Tsere balozi mpya Malawi (Mpinzani wa Dr.Slaa)

Mimi naona Ukuu wa Wilaya ni Juu ya Ubalozi hasa ukichukulia ni watu wangapi unachukua dhamana ya kuwanongoza (kwa TZ, kuwatawala) moja kwa moja huko Wilayani. Chini ya yote hayo, mkuu wa wilaya na balozi ni viongozi wa kisiasa tu ambao huchaguliwa ama kuteuliwa na Raisi bila pingamizi ama kupitishwa na chombo kingine chochote - ikiwa na maana sioni kwa nini Juma asiwe balozi hata kama hatujui CV yake lakini Raisi kampitisha.

Kwa mfumo wa serikali ya CCM, wote wapo pale kwa ajili ya RAISI, na hufanya yale tu Raisi atasema.

ni mtazamo tu, ila bado naamini balozi ni mwakilishi wa rais na taifa kwa ujumla na ndio maana status yake ni tofauti na hata waziri, let alone mkuu wa mkoa and the likes, diplomatic status ni kitu ingine

i wish patrick very best huko malawi, tena aanze kuyashughulikia matatizo ya wafanyabiashara wetu wanaonyanyaswa, which he must have some experience kutoka kwa machinga wa ilala
 
jamani huyu baba mwacheni
alimpenda mungu kwa nguvu zote
na MUNGU AMESEMA UTAKULA MEMA YA NCHI UKIMTUMIKIA KWA NGUVU ZAKO
MLITAKA AKALE MEMA YA NCHI KULE KINONDNI HUKU WENGINE MKIGOMBANIA MALI ZAKE JAMANI WATANZANIA NYIE????
BWANA AKULINDE AKUANGAZIE UKO UENDAKO BABA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE UKAWE MFANO

MSALIMIE MUTHARIKA MWAMBIE NA SIE SOON TUTACHAGULIWA NCHI UBALOZI JIRAN HATA KAMA NI WA WORLD VISSION
 
I am surprised kwa qualifications zake ilikuwa akubali kuwa mkuu wa wilaya in the first place; kutoka Director of AICC hadi kuwa DC, kada??!
 
Nono it seems hujui how the system is,practically ukuu wa wilaya na mkoa in this country umebaki kuwa position zisizowasaidia wananchi wa wilaya au mkoa husika since they are not put in power na wananchi.Wanateuliwa na Rais to do wat he wants!kwenye balozi thats where real issues are n dont b fooled kuwa hawahitajiki watu walio makini huko,tatizo kubwa tu kwenye kipindi hiki cha uongozi fadhila ndio sababu ya kuteuliwa na sio uwezo.Jk is nat serious
Rasta, asante sana. Ukweli wa system ya Tanzania inavyofanya kazi sihitaji kuuelewa kwa sababu haupo kwa manufaa ya Watanzania ila kwa ajili ya watawala. Senetensi yangu ya mwisho pia nilisema kuwa hawa viongozi wa wilaya na mikoa wapo kwa ajili ya watawala na sio wananchi. Hoja yangu ni kuwa kuliko kuwa na mabalozi wazuri wa kuuza nchi nchi na rasilimali zetu, kwanini tusiwe nao kama wakuu wazuri wa mikoa na wilaya wasukume maendeleo yetu kwanza? Unajua ukiwa nje ya nchi ukiwaandikia hata e-mail ubalozi wako hawawezi kukujibu? Tutailinda je Tanzania nje wakati ndani hatuipendi?
 
Yaani JF bwana,mnamshangaa aliyeshangaa CV ya tsere?waliosema ubalozi si wa muhimu,aliyeitisha CV ya Tsere au kutoka ukuu wa wilaya na kuwa balozi?lol..kazi ipo!
 
reading all the comments, i noticed most of them but a few are mere from people with no objective thinking and no vision whatsoever.
i am 100% sure, especially the ben fellow must be a loser out of the whole bunch.there are so many of such characters, sad to admit who because of their failures in life get so much pleasure in condemning others and finding negativity in them.
i know this forum is about speaking out, daring to speak or whatever, but come on guys, atleast have the decency to speak somehing concrete or atleast logically.
yani comments zote za kijinga na kipumbavu, hamna mbele wala nyuma, sasa mlitaka iweje?
most of you think mnamjuuuua JK, pleeeeesee!
advice to all of you is, wake up and get a life.
this is my first time to enter this forum but i think its also my last.
i thought the things discussed would be atleast a bit interlectual.
very sad that we have such people in our country, the first to say something negative, ask them for a solution but they have non. duh kazi ipo!!!!
in conclusion-congrats to Ambassador Tsere(am sure kuna wa uma most of you--POLE) and i believe you will be able to represent tanzania to the best of your ability. may the almighty continue to be with you and bring you even more prosperity!!!
and the rest of you, keep drowning in you grudges!!!
 
