Annie Josh
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 184
- 67
If is a little smart will get you, otherwise he'll end up much stressed!duh anothee chaga thread... kaka kama unataka kupata mke ama sttle ya kuish na wachaga kwa kuwajua kupitia mitandaon utakuwa umekosea... tabia zinatofautiana mtu had mtu.. tabia za kiasil zipo chache sana tena siku hz zinazid kupotea si kwa wachaga bal kila kabila tz... kama yy huyo kaka kaka yako ni smart enough kichwan haina haja ya kuanza kutafuta matabia ndo utazid kumiss lead mwache ajichanganye kwenye society ili ajifunze mwenyewe unaweza ukamwambia ambavyo sivyo ilivyo ama tabia ambayo utaambiwa wachaga wanayo utakayotaka kumuonya nayo kumbe yy ndo anayo hiyo tabia.. katika maisha tuna hi adjust kutokana na mazingira ndo maana utaona wachaga wako kila kona wanapiva biashara wakifika huko ugenini wanaendana na wenyej lifestyle yao hii ndo sheria mama ya kuish popote huwez kuosh katikakat ya jamii ngen ukaleta lifestyle yako mwenywe utapata shida
Kuna Kabila zaidi ya 120 hapa tz, si uangalie fursa kwingine Kama unaona uchagani unaona hapafai!