Natuma salam kwa my akanana
Passion Lady ujumbe ni me mumiss
Natuma salam kwa
Lady doctor ya kwamba
Arusha one ana kuzunguka.
Natuma salam kwa
Paloma ya kwamba alicho kifanya
sosoliso pale yenu bar kimenisikitisha sana.
Natuma salam kwa
AshaDii na
Nicas Mtei ya kwamba hata sisi huku watukumbuke wasipotee.
Natuma salamu kwa my boss
charminglady Mamndenyi ya kwamba ni miezi saba sasa hawajanilipa mshahara wangu na kinacho fata ni kuwasue.
Natuma salam kwa babu
Asprin ya kwamba..................
Natuma salam kwa
Madame B ya kwamba augue pole maana knockout aliyo hipata toka kwa
Elizabeth domonic siyo mchezo.
Natuma salam kwa teacher
gfsonwin ya kwamba, je alihusishwa kwenye reseach kabla ya kubadilisha div zero to five?
Natuma salamu kwa
Bishanga ya kwamba wanajukwaa wame kumiss na huku umeacha ugomvi wa ufestiledi kati ya
The secretary na
Kongosho.