KomoaKimbo
Topaz
Sunvita
Komesha
Bado wapo wa "mama" 😎Chawa
Alasiri na Dar LeoKinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.
Mimi huku kwetu watoto wangu hawajui chawa ni wadudu gani. Enzi zetu wadudu hawa walitutesa Sana. Tulikuwa pia na wimbo wa kuwaambia chawa waache kutusumbua usiku tukiwa tumelala na kutulazimisha kunyolewa nywele hadi vipara.Wapo kwa "mama" 😎
TanbondKimbo
Topaz
Sunvita
Komesha
Sijasema hao nazungumzia "CHAWA WA MAMA"Mimi huku kwetu watoto wangu hawajui chawa ni wadudu gani. Enzi zetu wadudu hawa walitutesa Sana. Tulikuwa pia na wimbo wa kuwaambia chawa waache kutusumbua usiku tukiwa tumelala na kutulazimisha kunyolewa nywele hadi vipara.
VIP aka Vaa Ikubane pumbuTanbond
Super Ghee
Kuna chupi fulani zilikuwa zinakatika halafu zinapanda tumboni inakuwa kama mkanda wa kudhibiti kitambi