Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
DAah kazi ninayo mimi😂Govindakumar 🙄
DAah kazi ninayo mimi😂Govindakumar 🙄
Safi inamaana hujaguswa!!! 🤔🤔🤔Mwambie ndugu yako anifute kwenye hiyo post mimi niko safi😂😂
We kile kinyama hakiwezi kuwa nusu yanguWee chizi karogwa tena... sasa mimi nina govi? Ama wewe hujapunguzwa nyama? Wewe ni mzima au nusu? 😂😂😂😂😂 swali hulipendi hili 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣
Nimekutaja ili uone kuna watu wa hivi bado kwenye karne hii..!!Bro umenitaja je kwenye uzi mchafu?
Mimi nimetahiriwa mkuu kitu kisafi ng'ada
Kwani la kike kuwa nalo si ndo inatakiwa!!Wee chizi karogwa tena... sasa mimi nina govi? Ama wewe hujapunguzwa nyama? Wewe ni mzima au nusu? 😂😂😂😂😂 swali hulipendi hili 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣
Inapunguza risk ya magonjwa ya saratani ya uume na kuwaambukiza manawake magonjwa ya saratani ya shingo ya kizazi.Baada ya kukatwa ilikusaidia nini?
La kimkakati sana yanikama tangazo hivi
Kwa haraka haraka huyu jamaa nime note vitu viwili toka kwake, Kwa kuwa ana govi basi bila shaka msukuma halafu kwa kuwa hana akili timamu basi yeye ni ccm damu
Kwani uliwahi kuonja K ukiwa umekatwa ukakuta utamu umepungua?Ukikata unajiondolea utamu.
Acha kutishana. Kama una ushahidi ebu nione. Hayo Ni Mambo ya kufikirika.Hehehe"mkono wa sweta" ni noma.
Nenda kalitoe hapo saiz wewe sio mwanaume ulie kamilika hahaha.
Ukipata gono tu govi litalika kichwa cha dushe kitabaki kama mfutio wa penseli ulio isha.
Kuwa safi=sina goviSafi inamaana hujaguswa!!! 🤔🤔🤔
Kwani wewe ni mtu mzima au nusu? Tuanzie hapa kwanza...
Hebu ongea na Bantu Lady amenitukana aseeNimekutaja ili uone kuna watu wa hivi bado kwenye karne hii..!!
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Aisee nimecheka Sana.Ita jina lolote lakini sitoi
Mtu mzima ina maana una goviKuwa safi=sina govi
Kuhusu utu uzima, jibu unalo umeamua kunitukana nimepokea na kusema...asante😂
We uliwahi kupiga ukiwa na govi. Tuambie ilikuajeKwani uliwahi kuonja K ukiwa umekatwa ukakuta utamu umepungua?