Tukutane hapa wenye magovi

Tukutane hapa wenye magovi

Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Kah ila thread zingine bana
 
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Govi ni kama unasex umevaaa condom😂
 
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Wewe ni mkurya bila shaka.
 
acha ujinga govinda... kwani kucha na nywele mbona unakata na kuzipunguza, au zenyewe siyo uumbaji wa mwenyezimungu?
 
Kama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
Weka picha tuone kama kweli hujakatwa!!!😀😀😀😀😀
 
Hatuwezi kutana hapa kwani sio wenzenu,mkutane wenyewe kule kwa akina Mwita Chacha Marwaa😂😂😂😂🤸🤸🤸
 
Lol! Wanawake watakao kuwa na wewe wasio jielewa nani awe na mwanaume mchafu??! maradhi magonjwa ya zinaa virusi vya ukimwi kansa ya mlango wa kizazi hao wasukuma wajaluo wameelimika wanakata hata wazee.circumcision ni jambo la kisunna toka enzi za nabii Ibrahim na jambo la kiafya kwa mwanaume na mwanaume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom