KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,998
Ni kweli kwa akili zako,lakini kwa serikali tutakopa.Kwani Alichosema Ni Uongo?
Ni kweli kwa akili zako,lakini kwa serikali tutakopa.Kwani Alichosema Ni Uongo?
Tatizo alilitengeneza yeye kwa mihemuko ya 2025, ndungai mwenye Joho sio ndungai mwenye Suti kabla ya kupata Ndungai mwenye kitengeShida ni approach yake. Hauwezi kupitisha jambo na kulibariki bungeni ukatoka nje kulikosoa, haiendi namna hiyo.
ha haaa akili zenu nyie mnazijua wenyewe. Lolote linawezekanaUna mimba changa?
Kwa mujib wa huu mjadala, spika alihoji kuhusu mikopo, kitu ambacho kinaweza kujadiliwa bungeni wakati wa budget. Sasa kama huko wanapitisha na hasemi chochote, iweje huku nje aseme kwamva anashangazwa na mikopo inavyoongeze
KwaKwa mujib wa huu mjadala, spika alihoji kuhusu mikopo, kitu ambacho kinaweza kujadiliwa bungeni wakati wa budget. Sasa kama huko wanapitisha na hasemi chochote, iweje huku nje aseme kwamva anashangazwa na mikopo inavyoongezeka?
Hili la mkopo nafuu wa Covid 19 lilipitishwa bungeni kweli!!???Kwa mujib wa huu mjadala, spika alihoji kuhusu mikopo, kitu ambacho kinaweza kujadiliwa bungeni wakati wa budget. Sasa kama huko wanapitisha na hasemi chochote, iweje huku nje aseme kwamva anashangazwa na mikopo inavyoongezeka?
Ametekeleza miradi gani? Ya Kukata miti ya Selous na kujenga bwawa? Uharibifu mtupu!!Wewe kiazi una akili? Magufuli miaka mitano ametekeleza miradi mingapi mikubwa? Miradi mikakati ambayo itakuwa na impact kubwa kwa taifa letu?
Kwa
Hili la mkopo nafuu wa Covid 19 lilipitishwa bungeni kweli!!???
AMENMwendawazimu tu ndio atamuunga mkono Ndugai, kwanza anasema hiyo hoja ni ya kutunga. Pili ameomba msamaha kwa hoja hiyo. Kama yeye binafsi anakataa hoja yake, kwanini sisi tujipe jukumu la kuitetea hoja yake? Akitaka hoja yake ibaki na nguvu ashikilie msimamo wako.
Kwa hoja ambayo keshaikana? Hebu jitafakari kidogo, inavyoonekana ni kuwa aliyoyasema na anayoyasema sasa yote hayakutokea moyoni mwake.Mimi binafsi nipo na Ndugai.
Wapinzani tutakosea sana tukiwa upande wa Samia kisa Ndugai ni mtu tusiyempenda, Hoja ya Ndugai ni moja kati ya sera zetu "kupunguza mikopo na kutumia rasilimali zetu na uwekezaj"
Ndugai hatumpendi lakini upepo wa wananchi wajinga wa Tanzania upo na Ndugai maana wanaamini Magufuli alikuwa jembe hakopi nje.
Kwahyo Yericko ni mwendawazimu..!??
Afu ni kamanda mwenzetu ujue
Point ya kwanza ni utumbo"pumba"Tukiacha ushabiki wa kivyama na kujipendekeza (unafiki), Licha ya kila mtu kujitokeza kujaribu kujibu hoja ya Spika Ndugai ama kuizungumzia hoja hiyo, na hata Serikali (Rais) ameitisha mkutano wa kidola nikidhani anajibu hoja, badala yake wamejikuta wanamjadili Ndugai ama kumdhihaki ama kumdhalilisha tu, hoja ya Spika Job Ndugai haijajibiwa hata chembe, na ina nguvu kubwa. Hoja ya Ndugai si kwamba ina nguvu za kitaasisi tu, bali ni hoja inayohatarisha madaraka ya Rais, kwasababu kuu mbili,
Mosi: Liko kundi kubwa la Watanzania waliopewa jina la masikini na utawala wa John Magufuli, wakaaminishwa kuwa Rais Magufuli alikataa kukopa popote duniani tangu aingie madarakani hadi anafariki, na kwamba aliwagomea wazungu kwakuwa ni mabeberu waliotaka kupora raslimali zetu. Hawa waliaminishwa ujinga kuwa miradi yote nchini inajengwa kwa pesa yetu wenyewe.
