Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
👇
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama ibara ya 2 ya IGA inanyosema. Kwa nini IGA iseme migogoro itapelekwa ICSID Kinyume na sheria za ulinzi wa rasimali za Tanzania?
Wamebaki kueneza propaganda za kipuuzi, kipumbavu na kishenzi.
👇