Mlikutania wapi mama? funguka mama shemejio Mr Rocky akusikie.
mhhhh angalia usije ukapata brain konkosheni hapa akifunguka
Mlikutania wapi mama? funguka mama shemejio Mr Rocky akusikie.
Heaven on Earth si umeona alikokuwa anaenda kutembelea lakinihahaaaaaaaaaaa Mr Rocky umenichekesha eti anaibuka mida ya usiku
na we hapo si unakuwa na ,mambo zingine jamani.....
hahahaa umefurahi eeh...
hahahaa umefurahi eeh...
Heaven on Earth si umeona alikokuwa anaenda kutembelea lakini
Alikuwa akishachoshwa kuona specimen ndo anaibuka kunitafuta
natuma salam kwa Mke wangu mpendwa Dena Amsi Chunga sana Bishanga ameenda kutafuta kizizi bagamoyo eti anataka akuwekee ili umpende Nakupenda sana my wife Dena Amsi na ni wewe tuu uko moyoni mwangu ( KOKUTONA asione hapa)nawasalimia Lady doctor, Madame B Zion Daughter, Blaki Womani, Preta, Chocs, amu, Mamndenyi, AshaDii, gfsonwin, ladyfurahia, sweetlady, Arabela, mwaJ, King'asti, Ablessed, farkhina, The secretary, DEMBA, MwanajamiiOne, Evelyn Salt[/MENTION Chocs, charminglady, snowhite, Heaven on Earth, KOKUTONA, Passion Lady na Paloma kaka zangu SnowBall, Ruttashobolwa, Rutashubanyuma, Erickb52, Arushaone, BAK, EMT, HorsePower, Jiwe Linaloishi, kiwatengu, sosoliso, Mentor, @excellent, KakaKiiza, Kaizer, figganigga, Dark City, Asprin, Vin Diesel, Himidini, MziziMkavu, Mtambuzi Chimbuvu na wewe mwenyewe mchemsho
hahahaaaa we anakutumia ku fill the gaps.my king hatareeeeee
hizo specimen zaniweka roho juu,this time mguu wangu mguu wake pande hizo
cc grafani 11
Asante sana kaka mpendwa toka juzi nimeanika betri leo zimekubali kuwaka nakutana na ujumbe uliorekodiwa......
nawasalimu wana JF wote
Ujumbe: JF oyeeee
Wimbo: Kalubandika wa kizazi cha zamani
ila siku hizi maamuzi yanafanywa na wapendanao