Na ieleweke kwamba sina tatizo na uteuzi unaofanywa na Rais ila still nitahoji na nitataka kujua CV na sababu za kuteuliwa.pia bado nitashangaa kama CV ninayoijua haitoshelezi katika huo wadhifa.
 
reading all the comments, i noticed most of them but a few are mere from people with no objective thinking and no vision whatsoever.
i am 100% sure, especially the ben fellow must be a loser out of the whole bunch.there are so many of such characters, sad to admit who because of their failures in life get so much pleasure in condemning others and finding negativity in them.
i know this forum is about speaking out, daring to speak or whatever, but come on guys, atleast have the decency to speak somehing concrete or atleast logically.
yani comments zote za kijinga na kipumbavu, hamna mbele wala nyuma, sasa mlitaka iweje?
most of you think mnamjuuuua JK, pleeeeesee!
advice to all of you is, wake up and get a life.
this is my first time to enter this forum but i think its also my last.
i thought the things discussed would be atleast a bit interlectual.
very sad that we have such people in our country, the first to say something negative, ask them for a solution but they have non. duh kazi ipo!!!!
in conclusion-congrats to Ambassador Tsere(am sure kuna wa uma most of you--POLE) and i believe you will be able to represent tanzania to the best of your ability. may the almighty continue to be with you and bring you even more prosperity!!!
and the rest of you, keep drowning in you grudges!!!
Yaani umeingia kupost topic moja tu halafu unakiondoa?
Karibu sana JF jamk1975. Jisikie kurudi tena wakati mwingine kutuweka sawa.
 
Baadhi ya wana JF bwana? Wacha nishangae kihehe "kha!?" Na kiwemba "Yabva!!?".

It was Jeffrey Lord who said "The tendency to whinning and complaining may be taken as the surest sign symptom of little souls and inferior intellects". I certainly agree with him. I guess each one of you know where your position is.
 
I am surprised kwa qualifications zake ilikuwa akubali kuwa mkuu wa wilaya in the first place; kutoka Director of AICC hadi kuwa DC, kada??!

Yes, naona alijaribu siasa, to be honest... haiwezi siasa, let him do what he does best, servant wa nchi
 
Baadhi ya wana JF bwana? Wacha nishangae kihehe "kha!?" Na kiwemba "Yabva!!?".

It was Jeffrey Lord who said "The tendency to whinning and complaining may be taken as the surest sign symptom of little souls and inferior intellects". I certainly agree with him. I guess each one of you know where your position is.
Zakayo,
' Karibu sana JF. Natumaini na wewe unajua position yako kwa mujibu wa Jeffrey Lord.
 
- Wakuu naomba kuuliza hivi huyu mkuu amekosa nini hasa cha kumfanya asiwe balozi wetu Malawi, what is the case against his appointment kwa sababu kama sikosei huyu ni mtu wa Ikulu for a very longtime au? What is a beef?

Respect.


FMEs!
 
- Wakuu naomba kuuliza hivi huyu mkuu amekosa nini hasa cha kumfanya asiwe balozi wetu Malawi, what is the case against his appointment kwa sababu kama sikosei huyu ni mtu wa Ikulu for a very longtime au? What is a beef?

Respect.


FMEs!
FMES, thanks sana... nimejiuliza sana leo... siku nzima lakini sijapata jibu kwanini watu wameweka bifu, probably ni zile politics za karatu???

Nina imani kwamba he will do us good akiwa Malawi, nimepata few encounters na yeye and i have no doubts about his qualities, labda cha ziada ki kwamba atatusaidia kuondoa zile tabia za balozi zetu za kizamamni kwenye badhi ya nchi, maana zambia, kenya, ethiopia, Uk etc tayari

Lets be fair watanzania
 
Naamini Nd. Tsere is well qualified for this appointment. I have seen him in action when he was Counsellor kwenye Embassy ya TZ huko Zambia katika miaka ya 80 na ni imani na uwezo wake. The fact that he comes from a prominent family should not be used against him - Hatutafika mbali tukifuata siasa na desturi kama hizo.
 
Nashukuru wametokea watu wenye busara maana hii thread ilianza ki majungu na kejeli zaidi.. Its nice to see that there are still people who dont reason with a mob psychology humu JF maana pamekuwa kama Spanish Inquisition siku hizi badala ya sehemu ambapo kuna mawazo mbali mbali lakini yaliyo chujwa na kutazamwa katika pande mbali mbali..
 
Tunaomfahamu Patrick Tsere akiwa AICC tulimshangaa sana alipoamua kwenda kugombea ubunge Karatu. wengine hapa AICC walijaribu kumshawishi asiondoke bila mafanikio, inasemekana angepata Ubunge basi huenda angekuwa Membe wetu leo. Bahati haikuwa yake maana alikutana na kisiki Slaa. The guy is very very good in diplomasy. wale wanao question uwezo wa Tsere wawaulize wafanyakazi wa AICC kwa nini wana mmiss Tsere.
 
Tunaomfahamu Patrick Tsere akiwa AICC tulimshangaa sana alipoamua kwenda kugombea ubunge Karatu. wengine hapa AICC walijaribu kumshawishi asiondoke bila mafanikio, inasemekana angepata Ubunge basi huenda angekuwa Membe wetu leo. Bahati haikuwa yake maana alikutana na kisiki Slaa. The guy is very very good in diplomasy. wale wanao question uwezo wa Tsere wawaulize wafanyakazi wa AICC kwa nini wana mmiss Tsere.

very well said mkuu... i think his mistake ilikua kukubali push ya kwenda kupambana na slaa, ni bora angebaki pale asubiri zile nafasi za rais

The value ya JF ni pale tunapopata taarifa sahihi
 
Back
Top Bottom