Hili kundi utaliambia nini leo ukianza kukopa kwa uwazi na kutangaza hivi kila mkopo, bila kwanza kulipa elimu kuwa Magufuli katika utawala wake alikopa kimyakimya mikopo mikubwa ya kibiashara iliyovunja rekodi ya mikopo nchini? Kosa kubwa ambalo Rais Samia alifahya ni pale alipoingia madarakani akataka kuwawin makundi yote masikini na wenye akili, akasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Ni wazi hili kundi la masikini litamuunga mkono mtu yoyote atakayekosoa mikopo yenu.
Pili: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 63(2) nanukuu; Ibara ya 63 (2) "Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwaniaba ya wananchi, kuisimamia na KUISHAURI Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wamajukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii."
Kwa ibara hii ya 63 (2), Spika Ndugai ametimiza wajibu wa kikatiba wa Bunge katika kuishauri serikali, Kwamaoni yangu Spika hajakosea chochote katika kauli yake kuhusu serikali kuacha kukopa. Ametimiza matakwa ya kikatiba kama mkuu wa muhimili,
Ukiacha wajibu wa kibunge kama Spika, Job Ndugai kama rais wa Tanzania ametumia ibara ya 18 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa maoni yake. Ni sheria ipi Tanzania inayomzuia mtu kutoa maoni yake, ama kukosoa serikali?
Na Yericko Nyerere
View attachment 2069920
View attachment 2069921
Wananchi tumfikirie kumsamehe au hapana. Tofauti na hivyo astahili kuwa kiongozi wabunge letu.
Si ameikana hoja yake kuwa watu wameunga unga! Kwa hiyo hakuna hoja yake iliyo mezaniKuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Brother naomba nikukumbushe kuwa Watanzania hawataki kusikia ukweli akiwemo JPM. Ndiyo maana alipousema ukweli Wana ccm wakapandisha mori na kuanza kumshambulia kwa kumkosoa. Kukosolewa ni kitu ambacho ni very minor sana.Magufuli alipokopa Tsh 29 Trillion kwa miaka 5 aliona sawa tu??? Samia kakopa Tsh 1.3 Trillion ndiyo Ndugai anatumia haki yake kikatiba!!
Halafu mbona mwenyewe kaomba msamaha? Sasa aliposema nimekosa Mimi, nimekosa mimi alimaamisha nini?
Mkuu..Ndugai,Kakili kukosea ....Hoja yake inabaki wapi?Kuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Acha Uzwazwa Mkuu...Kujenga Madarasa ya Shule,nani anawajibika Kwa....???!!!Kajengewa madarasa huko jimboni kwake kwa pesa za mikopo alafu bado anabwabwaja. Anae muunga mkono ndugai apimwe ubongo kwa kweli
Kweli Tanzania imejaa majitu bogus kama joshydama. Yaani unamtetea huyu Spika wa hivyo ambaye Nchi yetu haijawahi kuwa naye kabla yake!Brother naomba nikukumbushe kuwa Watanzania hawataki kusikia ukweli akiwemo JPM. Ndiyo maana alipousema ukweli Wana ccm wakapandisha mori na kuanza kumshambulia kwa kumkosoa. Kukosolewa ni kitu ambacho ni very minor sana.
Kutokulisemea suala la JPM kukopa Trillioni 29 kwa miaka 5 ni uoga tu ulimjaa na akashindwa kutumia mamlaka na haki aliyonayo kikatiba katikz kuushauri na kutoa maoni kuhusu mikopo hiyo.
Ila kuhusu mkopo wa sasa, Ayubu aliamua kutumia haki yake ya kikatiba ipasavyo na ndiyo maana aliamua kuusema ukweli uliomchungu ambao Watanzania wengi hatupendi kusikia ukweli huo.
Ayubu baada ya kuusema ukweli hakutakiwa kurudi kwenye vyombo vya habari na kuanza kuomba msamaha wakati hakuna kosa alilotenda kwa mujibu wa sheria zetu za nchi.
Lakini kusema amekosea na hakuna kosa lolote alilofanya kisheria hakumfanyi awe mwenye hatia brother so long as alikuwa anatumia haki yake ya kikatiba.
Ayubu alitakiwa kuonesha msimamo wake kwamba alichokiongea yupo sahihi bila kuonesha uoga wowote.
Kadhalika, Ayubu amekosa mshauri mzuri kuhusu hili saga lililokuwepo mezani. Hakika angeibuka mashindi juu ya hili jambo.
Hatetewi Ndugai kama Ndugai!Kweli Tanzania imejaa majitu bogus kama joshydama. Yaani unamtetea huyu Spika wa hivyo ambaye Nchi yetu haijawahi kuwa naye kabla yake!
Unamtetea Spika aliyeapisha wanawake 19 na kuwaita wabunge na wanakula mabilioni ya Kodi zetu. Unamtetea Ndugai aliyekataa kushirikiana na CAG kutafuta zilipo Tsh 2.4 Trillion.
Kweli watu wengine vichwa vyenu ni mfuko wa kubebea meno tu