Tume ya mabadiliko ya katiba

Mkuu Mdondoaji, Kwanini povu likutoke kama si sababu ya udini wako? Ni ukweli usiopingika kwamba waislam wamekuwa wakindeleza hoja za kuilazimisha serikali kuendesha mahakama ya kadhi kwa ghalama za kodi zetu na pia kuilazimisha serikali yetu kujiunga na OIC, kwa nini unakwepa kutoa maoni yako katika hili? Na unapozungumzia Saudi Arabia na UAE Ukristo hauruhusiwi adhabu ya ni kifo. Zanziba kwenyewe muislam akimsilimisha mkristo ni sherehe lakini Mkristo akibadirisha muislam kuwa mkristo kanisa linachomwa moto. Hapa mkuu unatumia ukali kjenga hoja yako ili kuficha hali halisi jinsi waislam wanavyo wachukulia wakristo. Lengo langu hapa ni kutaka wakristo na waislam waendelee kuishi kwa upendo na undugu uliodum miaka 50 tangu uhuru. chokochoko zipo na umeziona lakini unazifumbia macho kwa sababu ya udini wako.

Ndyali,

Nafikiri hunijui mie muulize Joka Kuu atakuambia mie ni liberalist na ada ya maliberali kutetea haki ya mtu hata kama chungu vipi. Napigilia misumari kote na simfagilii mtu. Ngoja nikuambie hicho unachokifikiria ndio udini wenyewe why???

Ukishaanza kugeneralize kuwa waislamu ni fundamentalist utashangaa ukija kuona mafundamentalist wakristo vile vile. I strongly support Tanzania kujiunga na OIC kwasababu kuna more benefits to us kuliko hoja yenu dhaifu iliyojaa udini. Ndio maana niliwashinda hoja kule kwenye topic ya mahakama ya kadhi na OIC kwasababu hakuna hoja ya maana msomi yeyote anaweza kushawishiwa na nyie.

Hoja ya mtei haina nia dhati ya kujenga umoja bali inataka kuleta ubaguzi wa kidini nchini. Kama angelikuwa anataka kuleta umoja tunatakiwa kuwaamini waliopewa dhamana hiyo wafanye kazi na sio kuangalia kwa jicho la imani zao. Choko choko zinaanzishwa na watu wenye mtizamo hasi dhidi ya watu wa dini nyengine kwa kuwa wanawafikiria mambo mabaya tu wakati uislamu na waislamu ni vitu viwili tofauti!!! Uislamu ni dini na waislamu ni watu.
 
Bwana mdogo Pasco, ningekuwa karibu na wewe ningekunasa kibao, huna nidhamu hata kidogo wewe. Maana yake nini unapoanza kusema :

(1) Baba umeanza kuzeeka! Je, unataka kumaanisha nini hapo? Unataka kusema mzee Mtei sasa ameanza kupungukiwa na ufahamu? Akili? Haki ya kutoa mawazo yake? Heshima yake? Uraia wake?
(2) Wewe umesoma na mtoto wa Mtei.. kwahiyo hujuwi kwamba mzee Mtei ni mzee? Ya nini sasa kutangaza uzee wake wakati unajuwa fika kuwa yeye ni baba yako kwa mujibu wa maelezo yako? Huu ni utovu wa nidhamu Pasco. Hakika yake ningekunasa kibao Pasco…
(3) Umeendelea kumwandama kwa kumkumbusha .."kijanawako Tundu Lisu"..Je, wewe si kijana wake kumbe? Wewe ni kijana wa nani sasa? Sasa ya nini kurudiarudia kumwandama "baba yako"? …Ningekuzaba kibao..
Next time jifunze adabu, leo nakuonya tu kama kaka yako..uwe na nidhamu kijana Pasco

Mawazo yangu:
Hoja ya mzee Mtei si hoja dhaifu. Ni hoja muhimu sana kwa kila mtu, hasa wazee kama yeye, wanapojaribu kutafakari mstakabali wa hali ya nchi yetu katika siku za usoni. Wanaangalia viashiria mbalimbali katika kutafakari mambo yanavyoendelea katika siasa, uchumi na utamaduni wa taifa.

