Tuma salamu zako hapa

Tuma salamu zako hapa

My shout outs to you my darling Chocs I miss you badly.....
 
Last edited by a moderator:
Wewe shansarie uliniambia unamuwekea shabu huko kwenye kifanywa ili kila akiingia akute saizi inazidi kuwa ndogo lol..

ushahidi uko wapi wewe acha umbea hata ikiwekwa shabu atajua tuu.
 
Last edited by a moderator:
salamu za mwanzo kabisa ziwadikie wake zangu wapenzi AshaDii gfsonwin na mke mupya kabisa barafu wangu DEMBA, akiwa pembeni yangu

Pili zimfikie homeboi wangu Asprin, akiwa kaunta ya juu Kingstaa, tatu zimfikie msiri wangu mwaJ, akiwa kule Sirari na Mwita Maranya. Tatu zimfikie mtawa mwallu akiwa parokiani, Heaven on Earth akiwa kinondoni shamba na bila kumsahau mwalimu wangu kipenzi wa vitendawili Madame B akiwa darasani 6B.

Bila kuwasaua wana CC woote.

Ujumbe: Jiko la shamba halichagui kuni

Wimbo: Neema wa DDC mlimani park
 
Last edited by a moderator:
Salamu zangu kwa wana chama na wapenzi wa ccm wote popote walipo. Ujumbe tuendelee kudumisha umoja na mshikamano wetu. ..........Wimbo Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
 
Last edited by a moderator:
salamu za mwanzo kabisa ziwadikie wake zangu wapenzi AshaDii gfsonwin na mke mupya kabisa barafu wangu DEMBA, akiwa pembeni yangu

Pili zimfikie homeboi wangu Asprin, akiwa kaunta ya juu Kingstaa, tatu zimfikie msiri wangu mwaJ, akiwa kule Sirari na Mwita Maranya. Tatu zimfikie mtawa mwallu akiwa parokiani, Heaven on Earth akiwa kinondoni shamba na bila kumsahau mwalimu wangu kipenzi wa vitendawili Madame B akiwa darasani 6B.

Bila kuwasaua wana CC woote.

Ujumbe: Jiko la shamba halichagui kuni

Wimbo: Neema wa DDC mlimani park

hahahaah homuboi kwa hiyo amu na Paloma umeniachia mimi?

Salamu zangu kwa wake zangu toka ujana wangu cacico, BADILI TABIA na Kongosho.

Ujumbe

cacico bunduki bila risasi yaua namna gani
BADILI TABIA, usipotakata mtoni utatakataje bafuni
Kongosho ukiuza utumbo usiogope nzi
Kaizer shimo la panya halizibwi kwa mkate
 
Last edited by a moderator:
hahahaah homuboi kwa hiyo amu na Paloma umeniachia mimi?

Salamu zangu kwa wake zangu toka ujana wangu cacico, BADILI TABIA na Kongosho.

Ujumbe

cacico bunduki bila risasi yaua namna gani
BADILI TABIA, usipotakata mtoni utatakataje bafuni
Kongosho ukiuza utumbo usiogope nzi
Kaizer shimo la panya halizibwi kwa mkate

hommie hujachagua wimbo ujue? halafu amu na Paloma hebu waache wapumuwe, salamu zao nitazituma kile kipindi cha "ukulima wa Kisasa" nikiwa shambani,.....lol
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hommie hujachagua wimbo ujue? halafu amu na Paloma hebu waache wapumuwe, salamu zao nitazituma kile kipindi cha "ukulima wa Kisasa" nikiwa shambani,.....lol

Oh wimbo??

cacico kamata Kwetu Pazuri
BADILI TABIA chuku Kwanini Umeyaruhusu
Kongosho pokea- İshara kubwa imeonekana mbinguni
Na wewe hommie nakudediketia Aramba aramba tena., amm amm
 
Last edited by a moderator:
natuma salam kwa elzabeth maico bila kumsahau MAdam B na member wote wa jf. Ujumbe utu mbele fedha nyuma

Hahaha....
Hata hujanikera bado.
Kama huna pesa waachie wenye nazo wanitumie.
Hahahaha....
Bandika na tangazo ili wote wasome.
 
salamu za mwanzo kabisa ziwadikie wake zangu wapenzi AshaDii gfsonwin na mke mupya kabisa barafu wangu DEMBA, akiwa pembeni yangu

Pili zimfikie homeboi wangu Asprin, akiwa kaunta ya juu Kingstaa, tatu zimfikie msiri wangu mwaJ, akiwa kule Sirari na Mwita Maranya. Tatu zimfikie mtawa mwallu akiwa parokiani, Heaven on Earth akiwa kinondoni shamba na bila kumsahau mwalimu wangu kipenzi wa vitendawili Madame B akiwa darasani 6B.

Bila kuwasaua wana CC woote.

Ujumbe: Jiko la shamba halichagui kuni

Wimbo: Neema wa DDC mlimani park

Ndo mana nakupenda sana mwanafunzi Wangu Kaizer.
 
Last edited by a moderator:
salamu zangu za dhati; zenye upendo usio kifani kwa mwandani wa roho yangu na mzishi wangu Mamndenyi akupe umri; akupe nuru akuepushe na mahasidi kama Bishanga; akuweke mbali na watu wenye balaa na uroho wa kutamani vitu wasivyoweza kula kama Bujibuji; akupe nguvu ya kumridhisha mpenzi wako chama akuepusha na vizee visivyo na haya kama Baba V
 
Back
Top Bottom