Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

Pens:
splendid, Beifa, biki, cello, finegrip(za sasa sio nzuri), multi ink pen(red, blue and black).

Radio:
walkman zile zina kanda zilikuwa zinawahi kufa spika na sehemu ya kanda na zile radio za CD zilikuwa round shape unatembea nayo na earphone flan nyeusi zenye nyaya line(L shape socket).

aitkenson na Kichbo
1692361567273.jpeg

hlf console
1692361770677.jpeg

Nawapiga hela washamba enzi hizo
1692361971286.jpeg

Ukipuliza hii nusu saa we kidume
more to come
 
Back
Top Bottom