Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Hapo kwa Bold...ndo mana yakeeeeeeeeeeeeee.
Afu umemisiwa sana na jamaa mmoja hivi anayejiitaga jina la mkoa mmoja wa kanda ya kaskazini mwa Tanganyika, jinale laanza na A laishia na E.
Mambo!
Hapo kwa Bold...ndo mana yakeeeeeeeeeeeeee.
W. J. Malecela vijana wanakusalimu huku, ingawahawajui wewe ni Mzee Kijana.natuma salamu......kwa vichwa pazi wote wa jf,ambao wakinywa bia mbili tu wanaropoka mambo yao yote hazari. pili napenda kutuma salamu kwa dada zangu wote wa jf ambao ukiwa na gari tu hata ambulance hakukatai...tatu na mwisho napenda kutuma salamu kwa wazee wote wa jf walio zidi miaka hamsini wake/waume ambao bado meno ipo na wanakula mifupa wanatafuna vijana wa dogo....ujumbeUSINGIZI NI MWAZO WA UMASIKINI. naomba jimbo ya CHEUSI MAGALAA
Natuma salam kwa mume wangu kipenzi Arushaone, shemeji zangu wa ukwee Erickb52, Mwanyasi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula, PakaJimmy, @crushwise, sosoliso, kiwatengu, Mokoyo
bila kuwasahau dada zangu Passion Lady, ladyfurahia, charminglady, sweetlady, Ladymasa, my wii Heaven on Earth, mke mwenza Chocs Paloma mamy measkron na daddy watu8 pamoja na shemeji yangu mtarajiwa 24hrs.
Ujumbe: NAWAPENDA SANA
We also love you dearly our daughter Lady doctor...
Mkuu Money Stunna, ukituma salaam kwa mtu, unasema na salaam ni za nini?!.bila kusahau salamu kwa Pasco
Mkuu Money Stunna, ukituma salaam kwa mtu, unasema na salaam ni za nini?!.
Pasco.
Mkuu AR-1, niko poa!.
Ahsante kwa salamu mbona hujachagua wimbo wa kusindikiza salamu zako?
salamu zangu za dhati; zenye upendo usio kifani kwa mwandani wa roho yangu na mzishi wangu Mamndenyi akupe umri; akupe nuru akuepushe na mahasidi kama Bishanga; akuweke mbali na watu wenye balaa na uroho wa kutamani vitu wasivyoweza kula kama Bujibuji; akupe nguvu ya kumridhisha mpenzi wako chama akuepusha na vizee visivyo na haya kama Baba V
MatolaW. J. Malecela vijana wanakusalimu huku, ingawahawajui wewe ni Mzee Kijana.
Ujumbe, ukubwa wa puwa si wingi wa kamasi, nisikae kwa Baba mnataka nikae kwa Baba zenu? Na mabebs wangu wa waukwenhe!
Oh wimbo??
cacico kamata Kwetu Pazuri
BADILI TABIA chuku Kwanini Umeyaruhusu
Kongosho pokea- İshara kubwa imeonekana mbinguni
Na wewe hommie nakudediketia Aramba aramba tena., amm amm
Ben Saanane hatarusha ngumi..?
Natuma salam kwa mume wangu kipenzi Arushaone, shemeji zangu wa ukwee Erickb52, Mwanyasi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula, PakaJimmy, @crushwise, sosoliso, kiwatengu, Mokoyo
bila kuwasahau dada zangu Passion Lady, ladyfurahia, charminglady, sweetlady, Ladymasa, my wii Heaven on Earth, mke mwenza Chocs Paloma mamy measkron na daddy watu8 pamoja na shemeji yangu mtarajiwa 24hrs.
Ujumbe: NAWAPENDA SANA