Tukutane hapa wenye magovi

Tukutane hapa wenye magovi

Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
kutotahiri ndiyo kukosa utii kwa Mungu. Hata Abrahamu baba wa imani aliamriwa atahiri ndipo akawa bestie kindakindaki wa Mungu. Sipora, mke wa kwanza wa Musa alitahiri wanawe kwa jiwe kali-maana kipindi hicho kilikuwa kipindi cha mpito kutoka zama za mawe kwenda zama za chuma. Na alifanya hivyo kwa sababu Musa alijisahau kutotahiri wanawe kutokana na wingi wa shughuli. Mungu alitaka kuwaua, mke akashtuka akawakata magovi kwa jiwe....kuwa na govi si ufahari, ni chukizo.

Waisraeli walipofika tambarare za Moabu kabla ya kuvuka Mto Yordan kuanza kuteka Kanaani, na kabla Musa hajafa, Mungu alimwamuru Musa awatahiri wanaume wote waliozaliwa jangwani ili wasiingie nchi ya ahadi wakiwa wachafu kwa kuwa na magovi.
 
Ukiwa na govi ni rahisi sana kuambukizwa STDs mana lile govi linahifadhi uchafu kwa urahisi tofauti na mtu ambae ametahiriwa.

Wakati nasoma shule ya msingi nikiwa bado sojatahiriwa nilikua naona aibu hata kujipanga mstari na wanaume wenzangu katika kujisaidia haja ndogo na badala yake nilikua navizia hakuna watu ndo naenda kukojoa.

Nilikuja kupata uhuru wa kujipanga na wenzangu baada ya kutahiriwa.

Siku hizi tunapofanya mapenzi na wenzi wetu mara nyingi tunainjoi wanapotunyonya uume sasa kwa govi hilo sijui watakunyonyaje au mwenzetu wakati wa blow job unamenya 😃😃😃

Nenda katahiriwe hata kama ni mtu mzima usione aibu, ni kwaajiri ya afya yako na sio tu kwaajiri ya kufanya mapenzi.
 
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Mwanzo 17:10-12
Soma hapo utaacha huo upumbavu wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom