Tume ya mabadiliko ya katiba

Tume ya mabadiliko ya katiba

Hivi nani mwenye kujua kama aliyetuma hii thread ni Edwin Mtei original ?:focus:

Kitendo cha mnyika ambaye ni verified user kutolea maelezo hili jambo ni uthibitisho wa hili!
Una swali lingine? au na wewe ulikuwa unafuata kibubusa bila kujua malengo ya chama nini mkuu!
 
Mtei anasema "nikihesabu Waislam ktk hii tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni wao"

Hapa ndio kanikatisha tamaa huyu Mzee Mtei anasema "Wengine ni Wakirsto au watu wasiokuwa na dini yoyote".

Cha kushangaza sijui kawajuaje hawa wasiokuwa na dini yoyote...udini mbaya sana.

Mkuu naona leo umepata uwanja wa kutanua.Hulali leo.
 
Mkuu naona leo umepata uwanja wa kutanua.Hulali leo.

Mkijuvua nguo mnakuwa wapole..wanafiki wakubwa

Ikulu siyo kanisani mkuu..endeleeni kufuata misingi ya MUASISI wenu Mungu amemfichua leo chuki zake kwa waislamu nyama..fu zake
 
Mkuu naona leo umepata uwanja wa kutanua.Hulali leo.

Hakuna dhambi kama udini mkuu wangu! Mtu anayetaka kuwagawa watanzania kwa dini zao ni hatari sana mkuu wangu tuangane pamoja kupambana na huyo mtu mkuu wangu.

Mwalimu Nyerere alisema dhambi ya udini ni sawa sawa na kula nyama ya binadamu mkuu wangu.
 
Hakuna dhambi kama udini mkuu wangu! Mtu anayetaka kuwagawa watanzania kwa dini zao ni hatari sana mkuu wangu tuangane pamoja kupambana na huyo mtu mkuu wangu.

Mwalimu Nyerere alisema dhambi ya udini ni sawa sawa na kula nyama ya binadamu mkuu wangu.
Tatizo lenu kampeni zenu zinaisha ukishazima komputa, kwenye ground hamuendi mnafikiri zitawasidia Arusha mjini?.
 
Tatizo lenu kampeni zenu zinaisha ukishazima komputa, kwenye ground hamuendi mnafikiri zitawasidia Arusha mjini?.

Kwa kura Arusha ikulu hamtafika...na kwa ajenda ya UDINI ndio mshahau kabisaa...afadhali kutawaliwa na jeshi..
 
Tatizo lenu kampeni zenu zinaisha ukishazima komputa, kwenye ground hamuendi mnafikiri zitawasidia Arusha mjini?.
Kuna mtu mwenye akili timamu mtaani ukamueleze Habari za CCM? hawa ni watu wanaojifurahisha nafsi zao tu hapa JF na kukamilisha malengo ya chuki zao na chakushangaza wengine hata vyama vyao vimekufa sasa wanataka tufe wote.
Hii ni laana ya Marehemu Kighoma Malima inawasumbuwa kwa kukitelekeza chama cha NRA.
 
Tatizo lenu kampeni zenu zinaisha ukishazima komputa, kwenye ground hamuendi mnafikiri zitawasidia Arusha mjini?.

Sie kama Watanzania tunaongelea udini wa Mtei anataka kuwagawa Watanzania kwa dini zao ni hatari sana kwa mustkabali wa taifa letu.
 
Kuna mtu mwenye akili timamu mtaani ukamueleze Habari za CCM? hawa ni watu wanaojifurahisha nafsi zao tu hapa JF na kukamilisha malengo ya chuki zao na chakushangaza wengine hata vyama vyao vimekufa sasa wanataka tufe wote.
Hii ni laana ya Marehemu Kighoma Malima inawasumbuwa kwa kukitelekeza chama cha NRA.

Aisee kwahiyo Mtei anafanana na Kighoma Malima au siyo?? interesting
 
Aisee kwahiyo Mtei anafanana na Kighoma Malima au siyo?? interesting

[TABLE="class: images_table"]
[TR]
[TD]
Afhayeenka dhanka howlagalada ururka alshabaab Sheekh Cabdi Casiis Abuu ...
610 × 508 - 101k - jpg
raxanreeb.com[/TD]
[TD]
Al-Shabaab
158 × 167 - 60k - png
en.wikipedia.org[/TD]
[TD]
Last month, the radical Islamist group al-Shabaab, which controls vast ...
610 × 403 - 78k - jpg
africanarguments.org[/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: images_table"]
[TR]
[TD]
Afhayeenka dhanka howlagalada ururka alshabaab Sheekh Cabdi Casiis Abuu ...
610 × 508 - 101k - jpg
raxanreeb.com[/TD]
[TD]
Al-Shabaab
158 × 167 - 60k - png
en.wikipedia.org[/TD]
[TD]
Last month, the radical Islamist group al-Shabaab, which controls vast ...
610 × 403 - 78k - jpg
africanarguments.org[/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Leta zingine mbona umeleta moja mkuu, hata ufanyaje muasisi wa Chadema anataka kuwagawa Watanzania kwa misingi ya dini zao hilo alikubaliki hata kidogo.
 
Wanajamvi, Hii debate ya Dini isitupofushe tushindwe ku-focus kwenye real issues. Uarabuni ingawa wote ( viongozi na watawaliwa ) ni dini moja, lakini kuna vita kwasababu watu wana kosa huduma za msingi.

Swali la kujiuliza ni je wewe unapata huduma za msingi kutoka chama tawala?

Kama huduma hazipatikani, mabadiliko yanahitajika?...
 
Mzee Mtei asante kwa maoni yako Hata mimi JK amenihuzunisha na kunisikitisha sana kwasababu zifuatazo: a. Viongozi wote wa juu wa tume ni Wakristo tena fundamentalistis kama wewe..hivyo nategemea katiba hii kujaa mambo ya kikanisa.. b. Ukiangalia wajumbe wa 15 kutoka Tanganyika 4 tu ndio waislamu hii inaonyesha dhahiri kuwa Tanganyika wanawajali zaidi wakristo kuliko waislam, hivi Tanganyika ni nchi ya kikristo??? c. Kuhusu wajumbe 15 vs 15 kutoka pande zote za muungano hiyo ni kwa mujibu wa sheria; ndio maana wakati ule chama kilipoenda kunywa joice ikulu niliwauliza kitu hasa mmekibadili kwenye sheria?? kama kawaida pro-chadema wanaogopa kuwauliza makamanda wao..(hivyo hoja yako ni dhaifu sana mzee wangu)
sure kaka mpe huyo mzee kaisha choka akapumzike na wajukuu zake huyo mdiniii mkubwa na ndo agenda ya chama chake ndo maana hata zitto anashambuliwa sn humu nw thy shw wht thy want.......
 
Sie kama Watanzania tunaongelea udini wa Mtei anataka kuwagawa Watanzania kwa dini zao ni hatari sana kwa mustkabali wa taifa letu.

Kikwete na ccm ndio waanzilishi wa hoja za udini. Kalale
 
Back
Top Bottom