama team hii hapa chini

angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.

Hata mtei kaandika hivi "Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.
"



wakiristo wapo 11
Waislam wapo 23

WALIOTEUA
1.Rais Kikwete -Mwislam
2.Rais Shein---Mwislam


1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti-Mkiristo

2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti -Mwislam

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU--Mkiristo
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI--Mwislam
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI--Mkiristo
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO--Mkiristo
5. Nd. John J. NKOLO--Mkiristo
6. Alhaj Said EL- MAAMRY--Mwislam
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU--Mkiristo
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI--Mkiristo
9. Nd. Humphrey POLEPOLE--Mkiristo
10. Nd. Yahya MSULWA--Mwislam

11. Nd. Esther P. MKWIZU--Mkiristo
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA--Mkiristo
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)--Mwislam
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE--Mwislam
15. Nd. Joseph BUTIKU-Mkiristo

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM--Mwislam
2. Nd. Fatma Said ALI=-Mwislam
3. Nd. Omar Sheha MUSSA--Mwislam
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD--Mwislam
5. Nd. Awadh Ali SAID--Mwislam
6. Nd. Ussi Khamis HAJI--Mwislam
7. Nd. Salma MAOULIDI--Mwislam
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED--Mwislam
9. Nd. Simai Mohamed SAID--Mwislam
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA--Mwislam
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN--Mwislam
12. Nd. Suleiman Omar ALI--Mwislam
13. Nd. Salama Kombo AHMED--Mwislam
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI--Mwislam
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH--Mwislam

UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu --Mwislam
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu --Mwislam
Mashaka yangu kwako ni hiyo red,hivi inamaanisha nini???
 
Mkuu Ndyali, ni kweli nilijipambanua kuwa mimi ni mnazi mkubwa wa EL, ila unazi wangu unaeleweka na ma great thinkers wa humu.

Bahati mbaya wewe ni miongoni mwa wale wenye uelewa duni kuhusu mchakato wa katiba mpya, ila pia lazima nikiri, sio kosa lako, Watanzania wengi zaidi wanahitaji kuelimishwa kuhusu mchakato huu. Kama CCM haiwezi kutengeneza katiba kwa Watanzania, na kwa mwelekeo ulivyo, Chadema ndio itachukua nchi 2015, jee ungeshauri mchakatoi huu wa katiba mpya tuuahirishe mpaka baada ya 2015 ili Chadema ndio watupatie katiba kwa manufaa ya Watanzania?.

Mkuu Pasco, usijifanye kuwa wewe na ccm yako ndiyo wenye uelewa kuhusu mchakato wa katiba mpya hapa utakuwa unakili wazi wazi kuwa mchakato wa katiba mpya ni ninyi tu wenye uelewa, kwa sababu tu mnataka kutengeneza kwa mtazamo wenu tu. Lakini ubishani uliopo hapa ni kwamba watanzania tungetaka mchakato wa katiba ambao watanzania wote tutakuwa na uelewa nayo, siyo wewe Pasco na ccm yoko. Hata hivyo Kila tunapojaribu hili nyinyi mnatokwa povu na kutukashifu kuwa hatuna uelewa!
 
Mhmh tuna safari ndefu sana kurudisha umoja wa kitaifa. Yote haya alianzisha Kikwete na CCM yake kwanza waliibagua CUF kuwa ya waislam then wakaibagua CDM kuwa ya wakristo wakatoliki na walipoenda Arumeru CCM wakamwaga rushwa hadi kanisani. Sasa mbegu ya ubaguzi iliyopandwa Kikwete ili abakie madarakani sasa imeenea kiasi kwamba kila tukio watu wanaliangalia kidini dini
 
Hivi huyu "ndugu" yetu kapagawa? Kwani hapo ndiyo mwisho wa safari? Tusubiri wafanye kazi halafu ikibidi tuwaanike kama mizani italala upande mmoja, au unaonaje. Umekurupuka mpaka unajikanyaga. Do not let your heart do the thinking - it is very unhealthy. Use your head for once. I know it is very but at least try.
 
