JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,374
Mbona kuna uzi humu nimetoka kusoma unasema kama gogo? hapo unasemaje manka?wachaga hatuna tatizooooo
Mbona kuna uzi humu nimetoka kusoma unasema kama gogo? hapo unasemaje manka?wachaga hatuna tatizooooo
Ungeanza kuwajulisha watu tabia zako kama Msengerema kabla ya kuuliza makabila ya wengine!Mambo vipi! I hope you are fine and you are well keeping on progress to educate our societies,kuna kaka yangu anampango wa kwenda uchagani (kilimanjaro)sio tu kwa ajili ya kutafuta mchumba wa kumuoa lakini Pia kufanya shughuri zake za kibiashara(TPC),lakini kama unavyojua jamii zetu zina makabila mbalimbali yenye mila na desturi tofauti,cha msingi anacho omba kujuzwa ni mila na desturi zao(Hususani wanawake/wasichana),ili afanye maamuzi yatakayo kuwa sahihi kabla na baada ya kuenda huko! Ushauri wenu tafadhari,lugha za kejeli,ushabiki&matusi zikae chemba,ili nijue cha kumwambia brother kutokana na mawazo yenu.
Wanawake wa kimachame wanasifika kwa roho mbaya na kuua waume zao,
wanaume wa kichaga ukimzingua anakupiga na bastola(anakuufoosaro)
Wanawake wa KICHAGA ni wakukaa nao mbali na kuwaogopa kama ukoma! Hawafai hata kulumagia, Siwapendi hao shwain
Shwain mwenyewe, acha uxenge!!
Shemejiiii
Mngese baba yako mzazi 😀
Naona sasa wachaga TUNU YA TAIFA maana its obvious tupo mioyoni mwenu na inaonyesha mnatukubali sana ndo maana kila siku lazima muuabudu uchaga kwa kutusema tu hata kwa mambo yasiyokuwa na mashiko. Come on guys! There are many issues to do, why discussing us every time? Actually you made us more valuable brand!!!:der:
valuable, beautiful, intelligent, educated, wachakalikaji, the richest tribe ever seen etc!
yote kisa mademu ------