grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Umepiga saa ngapi malkia mbona hamna m/call yoyote?nitakuja baadae my king....halafu uwe unapokea sim bana
Umepiga saa ngapi malkia mbona hamna m/call yoyote?nitakuja baadae my king....halafu uwe unapokea sim bana
Umepiga saa ngapi malkia mbona hamna m/call yoyote?
kumbe una wivu hivi Heaven on Earth?
BAK amekula ban lini tena mkuu?
Mzima wewe, vipi AR hawajambo? Nimewekeza hapo Blue Comfort nitarudi tena.Sijui bana nimeona uzi wa Fixed Point anaomba support ya kumtoa BAK kifungoni mkuu
Mzima wewe, vipi AR hawajambo? Nimewekeza hapo Blue Comfort nitarudi tena.
Usihofu hili rungu ni lako mwenyewe, ukitaka kujipiga saa yoyote ruksa.jana.mida ya jion my king
nikajua uko na malkia mwingine
Wakati mwingine lazima nije naye, safari hii alibanwa sana na majukumu ya kikazi.Arusha kwema aise wewe ulikuja huku ukaadimika kama mabega ya nyoka
hapo mimi sina la kuongeza ila hakikisha Heaven on Earth ana hizo taarufa za uwekezaji wako grafani11
Usihofu hili rungu ni lako mwenyewe, ukitaka kujipiga saa yoyote ruksa.
Mr Rocky tutaibuka nae siku moja huko....mambo ya blue comfort sitaki kuishiwa kusimuliwaArusha kwema aise wewe ulikuja huku ukaadimika kama mabega ya nyoka
hapo mimi sina la kuongeza ila hakikisha Heaven on Earth ana hizo taarufa za uwekezaji wako grafani11
Hongera kwa kuwapigia simu watu wengi humu bila ruhusa ya mwenyewe...
Mkuu punguza kulala mapema bhana au mama anaidai mapema sababu ya kibaridi nini? Pale Matak.. Bar si mchezo wazee mnafaidi specimen si mchezo.Arusha kwema aise wewe ulikuja huku ukaadimika kama mabega ya nyoka
hapo mimi sina la kuongeza ila hakikisha Heaven on Earth ana hizo taarufa za uwekezaji wako grafani11
Mlikutania wapi mama? funguka mama shemejio Mr Rocky akusikie.
Wakati mwingine lazima nije naye, safari hii alibanwa sana na majukumu ya kikazi.
Mr Rocky tutaibuka nae siku moja huko....mambo ya blue comfort sitaki kuishiwa kusimuliwa
hivi ulimuona kweli huyo kiumbe alivokuja hayo maeneo
Mkuu punguza kulala mapema bhana au mama anaidai mapema sababu ya kibaridi nini? Pale Matak.. Bar si mchezo wazee mnafaidi specimen si mchezo.
Mlikutania wapi mama? funguka mama shemejio Mr Rocky akusikie.
Mkuu punguza kulala mapema bhana au mama anaidai mapema sababu ya kibaridi nini? Pale Matak.. Bar si mchezo wazee mnafaidi specimen si mchezo.