Yesu sio Mungu bali ni Mtume tu wa Mungu na wala si mtoto Wa mungu.Sisi Waislamu hatumpigi Yesu (Nabii Issa Bin Maryam) Ktk Uislamu Mitume yote Tunawakubali hatupingi hata Mtume mmoja .Wote ni Wapinga Kristo; tofauti yao ni kuwa waislamu wanampinga waziwazi kuwa siyo Mungu; wakatoliki wanampinga kwa kumwabudu kinyume na Mafundisho yake (ibada za sanamu, wafu, kuruhusu dhambi Kanisani, nk.). Ila tunawaombea ili wachukue hatua ya KUOKOKA kwani kila mtu atavuna alichopanda.
Mbona jujibu swali??1WAKORINTHO 10:4
Ujue kutofautisha "Petro" ambayo ni "PETRA" yaani "JIWE DOGO" Kwa kiyunani. Siyo "MWAMBA" huo. Bali "MWAMBA" ni "KRISTO YESU" mwenyewe. [1WAKORINTHO 10:4]
Kuabudu ni kufanya nini??NDIO HILI WANAABUDU MASANAM KANISANI, NA USHOGA PIA MMMMH
Huna macho?Mbona jujibu swali??
Yesu Alikuwa Anaomgea na Nani??
Hiyo ni DINI DOLA KAMA ISLAM TU. NDO MAANA WANASIFIANAHivi nyie katoliki mnasshindwaje kushawishi haki na time huru vinginevyo ni hovyo tu
Hata maandiko yanasema kwny u unabii hili ndio kanisa lenye umiliki wa Freemasons,lipo nyuma na halionekani ila limejificha kwny udini na ni kanisa litakalokuja kulazimisha kuabudu siku ya J2 siku ya Kwanza ya juma,kitabu Cha ufunuo na Daniel kimeweka wazKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Papa yupi ?lini? wapi? acha kuropoka vitu usivo na uhakika navyo. Hakuna kanisa linalokemea waziwazi vitendo vya ushoga na utoaji mimba kama Katoliki. Na linapigana vita vikubwa sana duniani kwasababu ya misimamo yake. Acha kusema maneno ya vijiweni.Ndio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia
Wewe utakuwa sio mroma kiongozi wanguHakuna mahali wakatoliki wanaipigia magoti sanamu ya bikira Maria mkuu. Check vizuri source za hiyo habari sio vyema kukashfu ilhali hata hujui unakashfu nini.
Roman Catholic ni devil worshipersUfafanuzi jana usiku nilikua naangalia TBC walikua wanaelezea kanisa fulani la RC Kibosho aise kuna michoro sijaielewa
Nimeona Mchoro una duara then ndani ya duara kuna Pembe tatu na Jicho kati kati....Aisee..
Ngadedema!!!!!
Yaani wewe jamaa hujui kitu chochote kuhusu Roman CatholicKwani Biblia Takatifu ni Neno Pekee la Mwenyezi?!
Mbona Biblia Takatifu Inajishuhudia yenyewe!!
YN. 20:30 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
YN. 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Hapa ndipo kanisa Katoliki tunamshukuru Mungu sana.
Kanisa linaamini kwenye
1.Maandiko Matakatifu
2.Mapokeo Matakatifu
3.Mamlaka
Ninyi mmeng'ang'ania kipande kimoja kweli mtafika kweli naona kwa mbali mnaishia njiani
Kuhusu Vyeo mbona Yesu Mwenyewe Amekaimisha Mamlaka yake kwa Kanisa?!
MT. 16:18-19 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Hata ujinyee, ukweli ndo huo.Ndio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia
Wewe unafumuliwagaUkatoliki unakulipa mshahara kila mwisho wa mwezi. Kwanza papa Shoga
endelea kuvimba na Ukatoliki wako kiongozi wako shoga sas nyie wafuasi cjui mtakuwajWewe unafumuliwaga
Na wakatoliki huwa wanapata sana mashambulizi ya kiimani toka kwa dini na imani zingineKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Yaani wewe jamaa hujui kitu chochote kuhusu Roman Catholic