lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,947
- 3,457
Hii maji kabisa kama ungefundishwa na fundi Mtegetwa Mng'ala,Msimbazi Centre.
Sent using Jamii Forums mobile app
Climatology
Sent using Jamii Forums mobile app
Climatology
Ukaona liwalo na liwe dharau za logarithm zilizidi😂😂😂😂😂.Logarithm ile ya fomr two..
Teacher alitoa paper ya midterm halafu maswali yote ni topic ya log.. Nikazungusha karai langu fresh tu ila roho iliniuma sana ..
Nilienda mchikichini kwa ajili ya ile topic tu..
sent using Simenzi mayai
Watu wa geography ,Oyeee 💪💪💪💪.Hii maji kabisa kama ungefundishwa na fundi Mtegetwa Mng'ala,Msimbazi Centre.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya alchemist .Introduction of chemistry
Sijawahi kuona ugumu wa Elimu labda tu mikiki mikiki ya vi lecture kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ! congratulation mkuu.Sijawahi kuona ugumu wa Elimu labda tu mikiki mikiki ya vi lecture kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya theorems 🤣🤣🤣🤣.
Ulimwengu wa history bana ,unakazania maelezo wanatoa ramani, unapitia ramani unasurubishwa na ku 'match' miaka.Mfecane war
Ila umeziandika vizuri sana.Ile Sarufi ya hesabu. Kima+kihisishi yakinifu+kiarifu na fujo kama hizi form III ilifanya nichukie Kiswahili na Mwisho nikaishia karai
Wave Part 2 A level mamaee...nkasema liwaloo na liweee sikugusa hata defn.
O level Accountwalahi mpaka nikaona wanaosoma Biashara ni wachawiii mambo ya credit sijui debt duu nilisota nazo sikuelewa nilikuja kuelewa Chuo tena mwaka wa mwisho nkagundua tatizo sio soma tatizo aliekuwa ananifundisha nae alikuwa amekariri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm form kwny mashairi sijawah ya soma na kwny mtihan sikujibu, advances propability ilikuwa ina zingua nika ignore, electromagnetism piaSalaam wana jamvi, matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea . Straight to the point,tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II ,share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako
Aisee.Mm form kwny mashairi sijawah ya soma na kwny mtihan sikujibu, advances propability ilikuwa ina zingua nika ignore, electromagnetism pia
Basi hauna stress.Mimi sijawai elewa chochote, hata majina ya masomo sikuyaelewa na nimeshayasahau.
Mwalimu mwenyewe anakwambia feli usifeli mshahara wangu napata tu ,😒.Hii ndiyo shida ya Waalimu wetu kuanzia primary hadi varsities, hakuna somo gumu kwa mwenye akili bali wapo waalimu wabovu.
)
)
)
)
)
)
)
Certified comment ✅.O Level
1. ENGLISH, C
-Arrange 5 sentences in a proper order
-Summary
-Literature (St kayumba)
2. KISWAHILI, C
-Ushairi ( Necta walileta swali la 1 ushairi, na sehemu C swali la Lazima Ushairi)
3. GEOGRAPHY, C
-Physical geography (Shield volcano)
-Map (zile ramani sijui walikuwa wanatoa wapi)
-Picture (sijui ilikuwa Cotton sijui Pareto, kivuli hakiomekani)
4. HISTORY, C
-Section C, (nakumbuka nilikuwa natumia peni ya SPEEDO ili nijaze page tu)
A Level
1. PHYSICS, A
-Rotational
-Electromagnetism (Ila Necta walikaza Modern Physics ilibidi nifanye tu Electromagnetism)
2. CHEMISTRY, B
-Inorganic Chemistry
-Practical (Partition)
3. BIOLOGY, C
-Topics zote zilikuwa rahisi sema Necta sijui walikuwa wanasahihisha Vipi
Sent using Jamii Forums mobile app