Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Sasa wewe kama unaikimbia phy mwenzak wa pcb je....
Hahahahha ila miaka ya karibuni hata wao wapo bien mbona sio wabaya kama miaka. Ya zamani hata kwenye batch yetu na ya juu yetu 🦠 walikuwa wapo fresh ila majority ndo shithole 😹😹😹
 
CYCLE

ORGANIC CHEMISTRY 😂😂😂😂😂😂😂😂

but look at me now 🙏 grateful 😍
 
Physo ya A level imenikatisha stimu na ilinipunguzia nguvu za kiume nilikuwa na kichwa kizito sana kuielewa bora nibaki na hesabu yangu 💕💕💕 tu
Physics maji sana .. toka nilipo anza kusoma Physics na popote nilipokuwa nikiingia nafunika.. sema nimebobea kwenye nyanja tofauti ningekuw na mda ningesoma PhD ya physics.. but majukumu yana hamisha magori
 
Phy ipo advance... Usipokua makini unaweza kupofoka macho ahahaha
Acha tu imenizalilisha sana imagine mtu nagusaga tu 20 to 38 toka form 5 hadi 6 mwezi wa 2 ndo nikaanza kuchezea 40's ilinikatisha tamaa sana nilikuwa kilaza kwelikweli 😕 kwemye phys
 
Kila mtu na kichwa chake mkuu 😒
😅😅 Biology, Physics, Chemistry, ndio ilikuwa maji yangu, badae kuna Bro akanija upepo nideal na Math niwe Engineer kisa ina madili ile Telecom Eng enzi hizo.. nipo form 3 mwishoni nikaanza soma hesabu nika drop Biology but mbwa yule asinge nichanganya ningekuwa Doctor wa wanawake au wa mifumo ha fahamu😅😅😅
 
Physics maji sana .. toka nilipo anza kusoma Physics na popote nilipokuwa nikiingia nafunika.. sema nimebobea kwenye nyanja tofauti ningekuw na mda ningesoma PhD ya physics.. but majukumu yana hamisha magori
Looh kweli tunatofautiana😂😂😂😂😂 niliikimbia tu pale nilipoanza soma ile projectile motion

Mie phy n math sinaga bahati 😂😂😂
 
CYCLE

ORGANIC CHEMISTRY [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

but look at me now [emoji120] grateful [emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaah
 
Looh kweli tunatofautiana😂😂😂😂😂 niliikimbia tu pale nilipoanza soma ile projectile motion

Mie phy n math sinaga bahati 😂😂😂
Ahahahahahaah ukaona yamekushinda mambo yana wenyewe hayo..
 
😅😅 Biology, Physics, Chemistry, ndio ilikuwa maji yangu, badae kuna Bro akanija upepo nideal na Math niwe Engineer kisa ina madili ile Telecom Eng enzi hizo.. nipo form 3 mwishoni nikaanza soma hesabu nika drop Biology but mbwa yule asinge nichanganya ningekuwa Doctor wa wanawake au wa mifumo ha fahamu😅😅😅
Aahahahahahahah Dr wa wamama na watoto... Ndoto za Poor Brain
 
Back
Top Bottom