Mzee Mtei asante kwa maoni yako

Hata mimi JK amenihuzunisha na kunisikitisha sana kwasababu zifuatazo:

a. Viongozi wote wa juu wa tume ni Wakristo tena fundamentalistis kama wewe..hivyo nategemea katiba hii kujaa mambo ya kikanisa..

b. Ukiangalia wajumbe wa 15 kutoka Tanganyika 4 tu ndio waislamu hii inaonyesha dhahiri kuwa Tanganyika wanawajali zaidi wakristo kuliko waislam, hivi Tanganyika ni nchi ya kikristo???

c. Kuhusu wajumbe 15 vs 15 kutoka pande zote za muungano hiyo ni kwa mujibu wa sheria; ndio maana wakati ule chama kilipoenda kunywa joice ikulu niliwauliza kitu hasa mmekibadili kwenye sheria?? kama kawaida pro-chadema wanaogopa kuwauliza makamanda wao..(hivyo hoja yako ni dhaifu sana mzee wangu)

Sasa kama hoja ni dhaifu ;bona umeiunga mkono?usiwe kama kinyonga simamia unachokiamini.
 
hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.

Tazama team hii hapa chini

angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.

hata mtei kaandika hivi "mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu waislamu katika hii tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni wao. Wengine ni wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.
"



wakiristo wapo 11
waislam wapo 23

walioteua
1.rais kikwete -mwislam
2.rais shein---mwislam


1. Mhe. Jaji joseph sinde warioba - mwenyekiti-mkiristo

2. Mhe. Jaji mkuu mstaafu, augustino ramadhani - makamu mwenyekiti -mwislam

wajumbe kutoka tanzania - bara
1. Prof. Mwesiga l. Baregu--mkiristo
2. Nd. Riziki shahari mngwali--mwislam
3. Dr. Edmund adrian sengodo mvungi--mkiristo
4. Nd. Richard shadrack lyimo--mkiristo
5. Nd. John j. Nkolo--mkiristo
6. Alhaj said el- maamry--mwislam
7. Nd. Jesca sydney mkuchu--mkiristo
8. Prof. Palamagamba j. Kabudi--mkiristo
9. Nd. Humphrey polepole--mkiristo
10. Nd. Yahya msulwa--mwislam

11. Nd. Esther p. Mkwizu--mkiristo
12. Nd. Maria malingumu kashonda--mkiristo
13. Mhe. Al-shaymaa j. Kwegyir (mb)--mwislam
14. Nd. Mwantumu jasmine malale--mwislam
15. Nd. Joseph butiku-mkiristo

wajumbe kutoka tanzania - zanzibar
1. Dkt. Salim ahmed salim--mwislam
2. Nd. Fatma said ali=-mwislam
3. Nd. Omar sheha mussa--mwislam
4. Mhe. Raya suleiman hamad--mwislam
5. Nd. Awadh ali said--mwislam
6. Nd. Ussi khamis haji--mwislam
7. Nd. Salma maoulidi--mwislam
8. Nd. Nassor khamis mohammed--mwislam
9. Nd. Simai mohamed said--mwislam
10. Nd. Muhammed yussuf mshamba--mwislam
11. Nd. Kibibi mwinyi hassan--mwislam
12. Nd. Suleiman omar ali--mwislam
13. Nd. Salama kombo ahmed--mwislam
14. Nd. Abubakar mohammed ali--mwislam
15. Nd. Ally abdullah ally saleh--mwislam

uongozi wa sekretarieti
1. Nd. Assaa ahmad rashid - katibu --mwislam
2. Nd. Casmir sumba kyuki - naibu katibu --mwislam


acheni udini..
 
Kule kwenye thread ya Mzee nimejibu na hapa najibu tena!

