Jamaa ana mkono wa sweta👂🏼Mimi bado kuona aina yoyote iwe govi au tayari. Kwanza hapa mnazunguzia nini? Mnajua nachangia na sielewi. Wekeni picha 😄😄😄😄😄
hivi kuna ukweli wowote hapo?í ¾í´£í ¾í´£ hawa ndo huamibu kuwa angetairiwa mdogo Anakuw na kibamia
Ukweli upo ila haujathibitishwa kisayansi😀hivi kuna ukweli wowote hapo?
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Thanks to my parents aisee.Ukweli upo ila haujathibitishwa kisayansií ½í¸
Wanasema mtoto unatakiw umtahiri akifika at least miaka 7Thanks to my parents aisee.
Wafaransa nao huwa ni magovi kama ilivyo kwa Wajaluo wa Kenya.siku hizi porn nyingi zimejaa magovinda 😂
Iwafikie hawa Mshikaji wangu Bantu Lady, dada yangu To yeye, mamdogo Amehlo, shemela wangu Evelyn Salt, kaka Peterrabbit, ndugu Glenn, Jirani binti kiziwi
ila kweli wazungu kutahiri kwao sio kipaumbeleWafaransa nao huwa ni magovi kama ilivyo kwa Wajaluo wa Kenya.