Tukutane hapa wenye magovi

Tukutane hapa wenye magovi

Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Na una mwanamke? Anakubali kabisa umlale?🤭
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom