Tsere balozi mpya Malawi (Mpinzani wa Dr.Slaa)

aha!! lahaula lakwata ukisikia lamgambo ujue kuna.........................njomba daaaaaaaaaaaaa
 
labda baadhi ya wachangiaji wangefanya utafiti wao kuhusu hili vyema
hata tone ya michango yao ingebadilika.

binafsi niliamini kabla ya kumpiga madongo wachangiaji wangekuja na ushahidi/tuhuma za bw.tsere kushindwa kutekeleza majukumu aliyokabidhiwa kwa ufanisi.


Mkuu ulitaka utafiti gani ufanyike zaidi ya huu hapa?CV ilihitajika kwanza,coz kigezo kilichojulikana kilikua ukuu wa wilaya tu!

Narudia tena,suala la ubalozi ni la muhimu kama ulivyo ubalozi wenyewe.Kutoka ukuu wa wilaya hadi ubalozi kweli huoni kasoro?ndo maana wengine tuliitisha CV
 
Mkuu ulitaka utafiti gani ufanyike zaidi ya huu hapa?CV ilihitajika kwanza,coz kigezo kilichojulikana kilikua ukuu wa wilaya tu!

Narudia tena,suala la ubalozi ni la muhimu kama ulivyo ubalozi wenyewe.Kutoka ukuu wa wilaya hadi ubalozi kweli huoni kasoro?ndo maana wengine tuliitisha CV

Ben,sioni ajabu kutoka kwenye u DC kwenda kwenye ubalozi,ubalozi sidhani kama una scrutiny kihivyo....Kama alivosema mchangiaji mmoja hapo nyuma,pretty much anyone can be an ambassador.
 
Ben,sioni ajabu kutoka kwenye u DC kwenda kwenye ubalozi,ubalozi sidhani kama una scrutiny kihivyo....Kama alivosema mchangiaji mmoja hapo nyuma,pretty much anyone can be an ambassador.

Mkuu,Jmushi1,salute sana!


-Basi naona balozi za Tanzania nchi za nje hazina maana au ndo maana tuna sera mbovu sana ya mambo ya nje!mimi nilikua concerned zaidi juu ya elimu yake lakini
 
Tafadhali usimuonee muungwana; he has never been serious in his life, he is always smiling!! Alinikuna juzi alipotembelea waliokumbwa na mafuriko Kilosa alipowaagiza watu wake wawajengee nyumba upesi kwani watu wazima wanachoka kuwafuka ndani watoto waende kucheza ili wapate faragha!!! Is n't this hilarious from your commander in Chief!


Tusubiri madudu atakayoyafanya akishaingia awamu yake ya pili huu ni mwanzo tu.
 
Whaaaaaat? Sasa JK hayuko serious...wadau hebu mwenye CV ya huyu mkuu atupe.Ambassador?

Washangaa tena kwa mshtuko, hafu hujui CV yake, we kweli wa ajabu, na inaonekana wa majungu sana. kwani Balozi anatakiwa awe na sifa gani za ziada? mbona wabongo hivyo?
 
Duu Tsere kazi kweli kweli.Jamaa hawezi kuacha ubalozi halafu akagombee Ubunge ambao ana uhakika mkubwa wa kushindwa.
 
Sasa madudu yanakuja vipi? Nyie watu mbona mnakuwa wajinga kabisaa.. Hii JF imekua kama mavi ya umbwa..! People just talk bare shit in here. Hakuna objectivity, yani moderators wa hii kitu kama hamtakuwa makini, and I understand the argument for freedom of speech, but jamani! Can criticism at least make some sense. WTF is wrong with you hater-ass people.. This forum disgusts me..sorry to say. It used to be better than this.
 
Sasa madudu yanakuja vipi? Nyie watu mbona mnakuwa wajinga kabisaa.. Hii JF imekua kama mavi ya umbwa..! People just talk bare shit in here. Hakuna objectivity, yani moderators wa hii kitu kama hamtakuwa makini, and I understand the argument for freedom of speech, but jamani! Can criticism at least make some sense. WTF is wrong with you hater-ass people.. This forum disgusts me..sorry to say. It used to be better than this.

After saying all those, are you now better than others? Then you say sorry!

Feeling sorry for yourself is not only a waste of energy but the worst habit you could possibly have.
 
