mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,302
- 72,047
Utaweza kumkabili??
Hahaha huyo huyo namtaka mkuu,![]()
Hahaha huyo huyo namtaka mkuu,![]()
Kabisa mkuu, 😅Utaweza kumkabili??
Kama kweli Mungu anachukizwa na govi asingetuumba nalo. Hizo story za vitabuni achana nazokutotahiri ndiyo kukosa utii kwa Mungu. Hata Abrahamu baba wa imani aliamriwa atahiri ndipo akawa bestie kindakindaki wa Mungu. Sipora, mke wa kwanza wa Musa alitahiri wanawe kwa jiwe kali-maana kipindi hicho kilikuwa kipindi cha mpito kutoka zama za mawe kwenda zama za chuma. Na alifanya hivyo kwa sababu Musa alijisahau kutotahiri wanawe kutokana na wingi wa shughuli. Mungu alitaka kuwaua, mke akashtuka akawakata magovi kwa jiwe....kuwa na govi si ufahari, ni chukizo.
Waisraeli walipofika tambarare za Moabu kabla ya kuvuka Mto Yordan kuanza kuteka Kanaani, na kabla Musa hajafa, Mungu alimwamuru Musa awatahiri wanaume wote waliozaliwa jangwani ili wasiingie nchi ya ahadi wakiwa wachafu kwa kuwa na magovi.
✓KujiaminiBaada ya kukatwa ilikusaidia nini?
usafihalafu presentation inakaa vizuri, sio mdudu tena inakua mjegeje
![]()




Wewe utakua li nyarwanda maana ndo hua mnaakili za hovyo kama hizi kazi kufuga magovi kenge nyieKabisa
umeniwahi,Nyeto unapigaje Sasa ?
Subiri very soon mtageuziwa jina, mtatajwa kutokea Kanda fulani hapa nchiniKama wewe hujamsaliti mungu kwenye uumbaji wake ubarikiwe Sana.
Niseme tu kwangu haitakuja kutokea. Kwamba siumwi nikapange foleni nipate maumivu ya kujitakia burebure.
Na sitaki mtoto wangu nimpeleke.
Akikua ataenda mwenyewe kwa uhuru wake. Nisihusishwe.
Ita jina lolote lakini sitoi
umejuaje habari za Mungu ikiwa si kutoka katika vitabu hivyo hivyo unavyobeza?Kama kweli Mungu anachukizwa na govi asingetuumba nalo. Hizo story za vitabuni achana nazo
Kwani kabla ya vitabu habari za Mungu hazikuwepo?umejuaje habari za Mungu ikiwa si kutoka katika vitabu hivyo hivyo unavyobeza?
Murisya on fireeeHii nchi Uhuru ni mwingi Sana aiseeYaani sweta nalo ni la kujivunia?