mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
ahsante shemeji one love sina mengi ya kusema tutaonana baadae kule kwetu ukubwani street
Last edited by a moderator:
love u my angel
Ahsante sana.Umesahau kutuchagulia wimbo wa kusindikiza salamu.natuma salam kwa Mke wangu mpendwa Dena Amsi Chunga sana Bishanga ameenda kutafuta kizizi bagamoyo eti anataka akuwekee ili umpende Nakupenda sana my wife Dena Amsi na ni wewe tuu uko moyoni mwangu ( KOKUTONA asione hapa)nawasalimia Lady doctor, Madame B Zion Daughter, Blaki Womani, Preta, Chocs, amu, Mamndenyi, AshaDii, gfsonwin, ladyfurahia, sweetlady, Arabela, mwaJ, King'asti, Ablessed, farkhina, The secretary, DEMBA, MwanajamiiOne, Evelyn Salt[/MENTION Chocs, charminglady, snowhite, Heaven on Earth, KOKUTONA, Passion Lady na Paloma kaka zangu SnowBall, Ruttashobolwa, Rutashubanyuma, Erickb52, Arushaone, BAK, EMT, HorsePower, Jiwe Linaloishi, kiwatengu, sosoliso, Mentor, @excellent, KakaKiiza, Kaizer, figganigga, Dark City, Asprin, Vin Diesel, Himidini, MziziMkavu, Mtambuzi Chimbuvu na wewe mwenyewe mchemsho
Malkia wangu kama ni kwa wakubwa huko kwa wadogo unafanya nini njoo huku tule kuku kwa mrijasi kule kwa wakubwa my king
Na wewe watamanishe, kwani wamekuzidi kipi T.S?mnatutamanisha wenzenu
Zion Daughter nimeshachagua bana nafikiri ni When a man loves a woman wa Michael Bolton mtaalam BAK ndo huyo wamempiga ban angekuwekea hapaAhsante sana.Umesahau kutuchagulia wimbo wa kusindikiza salamu.
BAK amekula ban lini tena mkuu?Zion Daughter nimeshachagua bana nafikiri ni When a man loves a woman wa Michael Bolton mtaalam BAK ndo huyo wamempiga ban angekuwekea hapa
Naona unatishia mtu mzima nyau, watu wenyewe Invisibles wewe huwaoni wao wanakuona huogopi?Natuma salamu za asubuhi njema kwa Maxence Melo, Fang, Invisible Moderator1 na mods woooote!!!!!
UJUMBE: Nawapenda saaaana ila siku mkinipa Ban naacha kuwapenda........
WIMBO: Vile mlivyo nawapenda tu!!!!!
Malkia wangu kama ni kwa wakubwa huko kwa wadogo unafanya nini njoo huku tule kuku kwa mrija
BAK yuko kifungoni my kingBAK amekula ban lini tena mkuu?