Sasa madudu yanakuja vipi? Nyie watu mbona mnakuwa wajinga kabisaa.. Hii JF imekua kama mavi ya umbwa..! People just talk bare shit in here. Hakuna objectivity, yani moderators wa hii kitu kama hamtakuwa makini, and I understand the argument for freedom of speech, but jamani! Can criticism at least make some sense. WTF is wrong with you hater-ass people.. This forum disgusts me..sorry to say. It used to be better than this.

Objectivity ipi unayoitaka wewe!? Huyajui madudu yaliyofanywa na Kikwete tangu aingie madarakani? Unaishi nchi ipi? Kwani umelazimishwa kuja hapa kama unaona this forum disgust you basi usisogee kabisa kwenye hii forum. Watu wengine bana!
 
Wana JF mliochangia Patrick Tsere ninayemjua mimi si huyo ambaye baadhi yenu mmekuwa mkimuelezea with an exception of De Novo. Tsere ambaye Baba yake mzazi alikuwa miongoni mwa madaktari wa awali hata kabla Tanzania haijapata uhuru, alipata formal education kuanzia primary, middle school, secondary (O level) na High School (A level). Baadaye akaenda IDM Mzumbe alikopata Diploma in Public Administration na baadaye akapata Post Graduate Diploma in Management. Aidha anayo MA in Diplomacy.

Amefanya kazi kama Afisa Mipango Wilaya ya Iringa; Manpower Officer Wizara ya Mipango na Uchumi; Wizara ya Mambo ya nchi za Nje (mwaka 1983 hadi 1996 kama Afisa wa Ubalozi ubalozini nchini Zambia wakati huo Ubalozi wa Tanzania ulikuwa pia unatuwakilisha nchi ya Malawi na Botswana); Akaja kuwa in charge of operations idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 1997 to 2002; 2002 to 2005 akawa CEO wa AICC Arusha baadaye akaenda kugombea ubunge kwao Karatu. 2006 hadi 2009 akawa DC Ilala.

Kwa ufupi hiyo ndiyo CV ya Tsere. Sasa kama inakidhi hizo concerns zenu ninaamini ndani ya CV hii mtapata majibu. Kwa mfano tatizo la mpaka kati ya Malawi na Tanzania hilo ni tatizo tangu enzi za Mwalimu. Sitaki kuamini kuwa Tsere halijui kwa vile akiwa afisa ubalozini Lusaka, nchi ya Malawi ilikuwa sehemu ya brief ya ubalozi wetu na sina shaka tatizo hilo atakuwa analifahamu vizuri sana.

Bila shaka CV hii itakupeni picha ya kuwa Tsere hakubebwa. Ni dhahiri he is fit for the job as he has the required qualifications as well as the expertise, na aliempa hiyo kazi hakukosea. Ninawaomba wanaJF wenzangu kumbukeni ule usemi "No research no right to speak"

Kwa kuongezea, Kikwete, Mwapachu, Tsere, Sykes, Dosa Aziz, Kyaruzi n.k wote familia zao zilikuwa na makao Dar-es-Salaam na kumkaribisha Nyerere mjini Dar-es-Salaam( Mzizima) hivyo tusishangae:

'One group consisted of men who had been student politicians at Makerere in 1940's Dr. Luciano Tsere, Dr. Vedastus Kyaruzi, Hamza Mwapachu, Steven Mhando, the other group contained educated townsmen like Dossa Aziz, Abdulwahid & Ally Sykes, James Mkande e.t.c'
Source:

http://books.google.co.uk/books?id=m0dalboHfXgC&pg=PA507&lpg=PA507&dq=nyerere+and+tsere&source=bl&ots=Czwc0ZoFA-&sig=oUYX3e77J1uZUefYTX85atv9Vbw&hl=en&ei=wUeJS_T2ONCRjAfv4O2XBg&sa=X&oi=book_result&ct=result&resnum=1&ved=0CAkQ6AEwAA#v=onepage&q=nyerere%20and%20tsere&f=false
 
Objectivity ipi unayoitaka wewe!? Huyajui madudu yaliyofanywa na Kikwete tangu aingie madarakani? Unaishi nchi ipi? Kwani umelazimishwa kuja hapa kama unaona this forum disgust you basi usisogee kabisa kwenye hii forum. Watu wengine bana!

My views, and indeed those of anyone with a sound mind, are not influenced nor do they yield to the perceptions and rage of the mob. I was annoyed at how someone condemned this appointment and then asked for Mr Tsere's CV..lol That is indicative of the discourse hapa JF. Ndio ukweli wenyewe tuu. And anyone who is unwilling to behave like a vulture is condemned as either "mtetezi wa mafisadi" "katumwa" etc.. The usual tell tale signs of a typical lynch mob. One might hope that JF would be able to rise above this infantile level of thinking but the reality is obviously not the case.
 
Wana JF mliochangia Patrick Tsere ninayemjua mimi si huyo ambaye baadhi yenu mmekuwa mkimuelezea with an exception of De Novo. Tsere ambaye Baba yake mzazi alikuwa miongoni mwa madaktari wa awali hata kabla Tanzania haijapata uhuru, alipata formal education kuanzia primary, middle school, secondary (O level) na High School (A level). Baadaye akaenda IDM Mzumbe alikopata Diploma in Public Administration na baadaye akapata Post Graduate Diploma in Management. Aidha anayo MA in Diplomacy.

Amefanya kazi kama Afisa Mipango Wilaya ya Iringa; Manpower Officer Wizara ya Mipango na Uchumi; Wizara ya Mambo ya nchi za Nje (mwaka 1983 hadi 1996 kama Afisa wa Ubalozi ubalozini nchini Zambia wakati huo Ubalozi wa Tanzania ulikuwa pia unatuwakilisha nchi ya Malawi na Botswana); Akaja kuwa in charge of operations idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 1997 to 2002; 2002 to 2005 akawa CEO wa AICC Arusha baadaye akaenda kugombea ubunge kwao Karatu. 2006 hadi 2009 akawa DC Ilala.

Kwa ufupi hiyo ndiyo CV ya Tsere. Sasa kama inakidhi hizo concerns zenu ninaamini ndani ya CV hii mtapata majibu. Kwa mfano tatizo la mpaka kati ya Malawi na Tanzania hilo ni tatizo tangu enzi za Mwalimu. Sitaki kuamini kuwa Tsere halijui kwa vile akiwa afisa ubalozini Lusaka, nchi ya Malawi ilikuwa sehemu ya brief ya ubalozi wetu na sina shaka tatizo hilo atakuwa analifahamu vizuri sana.

Bila shaka CV hii itakupeni picha ya kuwa Tsere hakubebwa. Ni dhahiri he is fit for the job as he has the required qualifications as well as the expertise, na aliempa hiyo kazi hakukosea. Ninawaomba wanaJF wenzangu kumbukeni ule usemi "No research no right to speak"


Ona sasa Mkuu anavyowaumbua hapa!Tuache kukurupuka kwa jazba tunapochangia.Ona sasa CV ilivyoshiba.Wakuu au mnadhani mtu akiteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya basi ni Lukuvi type tu??Najua mnamu underestimate sana JK,lakini wakati mwingine tulieni kwanza ili mchunguze vizuri.
 
Whaaaaaat? Sasa JK hayuko serious...wadau hebu mwenye CV ya huyu mkuu atupe.Ambassador?

Mkuu ulitaka utafiti gani ufanyike zaidi ya huu hapa?CV ilihitajika kwanza,coz kigezo kilichojulikana kilikua ukuu wa wilaya tu!

Narudia tena,suala la ubalozi ni la muhimu kama ulivyo ubalozi wenyewe.Kutoka ukuu wa wilaya hadi ubalozi kweli huoni kasoro?ndo maana wengine tuliitisha CV

hapo naona hukumu ilishapita lol
 
Mh JF kuna kaazi saana. Huwa kuna hoja ambazo hazina mashiko. Maana ukiangalia mtiririko wa thread wameanza kwa kumponda aliyeteuliwa bila hata kumtambua. Wengine wakamponda Rais bila sababu za kueleweka. Hapo hatujaona wenye kuzungumzia dini maana watu hawakawii kusema. To be specific, JK hana jema analofanya likaonekana kuwa jema. Kamteua huyo bwana basi ameteua Mkuu wa Wilaya. Angeteua Muislam wangesema wa dini yake nk. Yaani objectivity ni nzuri watu wanaandika na kuponda tu. Hakuna aliyeonyesha kushindwa/udhaifu wa Tsere zaidi ya kejeli. Lets be realistic tuandike yaliyokuwa na ukweli.
 
I have met with both Tsere at a certain workshop. Was really impressed on his intellectual ability, interpersonal skills and commitment to serving Tanzania's public.

I have very low expectations on Tanzania embassies abroad... after sampling one Embassy, and seeing corroborative similar experiences online.

I'd just wish Tsere good time in Malawi, take it easy.
 
