Kwani Biblia Takatifu ni Neno Pekee la Mwenyezi?!
Mbona Biblia Takatifu Inajishuhudia yenyewe!!
YN. 20:30 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
YN. 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Hapa ndipo kanisa Katoliki tunamshukuru Mungu sana.
Kanisa linaamini kwenye
1.Maandiko Matakatifu
2.Mapokeo Matakatifu
3.Mamlaka
Ninyi mmeng'ang'ania kipande kimoja kweli mtafika kweli naona kwa mbali mnaishia njiani
Kuhusu Vyeo mbona Yesu Mwenyewe Amekaimisha Mamlaka yake kwa Kanisa?!
MT. 16:18-19 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. HAPO UMEPOTOSHA MKUU.
Kati ya YESU na PETRO mwamba ni nani?
Kinachonifanya niipende katoliki ni mfumo wao wa uongozi katika kuendesha mambo ya kanisa, haya makanisa ya kilokole ni Mali ya watu yaani mtu mmoja ndiye anaamua kila kitu tofauti na wakatoliki, wakatoliki kanisa siyo Mali ya mtu binafsi kuna utaratibu wa kupitisha maamuziKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Ndio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia
Kwani Biblia Takatifu ni Neno Pekee la Mwenyezi?!
Mbona Biblia Takatifu Inajishuhudia yenyewe!!
YN. 20:30 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
YN. 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Hapa ndipo kanisa Katoliki tunamshukuru Mungu sana.
Kanisa linaamini kwenye
1.Maandiko Matakatifu
2.Mapokeo Matakatifu
3.Mamlaka
Ninyi mmeng'ang'ania kipande kimoja kweli mtafika kweli naona kwa mbali mnaishia njiani
Kuhusu Vyeo mbona Yesu Mwenyewe Amekaimisha Mamlaka yake kwa Kanisa?!
MT. 16:18-19 MWAMBA NI PETRO AU NI YESU?.
1WAKORINTHO 10:4, "Wote wakanywa kinywaji kile cha roho; kwa maana waliunywea MWAMBA wa roho uliowafuata; na MWAMBA ule ni "KRISTO".
Tunaisoma BIBLE na kuielewa kweli au TUNAIBAKA!?!!
MUNGUU Kila siku yupo kwenye kitabu chake, Tunakutana humo.Umekutana lini na Mungu akakuthibitisha hilo?
Tatizo watu hawasomi wamekaririshwa tu ujinga.Bwana Yesu Kristo kamwe hakuanzisha dini/Kanisa na wala hakuacha dini/Kanisa lolote hapa Duniani; bali, alileta habari njema ya WOKOVU kwa watu wote. Uroma katoliki/ Upapa umeanzishwa miaka 500 baada ya Bwana Yesu Kristo pamoja na mitume wake wote kuwa walikwisha ondoka Duniani. Ni dhehebu lililoanzishwa na waitaliano kwa maslahi ya kisiasa na kiuchumi ya waitaliano, baadaye wajerumani (Lutherani), waingereza (Anglikani) wakaiga. Romani katoliki haina uhusiano wowote na Kanisa/Ukristo wa karne ya kwanza wala mitume wa Bwana Yesu Kristo. Wanajibambika tu.
Ndio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia
Gentamycin mwezi umeanza kuandama upopoma unachanua kichwani msimu wake huuKanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Umeona eenhh??!!!.Wenye Chuki nasi Wakatoliki utawajua.
Hii ni kwa mujibu wa akili zako za kichwa Cha chini.666 atatokea Vatican City
Wivu kitu mbaya sanaKama hujui basi jua kwamba Catholics sio christians
And catholics na Islam ni kitu kimoja. So lazima wasifiane.
And mwisho wa siku kwahiyo shehe alhad ndio benchmark yako kuhusu ukatoliki?
Kweli kabisa.Matamshi ya Pope yapo Ki-Biblia! huwa Habahatishi!
Hivyo vyeo Vyoote vipo Ki-Biblia
Acha ujinga uaskofu upo kwenye biblia umetajwaNdio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia
Halafu Shekhe Muhammad Iddi akimkosoa anakasirikaAlhad sio muislamu ni mwana ccm njaanjaa!
asante.
Halafu tabia yako ya kuweka # Hujui walioweka utaratibu huo ni WakatolikiMATHAYO 16:18-19 Haisemi Petro ni mwamba.
Kati ya Petro na YESU nani MWAMBA?
1WAKORINTHO 10:4, "Wote wakanywa kinywaji kile cha roho; kwa maana waliunywea MWAMBA wa roho uliowafuata; na MWAMBA ule ulikuwa ni KRISTO".
Tunaisoma BIBLIA na kuielewa kweli au TUNAIBAKA!?!!
mgen
1WAKORINTHO 10:4Halafu tabia yako ya kuweka # Hujui walioweka utaratibu huo ni Wakatoliki
Weka mafungu
Upo kubishia bishia tu!
Kifupi Yesu Alikuwa Anaongea na nani?!
Hakuna mahali wakatoliki wanaipigia magoti sanamu ya bikira Maria mkuu. Check vizuri source za hiyo habari sio vyema kukashfu ilhali hata hujui unakashfu nini.Kuipigia magoti sanamu ya huyo mnaemuita bikira Maria sio kuabudu sanamu huko??