lyaguchunya
Member
- Aug 18, 2020
- 56
- 414
- Thread starter
- #81
Saratan inaletwa na govi ulivyofundishwa na mwl wako uchwaraInapunguza risk ya magonjwa ya saratani ya uume na kuwaambukiza manawake magonjwa ya saratani ya shingo ya kizazi.
Saratan inaletwa na govi ulivyofundishwa na mwl wako uchwaraInapunguza risk ya magonjwa ya saratani ya uume na kuwaambukiza manawake magonjwa ya saratani ya shingo ya kizazi.
Hata mimi kwa kweli siwezi kukata govi langu. Mi ndo najua faida yake kwenye mambo yetu. Kikubwa usafi tuKama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Kheeee..!!! Kwamba hata kungóa kucha hujawahi..!!!Kanitukana kuwa mimi mtu mzima
Bantu Lady 😂
Mama Dickson....🙄Sawa Govinda
Onyo ambalo wataalamu huwapa wagonjwa ni kutoshiriki tendo la ndoa ndani ya wiki nne au tano baada ya tohara ili kuepuka maumivu na matatizo ya kuchelewa kupona.Iwafikie hawa
Mshikaji wangu Bantu Lady, dada yangu To yeye, mamdogo Amehlo, shemela wangu Evelyn Salt, kaka Peterrabbit, ndugu Glenn, Jirani binti kiziwi
Unajua Mungu aliumba huo unga na kusudi lake.Aisee nimecheka Sana.
Mkuu, govi linakuwa na unga mwingi Sana,linaleta kinyaa Sana. Alafu ni rahisi kuambukizwa magonjwa. Ondoa govi Hilo.
JamiiForums tawi la FacebookKama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Hahahha.. Mkono wa swetaKama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi

Unaenda kumarUkipiga bao si uchafu unabakia ndani ya govinder mkuu??
Afadhari.Hata mimi kwa kweli siwezi kukata govi langu. Mi ndo najua faida yake kwenye mambo yetu. Kikubwa usafi tu
Ntakupasia wote. Kaz kwakoUkipata PM za wadada wanao taka kutesti mitambo, usisahau kunipasia na huku....![]()
Soma hapo, risk factors za saratani ya uume (penile cancer), moja wapo ni kutothiriwa hizo ni tafiti za madaktari bingwa wa magonjwa ya saratani (oncologists), halafu uache ubishi utakufa, kakate govi hilo.Saratan inaletwa na govi ulivyofundishwa na mwl wako uchwara