Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Tutumie jukwa hili jili kwa yeyote aliye na sera za udhalilishaji dada zetu tupambane nae. Washenz tu watabia. Hichi kitu cha kutoa O" mbona kila mtu anakishadadia? Watieni madole wanaume walio na element ya kuwadhalilisha! Watatia akili
wengne wanakuja kudhalilisha kwa machungu ya kupewa kibuti basi wataongea hadi vya uongo utafikiri wao ni malaika wanafkri kupata demu kule ni rahisi na njaa zao kwanza wanaume wanaolia lia huku wako weak ndo mana kupoza machungu wanakuja huku lakn haisaidii sana mana wachaga kila siku waolewa