Wazee ni manabii wa taifa. Wamepewa umri huo ili kutahadharisha, kuonya na kufunda vizazi vipya. Tukianza kuwa-Pasco wazee hawa ni maafa ya taifa zima. Tusipuuze wasiwasi wa mzee Mtei.

Tukumbuke kuwa:

(1) Zanzibar imekuwa sehemu ya matatizo ya Katiba yetu pale walipoamua kurekebisha katiba yao kwa kuvuruga katiba ya Muungano
(2) Zanzibar wamejitambulisha kama nchi yenye mipaka yake wakati wakingali ndani ya Muungano
(3) Zanzibar wamekuwa na madai mengi yakiwemo ya kujitenga katika matumizi ya raslimali zao eg mafuta ya Zanzibar, kujiunga na OIC, uwezo wa kujiamulia mambo yao, wimbo wa taifa lao, bendera yao, kuwakilishwa katika UN kama nchi huru, kuwa na uwakilishi wa nchi katika EAC.. na kadhalika.

1] Je, kwa mtiririko huo huoni kuwa tatizo lipo upande wa Bara, kwa maana kuwa Katiba ya Muungano ni Katiba ya Bara, wakati huo ikitumika kuwabeba na wa-Zanzibar ?
2] Wa-Zanzibar ni 3% ya population ya Tanzania. Kwanini wapewe nguvu ya 50% katika Kamati ya Katiba yenye maslahi ya 97% ya watu wa-Bara?

Hapo haikuhitajika sharia bali hekima zaidi. Zingatia kuwa Zanzibar hawakuhitaji sharia kufanya mabadiliko ya katiba yao bali hekima yao na mabavutu.

Hoja ya pili, kuhusu dini, kweli hoja hii ni hatari. Lakini, kila mtu mwenye kumbukumbu na ufahamu hataacha kuzingatia kuwa, wa-Islam wamekuwa na madai mengi . Baadhi yake ni

(1) Kuwa na Mahakama ya Kadhi inayotambuliwa kisheria na ki-Katiba.
(2) Zamu katika uongozi wa ki-taifa, yaani rais mu-Islam akitoka mu-Krsto
(3) Idadi sawa ya viongozi wa ki-taifa, yaani mawaziri na viongozi waandamizi wa mashirika ya umma..nk

Kutokana na mambo hayo, baadhi ya watu wanaanza kuwa na wasiwasi na ratio ya wa-Islam katika Kamati ya Katiba. Katika Kamati hiyo utakuta kuwa wa-Islam ni 64%. Ratio hiyo inawapa uwezo wa ku=influence mawazo na utendaji kazi wa Kamati ya Katiba. Na mimi sioni kwa nini wasifanye hivyo kwa sababu ya historia iliyopo ya madai yao.

Hivyo mzee Mtei hana kosa kuwa na wasiwasi huo. Yeye katoa mawazo yake kama miongoni mwa wazee wa taifa hili. Hastahili kupuuzwa na kuambiwa nyamaza wewe "umezeeka"!

Mwisho mimi napendekeza kuwa..
[1] Tuvunje kwanza Muungano
[2] Tufufue taifa la Tanganyika na Katiba yake
[3] Tuziulize hizi nchi mbili kama zinataka kuungana ama kukutana katika Shirikisho la East Afrika

Naitwa Sungura na bahati mbaya sijuwi sharia kabisa …
 
Kwani katiba mpya ni ya Tanganyika ama ya Zanzibar?
Kuna ujinga mkubwa sana unaendelea na umekuwa ukiendelea kwa muda miongoni mwetu, huu ni wakati wa kuufutilia mbali once and for all!

Tunatafuta katiba ya Tanzania nimekutajia Tanganyika ili nieleweke vizuri basi ngoja nikutajie Tanzania Bara kuna Watanzania bara wanalalamika kuwa tume ya mabadiliko ya katiba imewapendelea Wakiristo.