Haya bwana sie hatuna cha kusema zaidi ya malalamiko yetu kuwa mambo hayaendi kabisa nchini
 
Wana JF mliochangia Patrick Tsere ninayemjua mimi si huyo ambaye baadhi yenu mmekuwa mkimuelezea with an exception of De Novo. Tsere ambaye Baba yake mzazi alikuwa miongoni mwa madaktari wa awali hata kabla Tanzania haijapata uhuru, alipata formal education kuanzia primary, middle school, secondary (O level) na High School (A level). Baadaye akaenda IDM Mzumbe alikopata Diploma in Public Administration na baadaye akapata Post Graduate Diploma in Management. Aidha anayo MA in Diplomacy.

Amefanya kazi kama Afisa Mipango Wilaya ya Iringa; Manpower Officer Wizara ya Mipango na Uchumi; Wizara ya Mambo ya nchi za Nje (mwaka 1983 hadi 1996 kama Afisa wa Ubalozi ubalozini nchini Zambia wakati huo Ubalozi wa Tanzania ulikuwa pia unatuwakilisha nchi ya Malawi na Botswana); Akaja kuwa in charge of operations idara ya Wakimbizi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi 1997 to 2002; 2002 to 2005 akawa CEO wa AICC Arusha baadaye akaenda kugombea ubunge kwao Karatu. 2006 hadi 2009 akawa DC Ilala.

Kwa ufupi hiyo ndiyo CV ya Tsere. Sasa kama inakidhi hizo concerns zenu ninaamini ndani ya CV hii mtapata majibu. Kwa mfano tatizo la mpaka kati ya Malawi na Tanzania hilo ni tatizo tangu enzi za Mwalimu. Sitaki kuamini kuwa Tsere halijui kwa vile akiwa afisa ubalozini Lusaka, nchi ya Malawi ilikuwa sehemu ya brief ya ubalozi wetu na sina shaka tatizo hilo atakuwa analifahamu vizuri sana.

Bila shaka CV hii itakupeni picha ya kuwa Tsere hakubebwa. Ni dhahiri he is fit for the job as he has the required qualifications as well as the expertise, na aliempa hiyo kazi hakukosea. Ninawaomba wanaJF wenzangu kumbukeni ule usemi "No research no right to speak"

naamini kabisa kama mtu aliweza kuwa effective pale AICC (na aling'atuka baada ya kuingia kwenye siasa); basi kazi ya malawi sio ya kutisha kiasi hicho... kwani diplomasia ya pale ni kubwa na aliweza kufanya kazi na the highest profiles in africa/world

kuna wachangiaji wameongelea mambo ya security and the like, kuna policy zilizo wazi na zinazom-guide huyu baba kwenye kazi yake. Pia kuna wale secretaries ambao wana kazi kubwa sana ya kushare taarifa muhimu kabla ya maamuzi
 
Nono it seems hujui how the system is,practically ukuu wa wilaya na mkoa in this country umebaki kuwa position zisizowasaidia wananchi wa wilaya au mkoa husika since they are not put in power na wananchi.Wanateuliwa na Rais to do wat he wants!kwenye balozi thats where real issues are n dont b fooled kuwa hawahitajiki watu walio makini huko,tatizo kubwa tu kwenye kipindi hiki cha uongozi fadhila ndio sababu ya kuteuliwa na sio uwezo.Jk is nat serious
i beg to differ, tsere alipewa ukuu wa wilaya kama kujishikiza na ukae ukielewa kwamba mtu kufikia ukurugenzi wa AICC na kuwa mkuu wa wilaya ni kushuka... na alishuka baada ya kujaribu siasa!! but that doesnt erase his potentials mazee
 
i beg to differ, tsere alipewa ukuu wa wilaya kama kujishikiza na ukae ukielewa kwamba mtu kufikia ukurugenzi wa AICC na kuwa mkuu wa wilaya ni kushuka... na alishuka baada ya kujaribu siasa!! but that doesnt erase his potentials mazee

Mimi naona Ukuu wa Wilaya ni Juu ya Ubalozi hasa ukichukulia ni watu wangapi unachukua dhamana ya kuwanongoza (kwa TZ, kuwatawala) moja kwa moja huko Wilayani. Chini ya yote hayo, mkuu wa wilaya na balozi ni viongozi wa kisiasa tu ambao huchaguliwa ama kuteuliwa na Raisi bila pingamizi ama kupitishwa na chombo kingine chochote - ikiwa na maana sioni kwa nini Juma asiwe balozi hata kama hatujui CV yake lakini Raisi kampitisha.

Kwa mfumo wa serikali ya CCM, wote wapo pale kwa ajili ya RAISI, na hufanya yale tu Raisi atasema.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom