Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
Mkuu unakosea.Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Sijui kwa wenzetu Waislamu, ila kwa sisi Wakristo ni agizo alilolitoa Mungu tangu zama za akina Ibrahim kwenye agano la kale, kwamba watahiriwe.
Huoni hata Daudi kabla hajapigana na Goliati alimtambia kwamba hawezi kupigwa na Mfilisti (Goliati) ambaye hajatahiriwa? Kwahiyo Kikristo kutokutahiriwa ni udhaifu mkubwa.
Kama unajivunia kuwa na govi ni lazima utakuwa na shida mahali, unless kama unachangamsha genge tu. Hebu jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app