Katika tume hiyo Wakiristo 11 Waislam 4 tu. Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba na msaidizi wake Jaji A. Ramadhan wote Wakiristo.

Mzee Mtei, kasema tume imejaa Waislam wengi kawatambua kwa majina yao lakini upande wa pili anasema kuna Wakiristo na wengine hawana dini sijui kajuaje.

Mie naongea kama Mtazania bara kuwa tume yetu imejaa Wakirsto wengi.
 
Kwanini wakristo wawemo katika tume ya katiba kutokea zanzibar??? Au kwanini waislamu wawemo katika tume ya katiba kutokea bara? Je wakristo wa zanzibar hawawezi kuwakilishwa na waislamu waliopo kutokea zanzibar au vice versa kutokea bara waislamu hawawezi kuwakilishwa na wakristo waliomo katika tume??? Kipi ni muhimu competence au dini ya mtu huoni huko ni kufilisika kisiasa na kiakili? Je nikuuliza mbona hamjibu hoja ya waislamu kwanini wakristo wapo 70% serikali ya muungano wakati waislamu ni 50% ya population?

Mdondoaji,

..nijibu hoja yangu kama kweli unaamini Zanzibar hakuna Wakristo 7 wenye sifa za kuwa kwenye Tume ya Katiba.

..Zaidi nieleze kama huku Tanganyika u dont know of 4 more Muslimu who r qualified kuwa kwenye Tume ya Katiba.

..hizi ni nafasi za UTEUZI siyo kama wahusika wameomba wenyewe, au ni nafasi zinazohitaji mhusika awe ameanzia kwenye entry level.

..nimeyaona makosa ya Mzee Mtei, lakini nadhani kuna unafiki mkubwa sana miongoni mwa wale wanaomkosoa.
 
baada ya maoni yetu sisi Watanzania kukusanywa na kigezo cha umri kwa mgombea urais kurekebishwa, na hii ndiyo itampa Zitto nafasi ya kugombea, hilo ndio tatizo, ki ukweli Warioba anamkubali Zitto, Salim nae pia, nasi baadhi yetu tunamkubali pia, tatizo nadhani ndiyo liko hapa, hili la kuiona tume siyo sijui waislam wengi, zenji wako wachache hiweje wawe sawa na bara ni kama porojo tu. kwangu mimi Zitto ni Reformer (samahani kama nitakuwa nimeenda mbali ) kwa nchi yetu ilipofikia sasa tunamuhitaji kiongozi kama Zitto

Nilikuwa nimekusudia kuwa mtazamaji lakini umenilazimisha kuingia uwanjani.

Ulichoandika hapa ni very low and out of context. Assuming kwamba ni kweli uliyoandika, lakini ukumbuke kwamba chadema wana utaratibu wao wa kufanya uteuzi wa mgombea wao wa uraisi.

Jaji waryoba na dr salim hawawezi kufanya maamuzi kwa niaba ya chadema.
 
Mdondoaji,

..nijibu hoja yangu kama kweli unaamini Zanzibar hakuna Wakristo 7 wenye sifa za kuwa kwenye Tume ya Katiba.

..Zaidi nieleze kama huku Tanganyika u dont know of 4 more Muslimu who r qualified kuwa kwenye Tume ya Katiba.

..hizi ni nafasi za UTEUZI siyo kama wahusika wameomba wenyewe, au ni nafasi zinazohitaji mhusika awe ameanzia kwenye entry level.

..nimeyaona makosa ya Mzee Mtei, lakini nadhani kuna unafiki mkubwa sana miongoni mwa wale wanaomkosoa.

Mkuu,

Nilishakujibu kamanda ila pengine hukunisoma. Kigezo cha uteuzi mie naamini ni competence na sio dini ya mtu. Mie ni mtanganyika mbona sijalalamika waislamu tuko kidogo katika composition ya tume ya katiba kutoka bara wakati population ya Tanzania Bara waislamu ni kama 36% ya population? Je unalionaje hilo?

