Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

[emoji28][emoji28] Biology, Physics, Chemistry, ndio ilikuwa maji yangu, badae kuna Bro akanija upepo nideal na Math niwe Engineer kisa ina madili ile Telecom Eng enzi hizo.. nipo form 3 mwishoni nikaanza soma hesabu nika drop Biology but mbwa yule asinge nichanganya ningekuwa Doctor wa wanawake au wa mifumo ha fahamu[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😅😅 Biology, Physics, Chemistry, ndio ilikuwa maji yangu, badae kuna Bro akanija upepo nideal na Math niwe Engineer kisa ina madili ile Telecom Eng enzi hizo.. nipo form 3 mwishoni nikaanza soma hesabu nika drop Biology but mbwa yule asinge nichanganya ningekuwa Doctor wa wanawake au wa mifumo ha fahamu😅😅😅
Aaaah bios nayo ni uoxo tu o level sawa ni sexy A level sasa loooh PCB wa watu walikuwa wanakomalia lile likitabu lao la green sijui university biology ila watu wanaxinguaga tu bios hapana kwa kweli form 2 nilipigaga c mkuuu form 4 practical ilinibeba sana 😹😹
 
Looh kweli tunatofautiana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliikimbia tu pale nilipoanza soma ile projectile motion

Mie phy n math sinaga bahati [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wali komaa na projectiles km vichaa uwiiiiih
 
Aaaah bios nayo ni uoxo tu o level sawa ni sexy A level sasa loooh PCB wa watu walikuwa wanakomalia lile likitabu lao la green sijui university biology ila watu wanaxinguaga tu bios hapana kwa kweli form 2 nilipigaga c mkuuu form 4 practical ilinibeba sana 😹😹
Nilikuwa nafundisha tuition wanafunzi wenzangu somo la biology, hadi nikapata identical twin kuwa wapenzi wangu kwa wakati mmoja na wote wakawa wanajua ila hatukuwahi fanya matusi
 
Back
Top Bottom