Kazi ya tume ni kukusanya maoni, hoja ya msingi sio dini za wajumbe wa hiyo tume bali competences zao!. Upatikanaji wa katiba nzuri, utategemea maoni tunayoyatoa na uwezo wa mkusanyaji kuya compile na sio dini yake!.

Natishwa na "the motive behind" wa hii karata ya udini kwenye tume ya katiba na sasa kuinganisha na suala la IOC na Mahakama ya Kadhi!. Mimi ni Mkisto tena Mkatoliki die hard!, kwenye suala la matumizi ya "protection", nimetofautiana na msimamo wa kanisa langu, vivyo hivyo sina tatizo na Tanzania kujiunga OIC au kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi, kwani mahakama hiyo ilikuwepo enzi za mkoloni, mahakama hiyo ipo Zanzibar, Kenya na Uganda!.

Hivyo kitakachoingizwa kwenye katiba mpya hakitokani na wajumbe wengi ni wa imani gani, bali Watanzania waliowengi wanataka nini. Hata kama wajumbe wote 28 wa tume hiyo wangekuwa Wakristu, halamu maoni ya asilimia 30% ya Watanzania wakaitaka mahakama ya kadhi, mahakama hiyo itakuwepo!. Sambamba na suala la uwepo wa muungano, hata kama Wanzanzibari asilimia 99% hawaitaki na asilimia 0.1% tuu ndio wanautaka, muungano utaendelea!.

Kinachohitajika sasa more than anything else ni elimu kwa umma kuhusu zoezi hili!.

Please stop this "udini" nonsense!

Pasco
 
Nitafurahi kweli watu wa Zenji waamue kuuvunja muungano ili tuanze kuijenga Tanganyika yetu takatifu. Jamani akina Kibelaaaaa tumieni uwingi wenu kurudisha nchi yenu nasi tupate yetu tubakie majirani mema. Sisi tuendelee kugonga bia zetu nanyi muendelee kubwia halua na kula tende.
 
Mzee Mtei hapo akubali tu kachemka!.. mtu mwenye hishima zake hawezi akaandika upuuzi kama huo! UDINI ni sumu mbaya sana..! tunakazi ya kuingo`a CCM ila kauli kama hizi zinaturudisha nyuma
 
Mdondoaji,

..lakini hata wachangiaji kama Topical,Nas Daz,Mtu wa Katiba, etc waliokuwa wanamjibu Mzee Mtei na wenyewe walijitumbukiza ktk unafiki mkubwa zaidi na kwenda mbali wakidai Zanzibar haikupaswa kuwakilishwa na Mkristo hata mmoja kwasababu 99% ya wa-Zanzibari ni Waislamu.

..Hicho ndicho kilichonifanya mimi niamue kuwa katikati, nione kama kweli kuna wachangiaji ambao genuinely wanataka USAWA ktk nchi hii, au wako kwenye Religious gamesmanship/Udini-Udini.

..The fact kwamba hoja yangu ya kuwa 50-50 imekosa washabiki/wafuasi ni uthibitisho kwamba watu wako kushabikia DINI zao tu na siyo TAIFA.

NB:

..kuna mtu alitaka kufahamu wasifu wa wajumbe wa tume ya katiba, mpaka sasa hivi hakuna aliyemjibu.

..kuna mwana JF alihoji uteuzi wa wabunge ktk tume hiyo, na alileta vifungu ktk mswada ambavyo vinazuia wabunge kuteuliwa lakini nimeona wabunge wawili[mmoja ni wa cdm viti maalum toka ZNZ??] wamo kwenye tume hiyo.

Mkuu,

Haya maswali nakuunga mkono hapa chini katika angalizo. Siku ilipotangazwa tume niliuliza in terms of competence Professa Dr Issa Shivji ni more competent than any member humo ndani mbona hayumo au kwavile ni mtu yuko very critical against serikali??? Umuhimu wa kufahamu competence ya wajumbe ni jambo naliunga mkono sana.

