lyaguchunya
Member
- Aug 18, 2020
- 56
- 414
- Thread starter
- #21
Ukikata unajiondolea utamu.usafihalafu presentation inakaa vizuri, sio mdudu tena inakua mjegeje
![]()
Ukikata unajiondolea utamu.usafihalafu presentation inakaa vizuri, sio mdudu tena inakua mjegeje
![]()
Bwana acha utani 🤣🤣🤣Mtu anakula anapiga na filimbi kabisa ya juu![]()
Iwafikie hawaKama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
unaona raha kutembea na lijongoo😂Ukikata unajiondolea utamu.
na wasukumaBila shaka wewe utakuwa mjaluo maana wao ni mila yao kutahiriwa ni mwiko kwako.
KabisaKupanga Ni Kuchagua
kutotahiri ndiyo kukosa utii kwa Mungu. Hata Abrahamu baba wa imani aliamriwa atahiri ndipo akawa bestie kindakindaki wa Mungu. Sipora, mke wa kwanza wa Musa alitahiri wanawe kwa jiwe kali-maana kipindi hicho kilikuwa kipindi cha mpito kutoka zama za mawe kwenda zama za chuma. Na alifanya hivyo kwa sababu Musa alijisahau kutotahiri wanawe kutokana na wingi wa shughuli. Mungu alitaka kuwaua, mke akashtuka akawakata magovi kwa jiwe....kuwa na govi si ufahari, ni chukizo.Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Miaka 33Umri wako mkuu
Wee chizi karogwa tena... sasa mimi nina govi? Ama wewe hujapunguzwa nyama? Wewe ni mzima au nusu? 😂😂😂😂😂 swali hulipendi hili 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣Iwafikie hawa
Mshikaji wangu Bantu Lady, dada yangu To yeye, mamdogo Amehlo, shemela wangu Evelyn Salt, kaka Peterrabbit, ndugu Glenn, Jirani binti kiziwi
Mwanzo 17:10-12Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Hujui faida za kuondoa govi?Baada ya kukatwa ilikusaidia nini?
Lina uzito gani?unaona raha kutembea na lijongoo![]()
Bro umenitaja je kwenye uzi mchafu?Iwafikie hawa
Mshikaji wangu Bantu Lady, dada yangu To yeye, mamdogo Amehlo, shemela wangu Evelyn Salt, kaka Peterrabbit, ndugu Glenn, Jirani binti kiziwi
Mwambie ndugu yako anifute kwenye hiyo post mimi niko safi😂😂Wee chizi karogwa tena... sasa mimi nina govi? Ama wewe hujapunguzwa nyama? Wewe ni mzima au nusu? 😂😂😂😂😂 swali hulipendi hili 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣
Kupiga kwa govi ni tam balaaNyeto unapigaje Sasa ?