Vile vile Zanzibar kuteuliwa mkristo mmoja vile vile tukiwa tunajadili in terms of demographic kama waislamu ni 99% of the population hata augustion Ramadhani hakutakiwa awepo kwasababu ni almost 100% ya population ya zanzibar ni waislamu. Je nayo waislamu kutoka zanzibar wakihoji uwepo wa Augustion Ramadhani itakuwaje?

Hakuna unafiki but huyu mzee amechemka yeye alitakiwa asupport watu kuteuliwa in terms of competence na sio dini yake kwani tukianza na hayo tutafika mbali ndugu yangu. Ndio nikauliza hoja ya siku nyingi ya waislamu kuwa je ile 70% ya wakristo kuwa wanaongoza serikali imekaaje nijibuni basi!!!
 
Mkuu Pasco, kwanza kabisa uliwahi kujipambanua kuwa wewe ni Mnaz sugu wa EL. na kama ni hivyo maneno yako yaliyo matmu humu ni kutudanganya ili mshirikiane na tume hii kuchakachua maoni ya watanzania kuhusu katiba yao kwa manufaa ya EL na na timu yake. ccm haiwezi hata siku moja kutengeneza katiba kwa manufaa ya watanzania hili sahau!
Mkuu Ndyali, ni kweli nilijipambanua kuwa mimi ni mnazi mkubwa wa EL, ila unazi wangu unaeleweka na ma great thinkers wa humu.

Bahati mbaya wewe ni miongoni mwa wale wenye uelewa duni kuhusu mchakato wa katiba mpya, ila pia lazima nikiri, sio kosa lako, Watanzania wengi zaidi wanahitaji kuelimishwa kuhusu mchakato huu. Kama CCM haiwezi kutengeneza katiba kwa Watanzania, na kwa mwelekeo ulivyo, Chadema ndio itachukua nchi 2015, jee ungeshauri mchakatoi huu wa katiba mpya tuuahirishe mpaka baada ya 2015 ili Chadema ndio watupatie katiba kwa manufaa ya Watanzania?.
 
mkuu Mwita, hisia zangu tu ndiyo zimekuondoa kutoka kwenye utazamaji wako na kuwa mchangiaji? unaonaje lakini wewe binafsi mlezi wa chama ambacho labda kitakuja kupata dhamana ya kuwaongoza watanzania anapoleta swala la udini?

Nilikuwa nimekusudia kuwa mtazamaji lakini umenilazimisha kuingia uwanjani.

Ulichoandika hapa ni very low and out of context. Assuming kwamba ni kweli uliyoandika, lakini ukumbuke kwamba chadema wana utaratibu wao wa kufanya uteuzi wa mgombea wao wa uraisi.

Jaji waryoba na dr salim hawawezi kufanya maamuzi kwa niaba ya chadema.
 
bora muungano uvunjwe maana haki za waislam wa tanganyika zinamezwa sana na wazanzibar ktk mambo mengi yanayohusu serikali ya muungano!!!
 
mkuu Mwita, hisia zangu tu ndiyo zimekuondoa kutoka kwenye utazamaji wako na kuwa mchangiaji? unaonaje lakini wewe binafsi mlezi wa chama ambacho labda kitakuja kupata dhamana ya kuwaongoza watanzania anapoleta swala la udini?

Hakika mkuu mtazamo wako ndio umeniingiza uwanjani.

Hii issue ni very tricky, ndio maana niliamua kuwa mtazamaji. Kwa sasahivi sitatoa maoni yoyote juu ya mtazamo wa mzee mtei.
 
Licha ya kwamba J.K. kajitahidi kuwa na vigogo kweli kweli, na Katiba ya sasa imezingatiwa ktk kuandaa m'badala wake, muundo wa hii Tume umedhihirisha kwamba demokrasia ya kweli ni ndoto kwa Watanzania wa leo. Kama tunanuia kwa dhati kuwa na Demokrasis ya kweli, itabidi Watanzania wanaoamini kwamba hilo ni muhimu, waendelee na juhudi za kuandaa hata Mabadiliko kwa Katiba Mpya ijayo.

