Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
We njoo uhakikishe nitakupa ushirikiano...utakuwa shahidi yanguMtu mzima ina maana una govi
Mtu nusu ina maana limerembwa upya 🙆♀️🙆♀️🙆♀️ 🤣🤣🤣🤣🤣
Bantu Lady 😅
We njoo uhakikishe nitakupa ushirikiano...utakuwa shahidi yanguMtu mzima ina maana una govi
Mtu nusu ina maana limerembwa upya 🙆♀️🙆♀️🙆♀️ 🤣🤣🤣🤣🤣
We uliwahi kupiga ukiwa na govi. Tuambie ilikuajeKwani uliwahi kuonja K ukiwa umekatwa ukakuta utamu umepungua?
Haya jibu kwanza swali langu, kisha namimi nikujibuWe uliwahi kupiga ukiwa na govi. Tuambie ilikuaje
Ngalikihinja njoo nisaidie, nafundishwa tabia mbaya huku. Mwenzake sijawahi ona hata yanafananaje. Yeye anataka akaanze nifundisha kuyaona!!!We njoo uhakikishe nitakupa ushirikiano...utakuwa shahidi yangu
Bantu Lady 😅
Sielewi kitu afu me nimeungama leo😀Iwafikie hawa
Mshikaji wangu Bantu Lady, dada yangu To yeye, mamdogo Amehlo, shemela wangu Evelyn Salt, kaka Peterrabbit, ndugu Glenn, Jirani binti kiziwi
Hakuna govi mama, njoo ushuhudie kuwa hakuna ili uwe shahidi yangu😂Ngalikihinja njoo nisaidie, nafundishwa tabia mbaya huku. Mwenzake sijawahi ona hata yanafananaje. Yeye anataka akaanze nifundisha kuyaona!!!
Wewe fanya Vile Inafaa Mkuu....Life si ni yako...Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Mamdogo nimecheka hatari..!! Kwamba huelewi kitu lakini umejua kuwa hicho ambacho hujakielewa kinaharibu maungamo..!! 😂 😂Sielewi kitu afu me nimeungama leo😀
Wenye magov wote ni ccm lakini sio Kwamba ccm wote wana magovi NA PIA watu wote wasiokua na akili timamu ni ccm lakini sio kwamba ccm wote hawana akili timamu...... MKUU MBONA HIYO CONCEPT INAHITAJI AKILI NDOGO SANA KUELEWA.Tutoe ccm hapo tafadhali
Babu na Bibi yako mbona hawakuwa na noma wakamzaa hadi Baba yako kwa govi hilohilo.Kwa haraka haraka huyu jamaa nime note vitu viwili toka kwake, Kwa kuwa ana govi basi bila shaka msukuma halafu kwa kuwa hana akili timamu basi yeye ni ccm damu
Kwamba ukafundishwe magovi?Ngalikihinja njoo nisaidie, nafundishwa tabia mbaya huku. Mwenzake sijawahi ona hata yanafananaje. Yeye anataka akaanze nifundisha kuyaona!!!
Kakutukanaje?Hebu ongea na Bantu Lady amenitukana asee
Una tabia mbaya😁Wewe fanya Vile Inafaa Mkuu....Life si ni yako...
Mimi bado kuona aina yoyote iwe govi au tayari. Kwanza hapa mnazunguzia nini? Mnajua nachangia na sielewi. Wekeni picha 😄😄😄😄😄Hakuna govi mama, njoo ushuhudie kuwa hakuna ili uwe shahidi yangu😂
Lakini wewe Mungu anakuona.Mimi bado kuona aina yoyote iwe govi au tauari. Kwanza hapa mnazunguzia nini? Mnajua nachangia na sielewi. Wekeni picha 😄😄😄😄😄