Tuma salamu zako hapa

Tuma salamu zako hapa

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Natuma salamu zangu kwa wanajamiiforum wote, bila kumsahau rafiki yangu Ezekiel kilindila akiwa uyole, Mbeya. Ujumbe; Salamu ni nusu ya kuonana.
 
napenda kutuma salamu kwa paroko Kaizer....wimbo wa "uko wapi ? wa kinondoni revival choir unamhusu

Rich woman popote pale ulipo salamu zikufikie

waburudike na wimbo wowote wanaoupenda wao
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom