FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Tatizo ni kuwa manawahukumu watu kwa tamaduni ambazo zilishapita zama hizo...na sio uchagani tu, ila kila kabila walikuwa na tamaduni zao...zipo zilizokuwa nzuri na zipo zinazokera hata kusikia.
Kwa mfano, tumeshasikia kuwa kwa wamasai, ukiweka tu mkuki mlangoni...unakula mzigo kwa raha zako na mwenye mke akija anasubiri nje..ukitoka anakupa na pole....tulishasikia wamakonde wanakula watu...tulishasikia wahehe wanakula mbwa...tulishaambiwa ukioa mwanamke wa kimeru basi na ununue sanduku zima la soxi zinazofika magotini (stockings) zenye rangi mchanganyiko (haswa mchanganyiko wa njano na nyekundu) la sivyo atakuwa hatoki kwenda kanisani au kwenye sherehe....na hizo era zishapita (mcheki mtoto wa kimeru Nancy Sumary)
Tukafika mahali mtu anaweza kuoa/kuishi na mwenzake, na wakamaliza mwaka, na siku anashtukizwa...hivi mkeo/mmeo ni kabila gani...anabaki anatoa macho hata hajui.
Sana sana tunazitumia kama utani...kutaniana.
Kwa mfano, tumeshasikia kuwa kwa wamasai, ukiweka tu mkuki mlangoni...unakula mzigo kwa raha zako na mwenye mke akija anasubiri nje..ukitoka anakupa na pole....tulishasikia wamakonde wanakula watu...tulishasikia wahehe wanakula mbwa...tulishaambiwa ukioa mwanamke wa kimeru basi na ununue sanduku zima la soxi zinazofika magotini (stockings) zenye rangi mchanganyiko (haswa mchanganyiko wa njano na nyekundu) la sivyo atakuwa hatoki kwenda kanisani au kwenye sherehe....na hizo era zishapita (mcheki mtoto wa kimeru Nancy Sumary)
Tukafika mahali mtu anaweza kuoa/kuishi na mwenzake, na wakamaliza mwaka, na siku anashtukizwa...hivi mkeo/mmeo ni kabila gani...anabaki anatoa macho hata hajui.
Sana sana tunazitumia kama utani...kutaniana.