Kwa mfano ni jambo la kichekesho kwamba Tanzania Bara ambayo ina Watu takriban 42 milioni iwakilishe na wajumbe sawa na Tanzania Zanzibar ambayo ina watu wasiozidi 1.5 milioni. Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.

Hata kama ni lazima tujali Muungano wa Jamhuri yetu, hatuwezi kupuuza ukweli kuwa sasa kuna matatizo ya umilikaji wa raslimali maliasili (e.g. gas), na kuna wananchi wamediriki hata kwenda Umoja wa Mataifa kudai Zanzibar ijiondoe.

Haya ni mambo mazito na nimeona ni vema niyataje sasa, siyo tu yajadiliwe na Tume, bali ikiwa ni lazima, basi mjadala uendelee hata baada ya Tume kutoa taarifa na Bunge Maalum kupitisha Katiba Mpya.

JK kaunda tume yenye harufu za udini, ila mtu akihoji anabatizwa kuwa mdini.
 
Hoja yasngu hapa siyo kuongelea ubaguzi wa kidini wala nini ila ni kutazama malengo ya kiudini yaliyojificha humu ndani.nafikirei hapa mahakama ya kadhi nchini tanzania inanukia.

tazama team hii hapa chini

angalizo-mimi nimetazama majina yao kuwapanga kidini.

Hata mtei kaandika hivi "Mfano wa pili ni kwamba, licha ya kwamba Tanzania siyo nchi inayozingatia dini katika maamuzi yake ya kisiasa, ni lazima tukubali kuwa madhehebu ya dini yana influence katika mchakato na hatimaye maamuzi. Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote.
"



wakiristo wapo 11
Waislam wapo 23

WALIOTEUA
1.Rais Kikwete -Mwislam
2.Rais Shein---Mwislam


1. Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA - Mwenyekiti-Mkiristo

2. Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti -Mwislam

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA
1. Prof. Mwesiga L. BAREGU--Mkiristo
2. Nd. Riziki Shahari MNGWALI--Mwislam
3. Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI--Mkiristo
4. Nd. Richard Shadrack LYIMO--Mkiristo
5. Nd. John J. NKOLO--Mkiristo
6. Alhaj Said EL- MAAMRY--Mwislam
7. Nd. Jesca Sydney MKUCHU--Mkiristo
8. Prof. Palamagamba J. KABUDI--Mkiristo
9. Nd. Humphrey POLEPOLE--Mkiristo
10. Nd. Yahya MSULWA--Mwislam

11. Nd. Esther P. MKWIZU--Mkiristo
12. Nd. Maria Malingumu KASHONDA--Mkiristo
13. Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)--Mwislam
14. Nd. Mwantumu Jasmine MALALE--Mwislam
15. Nd. Joseph BUTIKU-Mkiristo

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR
1. Dkt. Salim Ahmed SALIM--Mwislam
2. Nd. Fatma Said ALI=-Mwislam
3. Nd. Omar Sheha MUSSA--Mwislam
4. Mhe. Raya Suleiman HAMAD--Mwislam
5. Nd. Awadh Ali SAID--Mwislam
6. Nd. Ussi Khamis HAJI--Mwislam
7. Nd. Salma MAOULIDI--Mwislam
8. Nd. Nassor Khamis MOHAMMED--Mwislam
9. Nd. Simai Mohamed SAID--Mwislam
10. Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA--Mwislam
11. Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN--Mwislam
12. Nd. Suleiman Omar ALI--Mwislam
13. Nd. Salama Kombo AHMED--Mwislam
14. Nd. Abubakar Mohammed ALI--Mwislam
15. Nd. Ally Abdullah Ally SALEH--Mwislam

UONGOZI WA SEKRETARIETI
1. Nd. Assaa Ahmad RASHID - Katibu --Mwislam
2. Nd. Casmir Sumba KYUKI - Naibu Katibu --Mwislam
 