Kuweka wabunge mie nalipinga kwani wabunge hao hao ndio wanaopitisha muswada ukishafanyiwa marekebisho na kutupatia katiba mpya. Sasa kama navyofahamu mie katiba ndio sheria kuu nchini tukiweka watunga sheria humo ndani hatuoni tunaandaa mazingira ya kuruhusu conflict of interest humo ndani? Ni vema hii tume ipewe nafasi ila binafsi yangu ningelifurahi nguli wangu Professa Shivji angelikuwamo maana pangelikuwa patamu na kuwaka moto lakini ndio haikuwa hivyo.
 
Hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.

tazama team hii hapa chini

angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.

Hata mtei kaandika hivi "Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.
"



wakiristo wapo 11
Waislam wapo 23

WALIOTEUA
1.Rais Kikwete -Mwislam
2.Rais Shein---Mwislam


1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti-Mkiristo

2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti -Mwislam

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU--Mkiristo
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI--Mwislam
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI--Mkiristo
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO--Mkiristo
5. Nd. John J. NKOLO--Mkiristo
6. Alhaj Said EL- MAAMRY--Mwislam
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU--Mkiristo
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI--Mkiristo
9. Nd. Humphrey POLEPOLE--Mkiristo
10. Nd. Yahya MSULWA--Mwislam

11. Nd. Esther P. MKWIZU--Mkiristo
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA--Mkiristo
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)--Mwislam
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE--Mwislam
15. Nd. Joseph BUTIKU-Mkiristo

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM--Mwislam
2. Nd. Fatma Said ALI=-Mwislam
3. Nd. Omar Sheha MUSSA--Mwislam
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD--Mwislam
5. Nd. Awadh Ali SAID--Mwislam
6. Nd. Ussi Khamis HAJI--Mwislam
7. Nd. Salma MAOULIDI--Mwislam
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED--Mwislam
9. Nd. Simai Mohamed SAID--Mwislam
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA--Mwislam
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN--Mwislam
12. Nd. Suleiman Omar ALI--Mwislam
13. Nd. Salama Kombo AHMED--Mwislam
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI--Mwislam
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH--Mwislam

UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu --Mwislam
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu --Mwislam


BINAFSI NI MKRISTO, ILA THIS IS PURE UDINI.. SIKILIZENI HOTUBA ZA MWALIMU NYERERE BEFORE POSTING THIS ****.. HATUMCHAGUI MTU KWA SABABU YA DINI YAKE, RANGI YAKE, KABILA LAKE.. MKITOKA KWA UISLAM NA UKRISTO, KAKOBE NA RWAKATARE WATATAKA WAJUMBE SAWA NA WA-RC, LUTHERI NA KADHALIKA.. TUACHENI UDINI.. NI BORA TUNGEWAKOSOA KWA UWEZO WAO, ILA SI KWA DINI ZAO.

THIS IS CRAAAP OF THE YEAR



acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
acheni udini..
 
Hivi hii tume imeteuliwa kutengeneza kitabu cha dini au katiba? Waacheni wafanye kazi tuliyowatuma msiwatishie nyau!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mmeanza mambo ya kidini,ulitaka wakiristo wawe wangapi? acheni hizo wewe

hapo ilitakiwa kuwe na uwakilishi wa kidini ili kuondoa wale wengine kuanza kuleta udini. Angeteuliwa mmoja atakayewakilisha waislamu na mmoja wakristo. Wapagani hamna noma! Kitakachofuata hapo watu wakiongea watasema wanaongea kwa sababu ya mambo ya dini yao. Hakuna mtu wa kuwasemea watu wa dini fulani. Nyie wekeni mambo yenu ya kutaka kuchapana viboko tutawakatalia na jamaa zenu walivyo wazinifu wengi wataungana na sisi kuukataa huo ujinga mnaoufikiria. Hata kama ni udini,this is too much bwana.
 
Back
Top Bottom