Bwana mdogo Pasco, ningekuwa karibu nwewe ningekunasa kibao,huna nidhamu hata kidogo wewe. Maana yake nini unapoanza kusema :
(1) Baba umeanza kuzeeka! Je, unataka kumaanisha nihapo, kuwa mzee Mtei sasa ameanza kupungukiwa na ufahamu? Akili? Haki ya kutoamawazo yake? Heshima yake? Uraia wake?
(2) Wewe umesoma na mtoto wa Mtei.. kwahiyo hujuwikwamba mzee Mtei ni mzee? Ya nini sasa kutangaza uzee wake wakati unajuwa fikakuwa yeye ni baba yako kwa mujibu wa maelezo yako? Huu ni utovu wa nidhamuPasco. Hakika yake ningekunasa kibao Pasco
(3) Umeendelea kumwandama kwa kumkumbusha ..kijanawako Tundu Lisu..Je, wewe si kijana wake kumbe? Sasa ya nini kurudiarudiakumwandama baba yako? Ningekuzaba kibao..
Next time jifunze adabu, leo nakuonya tu kama kaka yako..uwena nidhamu kijana Pasco
Mawazo yangu:
Hoja ya mzee Mtei si hoja dhaifu. Ni hoja muhimu sana kwakila mtu, hasa wazee kama yeye, wanapojaribu kutafakari mstakabali wa hali yanchi yetu katika siku za usoni. Wanaangalia viashiria mbalimbali katikakufakari mambo yanavyoendelea katika siasa, uchumi na utamaduni wa taifa.
Wazee ni manabii wa taifa. Wamepewa umri huo ilikutahadharisha, kuonya na kufunda vizazi vypya. Tukianza kuwa-Pasco wazee hawani maafa ya taifa zima. Tusipuuze wasiwasi wa mzee Mtei.
(1) Zanzibar imekuwa sehemu ya matatizo ya Katibayetu pale walipoamua kurekebisha katiba yao kwa kuvuruga katiba ya Muungano
(2) Zanzibar wamejitambulisha kama nchi yenye mipakayake wakati wakingali ndani ya Muungano
(3) Zanzibar wamekuwa na madai mengi yakiwemo ya kujitengakatika matumizi ya raslimali zao eg mafuta ya Zanzibar, kujiunga na OIC, uwezowa kujiamulia mambo yao, wimbo wa taifa lao, bendera yao, kuwakilishwa katikaUN kama nchi huru, kuwa na uwakilishi wan chi katika EAC.. na kadhalika.
1] Je, kwa mtiririko huo huoni kuwa tatizo lipo upande wa Bara, kwa maanakuwa Katiba ya Muungano ni Katiba ya Bara wakati huo ikitumika kuwabeba nawa-Zanzibar ?
2] Wa-Zanzibar ni 3% ya population ya Tanzania. Kwanini wapewenguvu ya 50% katika Kamati ya Katiba yenye maslahi ya 97% ya watu w a-Bara?
Hapo haikuhitajika sharia bali hekima zaidi. Zingatia kuwa Zanzibarhawakuhitaji sharia kufanya mabadiliko ya katiba yao bali hekima yao na mabavutu.
Hoja ya pili, kuhusu dini, kweli ni hatari. Lakini, kila mtumwenye kumbukumbu na ufahamu hataacha kuzingatia kuwa, wa-Islam wamekuwa namadai mengi . Baadhi yake ni
(1) Kuwa na Mahakama ya Kadhi inayotambuliwakisheria na ki-Katiba.
(2) Zamu katika uongozi wa ki-taifa, yaani raismu-Islam akitoka mu-Krsto
(3) Idadi sawa ya viongozi wa ki-taifa, yaanimawaziri na viongozi waandamizi wa mashirika ya umma..nk
Kutokana na mambo hayo, baadhi ya watu wanaanza kuwa nawasiwasi na ratio yaw a-Islam katika Kamati ya Katiba. Katika Kamati hiyoutakuta kuwa wa-Islam ni 64%. Ratio hiyo inawapa uwezo wa ku=influence mawazona utendaji kazi wa Kamati ya Katiba. Na mimi sioni kwa nini wasifanye hivyokwa sababu ya historia iliyopo ya madai yao.
Hivyo mzee Mtei hana kosa kuwa na wasiwasi huo. Yeye katoamawazo yake kama miongoni mwa wazee wa taifa hili. Hastahili kupuuzwa na kuambiwanyamaza wewe umezeeka

Mwisho mimi napendekeza kuwa..
[1] Tuvunje kwanza Muungano
[2] Tufufue taifa la Tanganyika na Katiba yake
[3] Tuziulize hizi nchi mbili kama zinataka kuungana amakukutana katika Shirikisho la East Afrika
Naitwa Sungura na bahati mbaya sijuwi sharia kabisa 

Umendika mengi lakini mie takujibu yale ya muhimu..

Vyovyote utakavyosema lakini Zanzibar itabaki ni nchi huru, umetoa mifano dhaifu ya asilimia ili kujengo hoja yako lakini hamna kitu.

Udogo wa Zanzibar haifanyi kutokuwa nchi, Vatican City ina wakazi 800 na ina ukubwa wa eneo acres 110 ni nchi sembuse Zanzibar.
 
Wadau,
Huyu member Edwin Mtwei hajakuwa Verified kama ndie Mtei ninayemfahamu au mwingine!!! Kama ni Edwin Mtei huyu huyu mwanzilishi wa CHADEMA...basi sina budi kusema kwamba am completely disappointed na kuogopa!!! Kama kweli ni Edwin Mtei Muhasisi wa CHADEMA, basi nakiri kwamba CHADEMA ni chama cha udini!!! Hivi kwanza inatokeaje kwa mtu anaanza kuhesabu watu na kuangalia Wakristo wangapi na waislamu wangapi?! Hivi mtoa mada hafahamu vyovyote iwavyo, ili mradi patatokea mgawanyo ulio sawa wa wajumbe toka bara na znz basi lazima waislamu watazidi tu as overall kwavile watakaotoka znz karibu wote ni waislamu? Katika hili ili kuleta upuuzi wa ku-balance kwa vigezo vya dini; je mteuaji anatakiwa kufanya nini? Kwavile ZNZ watatoka waislamu pekee atapaswa bara kuteua wakristo pekee ili kuleta uwiano?!

Hakika nasema, ikiwa ni kweli mtoa hoja ni Edwin Mtei wa CHADEMA, basi am completely disappointed by him!!! Sikutarajia na wala sikufikiria kwamba mtu kama yeye anaweza kuwa na mawazo mgando kama haya! Niliona thread moja ambayo imesema msimamo wa Mtei ni huu ulioandikwa na "Mtei huyu!" Sio siri, nilitaka kubisha kwa kuamini kauli kama hiyo haiwezi kutolewa na mtu anayeheshimika kama Edwin Mtei! Na kama huo utakuwa ndio msimamo wa chama, basi am afraid kwamba bado hatuna chama makini tanzania!

Aaaaah! Jamani. Mbona unafiki umetujaa hivi? Hapo kwenye red; sijui tafsiri yako ya "mtu" ni ipi ila kama ni ninayoifahamu mimi basi hebu muulize Sheikh Bassaleh na kundi lake, Radio Imaan, na magazeti ya Annuur na Al-Huda.

Yaani mkuu leo unajidai "inakuwaje" mtu anaanza kuhesabu dini fulani ni wangapi? Mbona hayo mambo ni kawaida sana katika jamii yetu na serikali imeyaendekeza yenyewe?
 
mmeanza mambo ya kidini,ulitaka wakiristo wawe wangapi? acheni hizo wewe
 
muungano ukivunjika, Tanganyika nayo igawanywe kwa kufuata dini, wakristo wapotelee bara waislam wabaki pwani, tatizo la hawa wakristo wanasukumwa na udini.
 
Back
Top Bottom